ERB KUWA WAFANISI KWENYE KUSIMAMIA MIRADI

 
















ERB KUWA WAFANISI KWENYE KUSIMAMIA MIRADI

 

KamatiyaKudumuya Bunge yaMiundombinuImewatakaBodiyaUsajiliWahandisi( ERB) kuwezakusimamiamiradiyaokwaufanisinakwaviwangovyahaliyajuu.

AkizungumzamarabaaadayakupokeaTaarifayakiutendajiyaJulai- OktobaBungeni, jijini Dodoma, Mwenyekitiwakamatihiyo, Mhe. SelemaniKakoso, ameshauriBodikuwanawataalamuwakusimamiamiradiiliifanyikekwaumahirinaufanisizaidi.

“Tuangaliesuala la ERB kuwezakusimamiamiradiyoteambayoimepangakuitekelezakwaWahandisiwazawanawahandisikutokanje, mfanousimamiziwaDaraja la kutokaSerengeti hadiTarimelimejengwanaWazawanalipovizurisana”, amesemaMheshimiwaKakoso.

Aidha, MheshimiwaKakosoameongezakuwaWahandisiwaunganishwenaMafundiilikuwezakufanyakazikwapamojakwaniitaletatijanahatimayekuleteataasisimaendeleo

Kwa upande wake, Naibu Waziri waUjenzi, Eng. Godfrey Kasekenya, ameishukuruKamatiyakudumuya Bunge la Miundombinu, nakusemakwambaSerikalikupitiaWizarayaUjenzi, imewapamajukumubodihiyokuwezakuwatambuakisheriaWahandisiwachiniambaoniWazawa.

“ Tumewataka ERB wawenakanzidatayakujuawahandisiwangapiwaliopoNjeyaNchi, natunatambua ERB niTaasisikubwaambayoinawahandisikilaSehemuambaowanafanyakazinaTanesco, Duwasa, REA hivyokuwenataarifazao.

Naye, MsajiliwaBodiyaUsajiliWahandisi( ERB) MhandisiBernadKavisheamesemakuwawamejipangavizurikuwezakuwainuawahandisiWazawakatikakazizamiradimbalimbaliambayoinatekelezwanaSerikaliyaJamhuriyaMuunganowa Tanzania.

“ TunaishukuruSerikaliyaAwamuyasitakwakuendeleakuwaaminiWahandisiwetuwandanikwakuwezakupatakazindaniyanchiambazowaponawanafanyavizurinakwaviwango, kaziambazozinafanywanipamojanakusimamiaBwawa la MwalimuNyerere.

Pia ameongezakuwaWahandisiwengiwanapataufadhilikupitiaSerikali,namafunzoyamudamfupiyanatolewanaBodi.

KamatiyaKudumuya Bunge yaMiundombinuleoimepokeaTaarifayaUtendajiwa TBA kwakipindi cha Julai - Oktoba 2023 iliyowasilishwanaNaibu Waziri waUjenzi Eng. Godfrey Kasekenyakwaniabaya Waziri waWizarahiyoMheshimiwa Innocent Bashungwa.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HALMASHAURI YA KIBONDO KULIGAWA JIMBO LA MUHAMBWE

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu