Machapisho

ALATI MKOA WA KIGOMA WAKAGUA MIRADI KIBONDO

Picha
  Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania ALATI Mkoa wa Kigoma imeishauri Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma kuboresha mazingira ya ujifunzaji kwa Wanafunzi wa Chuo cha Maafisa Matabibu kinachomilikiwa na Halmashauri hiyo Wametoa ushauri huo Wajumbe wa Jumuiya hiyo wakiwa kwenye ziara ya kutembelea na kukagua Miradi ambapo wameeleza kulingana na uhimu wa sekta ya afya ni vema uboreshajiwa miundombinu katika chuo hicho ufanyike haraka iwezekanavyo Hatua hiyo imekuja baada ya kupokea taarifa ya namna chuo hicho kinavyoendeshwa na kutoa huduma ambapo Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibondo Diocles Lutema  ameeleza kwakuwa chuo hicho kinamilikiwa na serikali wanafuata miongozo Miradi iliyotembelewa na Jumuiya hiyo ni Ujenzi wa Soko la Kisasa, Chuo cha maafisa Tabibu, Jengo la Ofisi za Halmashauri ya Kibondo na Vibanda vya Biashara, huku  baadhi ya ambao ni Lugendo Elias na Anthon Kiteleriwajumbe hao wakipongeza ujenzi wa Miradi hiyo huku nae Mwenyekiti wa H...

DC MAGU AZITAKA MAMLAKA ZINAZOZOJIHUSISHA NA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KUFANYA KAZI KABLA YA MVUA KUNYESHA

Picha
  Katika kukabiliana na Matatizo ya Mvua kubwa ziilizotabiriwa na Mamlaka ya hali ya Hewa nchini TMA , Mkuu wa Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza Jubileti Lauwo,amezitaka Mamlaka zote zinazohusika   kukabiliana na majanga kufanya utekelezaji kazi husika   kwa wakati kabla Mvua hizo hazijaanza kunyesha Akiongea mara baada ya Kikao na Viongozi   kuanzia ngazi za Vijiji na Wataalam mbalimbali amesema ameziagiza Mamlaka zinazohusika na Miundo mbinu ya Barabara yaani Wakala wa huduma za Barabara za Mijini Vijijini TARURA na TANROAD kuboresha miundombinu hiyo haraka kwani ni muhimu kwa Maisha ya Watu Aidha amesistiza mikataba inayotajwa kuhakisha inafanyiwa kazi maana Mvua zinatarajiwa kunyesha siku si nyingi zijazo kwa hiyo ni vema Barabara zote zikawa zimeimarishwa mapema na kurekebisha njia za Maji Jubileti Lauwo Mkuu wa Wilaya ya Magu akiwa kwenye Kikao na Viongozi Wilayani Magu wakijadili namna kuchukua tahadhari ya Elinino Hata hivyo Jubileti amesema katikaWilaya yakew...

KUPINGA MAJARIBIO YA SILAHA ZA NYUKLIA DUNIANI

Picha
    Silaha za a nyuklia ni silaha zinazosababisha madhala makubwa sana, kati ya silaha zote, hilo n ibomu lenye nguvu na pia lenye hatari zaidi, kuna  mataifa yenye uwezo mkubwa wa silaha hatari za nyuklia ulimwenguni na kuwa tishio kubwa.   Ikumbukwe kuwa Bomu hilo hapo awali lilikuwa linaitwa Scud na lilitengenezwa 1943 na Mtu mmoja Raia wa Israel aliyejulikana kwa Jina la Alberth Instain na baadae Bomu hilo liliboreshwa kutoka    R 9 Scud- B   kuwa Atomic   Julai 12 1945 huko nchini Marekani kupitia Mradi wa Marnhata.   Silaha hizo zilitumika kwa Mara ya Kwanza katika Vita kuu ya pili ya Dunia mnamo Agost 6,1945 Marekani iliporusha bomu hiro   katika Mji wa Nagasaki nchini Japani na kuuwa Watu laki 1 na wengine laki 1 na 30 walifariki baadae kutokanana kupata Majeraha makubwa   Siku tatu baadae, Bomu hilo Atomic lilirushwa katika Mji wa Hiroshima nchini Japani Agost 9, 1945 na kusababisha madhala ambayo yanaendel...

"UJENZI WA MELI MPYA NA CHELEZO KIGOMA KUFUNGUA SOKO LA BIASHARA KIMATAIFA" WAZIRI MBARAWA

Picha
  "UJENZI WA MELI MPYA NA CHELEZO KIGOMA KUFUNGUA SOKO LA BIASHARA KIMATAIFA" WAZIRI MBARAWA   Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema uwekezaji wa kampuni ya kizawa ya Dar es Salaam Merchant Group katika ujenzi wa chelezo na meli mpya mkoani Kigoma utaongeza uwezo wa Tanzania kujenga na kukarabati meli nchini, huku ukifungua fursa za biashara na huduma za ujenzi wa meli kwa nchi zinazozunguka Ziwa Tanganyika, ikiwemo DRC na Zambia   Prof. Mbarawa ameyasema hayo baada ya kukagua eneo la Bulombora Mkoani Kigoma linalojengwa chelezo cha kampuni hiyo, akisema Serikali inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kushiriki katika uwekezaji wa miundombinu na huduma za usafiri wa njia ya maji hatua ambayo itaongeza uwezo wa wazawa katika ujenzi na ukarabati wa vyombo vinavyosafiri kwa njia ya maji   Amesema kampuni hiyo, iliyoshiriki katika ujenzi na ukarabati wa meli ikiwemo MV Liemba, imeanza maandalizi ya ujenzi wa meli mpya yenye uwezo wa...

Viongozi wa Vijiji na Kata simamien na kutoa elimu umuhimu wa Lishe

Picha
  Kibondo. Viongozi wa Kata na Vijiji wamehaswakuendelea kuhamasisha umuhimu wa Lishe na mpangilio wa matumizi ya vyakula kwa Watoto na watu rika zote ukiwemouchangiaji wa chakula Mashuleni ili kupunguza udumavu na kuinua kiwango cha Elimu Amebainishahayo Afisa Lishe Wilaya ya Kibondo Tumaini Muna wakati wa kujadili ripoti ya utekelezaji afua za Lishe kwa robo yanne 2025/26 ambapo ameeleza kuwa licha ya shule zote kutoa huduma ya Chakula,wapo baadhi ya Wazazi ambao hawachangii chakula kwaajili ya Watoto waojambo ambalo halikubaliki Aidha Munna ameongeza kuwa ili kukabiliana na changamo ya udumavu,ni lazima afua za lishe zisimamiwe kikamilifukuanzia ngazi za familia huku akisistiza viongozi kusimamia kwa Vitendo mafunzo yanayotolewa katika maadhimisho ya siku ya Afya ya Lishe ya Kijiji ‘’Hatuwezi kufikia malengo pasipo kwenda pamoja hivyo hao wazazi ambao hawajitolei katika uchangiaji wa huduma ya chakula wanakwenda kinyume hivyo elimu na usimamizi ni muhimu kwani wanaopata sh...

POLISI KIGOMA WAADHIMISHA WIKI YA POLISI JAMII KWA KUCHANGIA DAMU

Picha
  KIBONDO. Jehi la Polisi Mkoa wa Kigoma katika kuadhimisha wiki ya Polisi jamii, limefanya uafi na kuchangia Damu katika hospitali ya Wilaya ya Kibondoili kusaidia kuokoa maisha ya Watu wanaohitaji huduma hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma SACP Filemoni Makungu akiongea na Waandishi wa habari wakati wa zoezi hilo, amesemalicha ya kupunguza uhitaji wa Damu katika vituo vya kutolea huduma za Afya,lengo kubwa ni kuonyesha ushiriki wa Jeshi   hilo katika masuala ya Kijamii Aidha Makungu ameongeza kuwa katika Wiki hii,zinafanyika shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na Michezo, Usafiri na kuchangia Damu ili kuokoa maisha ya wahitaji wa Damu Naye Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Kibondo Colnely Livin zoezi hilo linaonyesha namna Polisi linavyoshiriki katika utoaji wa huduma ndani ya Jamii Jumla ya Unit 36 za Damu zimepatikana katika zoezi hilo la uchangiaji Damu huku Jeshi hilo likiitaka jamii kuendelea kudumisha amani ambapo Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo Col...

SIKU YA HOMA YA INI

Picha
  Kila ifikapo julai 28 kila mwaka Dunia uadhimisha siku ya homa kali ya Ini, lengo ikiwa ni kujenga uelewa kwenye jamii kuhusu tatizo hilo na namna ya kujihami na ili kuepukana na hali hiyo Homa ya Ini ni kuvimba kwa ini. Kitendo cha ini kuvimba ghafla   ndio huitwa Homa kali ya Ini. Sababu zinazofahamika zaidi za ini kuvimba ghafla ni maambukizi ya virusi vya homa ya ini aina A na E na ni katika matukio machache sana virusi vya homa ya Ini B na C. Aina fulani za dawa za matibabu ambazo zina sumu zinaweza pia kusababisha homa Kali ya ini. Mara nyingi inaweza kupona bila hata madhara makubwa au kuhitaji matibabu lakini katika matukio machache huweza kusababisha ini kushindwa kufanya kazi na wakati mwingine kifo. Na hizi ndizo dalili za homa kaliya Ini Bila kujali visababishi, dalili za homa kali ya ini ni pamoja na: -          Kutapika, kuhara au maumivu ya tumbo -          Rangi ya manjano kwenye macho na ngozi. -...