Machapisho

2,352 Walioacha Masomo Mkoani Kigoma kureshwa Mashuleni

Picha
  Farida Sebalua Afisa Elimu UNICEF Kigoma Simon Siro Mkuu wa Kigoma Kigoma . Mkoa wa Kigoma kupitia mradi wa Elimisha Mtoto umefanikiwa kuwarejesha shuleni watoto 2,352 waliokuwa wameacha shule kupitia mfumo rasmi au nje ya mfumo rasmi. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, kwenye kikao cha kuendeleza kampeni ya kuhimiza uandikishaji na kuwarejesha watoto walio nje ya shule iliyozinduliwa Desemba   mwaka 2025. Balozi Sirro, amesema kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2026 bado wapo watoto wenye umri wa kati ya miaka 6 na 15 ambao hawajaandikishwa shuleni katika mfumo rasmi au nje ya mfumo rasmi wa shule na kwamba serikali kwa ushirikiano na Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani UNICEF na wadau wengine inalenga kuwandikisha watoto wote ambao hawajaandikishwa na kuwarejesha walioacha masomo kutokana na sababu mbali mbali. Kwa upande wake Afisa Elimu kutoka UNICEF, Ofisi ya Kigoma Farida Sebalua, amesema tafiti zinaonyesha kuwa mkoa wa Kigoma unakabiliwa n...

Mabadiliko ya Ongezekola Idadi kubwa ya Wanafunzi 2027, Mikakati iongezeke ujenzi wa Miundo mbinu

Picha
  Mwanza. Kutokana na mabadiliko ya Mitaala ya Elimu katika shule za Msingi na Sekondari hapa nchini, hatua itakayopelekea Wanafunzi wengi kumaliza elimu ya Msingi kuelekea sekondari, serikali imeshauliwa kulitazamaa kwa jicho la pekee suala la ujenzi na uanzishwaji wa shule za sekondari ili kuleta tija Darasa la saba na sita ni makundi yanayotarajiwa kumaliza elimu hiyo huku idadi ya shule na vyumba vya madarasa vikiwa ni vichache hatua inayotajwa kuwa huenda ikakwamisha malengo mahususi Hayo yameelezwa na   Madiwani wa Halmashauri ya Magu Mkoani mwanza walipokuwa wakijadili Bajeti ya Halmashauri hiyo ya 2026/27ambapo   John Ngagaje Diwani Kata ya Shisha   na Jackson   LugwishaKata ya Lutale wanasema   kuwa ni vema pia bajeti hiyo ikajielekeza kunusulu sekta ya elimu   hasa kwenye miundombinu Awali akisoma taarifa ya rasmu ya Bajeti hiyo Afisa Mipango wa Halmashauri ya Magu Mofeni Mwakajonga amesema Bajeti hiyo imetia hatua zote za kisheria na ...

DC MISUNGWI AHIMIZA WAZAZI NA WALEZI KUANDIKISHA WATOTO MASHULENI KWA WAKATI

Picha
  DC MISUNGWI AHIMIZA WAZAZI NA WALEZI KUANDIKISHA WATOTO MASHULENI KWA WAKATI Johari Samizi Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mary Mussa Mwalimu Shule ya Msingi Misungwi                                                        Klaud Richard Mkazi wa Misungwi Pamoja na Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza kuendelea kufanya vizuri katika uandikishaji wa Wanafunzi Elimu awali na Msingi, bado hamasa inahitajika   kutolewa kufia malengo yanayokusudiwa Matarajio ya mwaka 2026 kwa Elimu awalini ilikuwa ni   kuandikisha Watoto 13219   na walioandikishwa hadi sasa ni   6403 huku dara la Kwanza   wanatarajia kuandikisha Wanafunzi   14551 na mpaka sasa Watoto 9082 wamekwisha kuandikishwa wakati zoezi likiendelea   Akiongea Ofisini na Waandishi wa Habari  Kwake Mkuu wa Wilaya Misungwi Johari Samizi ameeeleza   uandikish...

Ukubwa wa Mpaka wa Mkoa wa Kigoma chanzo Njia za Panya nyingi na kuingiza Wageni haramu

Picha
  Toyi Silvesta Diwani Kata ya Gwanumpu Kakonko Kigoma akiongea na Wananchi kwenye Mkutano wa Hadhala Ukubwa wa Mpaka wa Mkoa wa Kigoma chanzo Njia za Panya nyingi na kuingiza Wageni haramu Kigoma;Kutokana na Mkoa wa   Kigoma   kuwa na   Mpaka mrefu sana kuliko Mikoa yote ya pembezoni huku vituo rasmi vya uhamiaji vikiwa mbali mkubwa   toka kituo kimoja hadi kingine   hatua inayodaiw a kupelekea   uwepo wa   njia za panya nyingi na wahamiaji haramu kupata ulaisi wa kuingia nchini jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa Tanzania Mkoa huo unapakana na   Nchi za Burundi na Congo DRC upande wa Magharibi na nchi hizo zimekuwa zikikumbwa na matatizo ya usalama na kupelekea Raia wa   nchi   hizo kukimbia kutafuta sehemu salama Raia wa Nchi jirani wanadaia kuingia Tanzania kwa Vigezo vya kutafuta vibarua kupata Mkate katika maeneo vya Vijiji vya Mpakani Mkoani Kigoma na baadae ulazimika kuendelea kukaa Vijijini humo kinyume cha sheria z...

KUHITIMISHA UCHUKUAJI FOMU KINYANG'ANYIRO CHA UBUNGE JIMBOLA MUHAMBWE CCM

Picha
  rAPHAEL SUMAYE KATIBU CCM WILAYA YA KIBONDO Chama cha Mapinduzi Ccm kimehimisha zoezi la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania fafasi za Ubunge na Udiwani kamalilivyoanza June 28,2025 hadi leo julai 2,2025 kwa Wanachama wake kwa ajili ya uchaguzi Mkuu   kuwapata Madiwani,Wabunge na Rais unaotarajiwakufanyika octoba mwaka huu   Katika Jimbo la Muhambwe Kibondo Mkoani Kigoma,wamejitokeza Wananchama wa Ccm walioonyesha Nia ya kugombea ubunge   kuitia ccm idadi imetajwa ni 17   na wote wamerejesha fomu zao kwa wakati     Aidha Sumaye amesema baada ya hatua hiyoya awali   itaendelea michakato mingine ili kifikia malengo yanayokusudiwa huku Waliochukua fomu kugombea udiwani Kata zote   ikitajwa idadi ni    wanachama 96 na hakuna malalamiko yaliyojitokeza   kwa madai ya kutotendewa haki   Jimbo la Muhambwe linaundwa na   Vitongoji   420,Vijiji 50 na Kata 19 huku baadhi ya watia ambao ni Adrian Thoma A...

Mnyukano Ubunge Muhambwe

Picha
Jamal Abdlah Mwenyekiti Ccm Mkoa wa  Kigoma achukua Fomu  kugombea Ubunge Jimbo la Muhambwe   Frolence Samizi Mbunge Muhambwe anaetetea Kiti chake  achukua fomu ubunge Muhambwe Kuelekea uchaguzi Mkuu 2025,Wanachama wa   Chama cha Mapinduzi Ccm Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma wameendelea kujitokeza   kuchukua fomu za kugombea nafasi za Udiwani na Ubunge   kwa ajili ya uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu   Baadhi ya wanachama hao mmoja wapo ni Mwenyekitiwa Ccm Mkoa wa Kigoma Jamali Abdalah ambaye   ametia nia ya kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Muhambwe Kibondo kwa kuchukua Fomu kwenye ofisi za Ccm wilayani Kibondo   Frolence Samizi ambaye ni Mbunge anaeteteaKiti chake nae amechukua fom kugombea nafasi hiyo kwa mara nyingine tena huku wakifuatiwa na wanachama wengine Nduhilabusa Mapigano Katibu Jumhiya ya Wazazi Wilaya ya Kasulu,   Geradina Kabululu na wengine   Kwaupande wake Katibu w...

Iran yadai kupata hati nyeti za nyuklia za Israeli kupitia ujasusi

Picha
  Televisheni ya taifa ya Iran iliripoti Jumamosi kwamba Iran imepata hati nyeti za nyuklia za Israel kupitia "uvamizi mkubwa wa kijasusi." Ripoti hiyo haikutoa maelezo ya kina juu ya jinsi Iran ilipata ufikiaji wa hati hizo. Habari hiyo ilitangazwa kwa ufupi kwenye TV ya serikali kwamba "huduma za kijasusi za Iran zimepata taarifa na nyaraka za kimkakati na nyeti, ikiwa ni pamoja na maelfu ya nyaraka zinazohusiana na miradi na vifaa vyake vya nyuklia (Israeli)." Israel bado haijatoa maoni yoyote kuhusu dai hili la Iran. Kwa mujibu wa shirika la habari la Iran Tasnim, Waziri wa Ujasusi wa Iran Hojatoleslam Seyyed Esmail Khatib alisema kuwa "nyaraka za nyuklia za Israel zimehamishiwa Iran.