40 CHADEMA KIBONDO WAJIONDOA
Baadhi ya Viongozi na wanachama wa Chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma wametangaza kujiengua na Chama hicho kwa madai ya mpango wake wa kuendesha Oparasion ya Bila mageuzi hakuna uchaguzi
Wanachama hao wamedai kuwa hatua hiyo inawanyima haki yao ya
Msingi ya kuchagua na kuchaguliwa
Wakiongea na Waandishi wa Habari mjini Kibondo mmoja wa Wajumbe wa Kamati tendaji na Katibu
Msiaafu wa Chadema Wilaya ya Kibondo
Lenatus Richadi alikuwa wakwanza kutangaza kijiengua kwenye Chama hicho
na kueleza kuwa hajawa na mpango wa kujiunga na chama kingine kwa sasa
Wanachama walioamua kujitenga na Chadema Wilaya ya Kibondo kwa
sasa Idadi yao ni 40 na wanadai muda uliopo kufanya mageuzi na kurekebisha
taratibu zingine ili chadema ikubali na iendelee uchaguzi 2025 ni mfupi sana
hivyo haki zao watazikosa
‘’ Kweli nakipenda Chama change kimenitoa mbali sana lakini
utaratibu huu na misimamo iliyopo siwezi kuendelea bora ni nje ya mfumo wa chama hicho nitajua
jambo la kufanya baadae maana ninajiuliza kwani tungefanya uchaguzi kwa baadae
tukadai mabadiliko haiwezekani? Anna Matabalo mmoja wa wanachama waliojiengua chadema James Maongolo mwanachama aliyetoka chadema alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Lenatus Richad Mjumbe kamati tendaji chadema wilaya ya Kibondo waliyekimbia chama hicho
maana muda ni mfupi kukaribia uchaguzi’’ amesema Lenatusi
Nao baadhi ya wanachama wengine James Mahongolo na Anna
Matabalo, waliotangaza kujiondoa kwenye Chama hicho wameleeza kuwa wameumizwa katika mioyo yao
kwani na walikuwa miongoni mwa wanaotarajia kugombea kwa nafasi mbalimbali na
sasa program ya bila Mageuzi ha hakuna uchaguzi inawanyima fursa hiyo
Hata hivyo wameongeza kuwa iwapo kama utaratibu utarekebishwa chama chao kikakubali kuingia kwenye kinyang’anyilo cha uchaguzi watarudi ila
Maoni
Chapisha Maoni