KIBONDO YAENDELEZA UDHIBITI UGONJWA EBOLA
DktSimon Omary Mratibu huduma za Afya Wilaya ya Kibondo Fiboreen Siwale Mratibu wa Maralia Wilaya ya Kibondo Aggrey Magwaza Mkuu wa Wilaya ya Kibondo Mkuu wa wilaya ya kibondo Mkoani Kigoma, kanali Mstaafu Agery Magwaza amewaagiza wataalamu wa afya kuendelea kufanya tafiti za kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa maralia kutokana na ugonjwa huo kutodhibitiwa kwa ufasaha na kuendelea kuleta athari kwa jamii Amebainisha hayo wakati wa kikao Cha kamati ya afya ya msingi ya Wilaya, walipokua wakijadili namna ya kudhibiti ugonjwa huo ambapo amesema maambukizi ya ugonjwa yamekua yakisababisha madhara kwa jamii kutokana na mbu wannasambaza vimelea hivyo vya malaria kushidwa kudhibitiwa ipasavyo Aidha katika kikao hicho kilijadili namna ya kukabiliana na ugonjwa wa ebola ndani ya wilaya ya kibondo huku mkuu huyo wa wilaya akwahimiza wananchi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo ikizingatiwa Wilaya hiyo iko mpakani mwa nchi, Ili usien...