KUPINGA MAJARIBIO YA SILAHA ZA NYUKLIA DUNIANI
Silaha za a nyuklia ni silaha zinazosababisha madhala makubwa sana, kati ya silaha zote, hilo n ibomu lenye nguvu na pia lenye hatari zaidi, kuna mataifa yenye uwezo mkubwa wa silaha hatari za nyuklia ulimwenguni na kuwa tishio kubwa. Ikumbukwe kuwa Bomu hilo hapo awali lilikuwa linaitwa Scud na lilitengenezwa 1943 na Mtu mmoja Raia wa Israel aliyejulikana kwa Jina la Alberth Instain na baadae Bomu hilo liliboreshwa kutoka R 9 Scud- B kuwa Atomic Julai 12 1945 huko nchini Marekani kupitia Mradi wa Marnhata. Silaha hizo zilitumika kwa Mara ya Kwanza katika Vita kuu ya pili ya Dunia mnamo Agost 6,1945 Marekani iliporusha bomu hiro katika Mji wa Nagasaki nchini Japani na kuuwa Watu laki 1 na wengine laki 1 na 30 walifariki baadae kutokanana kupata Majeraha makubwa Siku tatu baadae, Bomu hilo Atomic lilirushwa katika Mji wa Hiroshima nchini Japani Agost 9, 1945 na kusababisha madhala ambayo yanaendel...