Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2018

Kibondo;Idadi kubwa ya Wakimbizi wanaohifadhiwa mkoani Kigoma ni moja ya changamoto zinazoukabili mkoa huo ikiwa usalama mdogo kwa baadhi ya wenyeji, uharibifu wa miundo mbinu, na mazingira

Picha
Bruno Nkwabi Kaimu Mkuu wa Makazi James Mwangi ofisa Mazingira UNHCR Revocatus Nginila Mratibu Redeso   Kibondo; Idadi kubwa ya Wakimbizi wanaohifadhiwa mkoani  Kigoma ni moja ya changamoto zinazoukabili mkoa huo ikiwa usalama mdogo kwa baadhi ya wenyeji, uharibifu wa miundo mbinu, na mazingira Wakimbizi hao walioko katika makambi ya Nyarugusu Kasulu, Mtendeli  Kakonko na Nduta  Kibondo, wanakadiliwa kufikia 270 ambapo uharibifu  uko kwa kiwango cha juu huku  uoto wa asili  na vyanzo vya maji vikikauka hali ambayo inatishia kuwepo  kwa mabadiliko ya tabia nchi Akiongea wiki iliyopita na Wakimbizi wa Kambi ya Nduta iliyoko wilayani Kibondo  kaimu mkuu wa makazi wa kambi hiyo, Bruno Nkwabi amewataka kutunza mazingira na mali asili zote walizozikuta ambazo zinawasaidia hata wao ''Lazima mkumbuke wakati mnaingia kwenye maeneo haya mlikuta kila kitu kiko vizuri na mliweza kufurahia hivyo lazima muendeleze hali mliyoikuta  kwa kutambu