POLISI KIGOMA WAADHIMISHA WIKI YA POLISI JAMII KWA KUCHANGIA DAMU
KIBONDO. Jehi la Polisi Mkoa wa Kigoma katika kuadhimisha wiki ya Polisi jamii, limefanya uafi na kuchangia Damu katika hospitali ya Wilaya ya Kibondoili kusaidia kuokoa maisha ya Watu wanaohitaji huduma hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma SACP Filemoni Makungu akiongea na Waandishi wa habari wakati wa zoezi hilo, amesemalicha ya kupunguza uhitaji wa Damu katika vituo vya kutolea huduma za Afya,lengo kubwa ni kuonyesha ushiriki wa Jeshi hilo katika masuala ya Kijamii Aidha Makungu ameongeza kuwa katika Wiki hii,zinafanyika shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na Michezo, Usafiri na kuchangia Damu ili kuokoa maisha ya wahitaji wa Damu Naye Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Kibondo Colnely Livin zoezi hilo linaonyesha namna Polisi linavyoshiriki katika utoaji wa huduma ndani ya Jamii Jumla ya Unit 36 za Damu zimepatikana katika zoezi hilo la uchangiaji Damu huku Jeshi hilo likiitaka jamii kuendelea kudumisha amani ambapo Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo Col...