Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2025

KUHITIMISHA UCHUKUAJI FOMU KINYANG'ANYIRO CHA UBUNGE JIMBOLA MUHAMBWE CCM

Picha
  rAPHAEL SUMAYE KATIBU CCM WILAYA YA KIBONDO Chama cha Mapinduzi Ccm kimehimisha zoezi la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania fafasi za Ubunge na Udiwani kamalilivyoanza June 28,2025 hadi leo julai 2,2025 kwa Wanachama wake kwa ajili ya uchaguzi Mkuu   kuwapata Madiwani,Wabunge na Rais unaotarajiwakufanyika octoba mwaka huu   Katika Jimbo la Muhambwe Kibondo Mkoani Kigoma,wamejitokeza Wananchama wa Ccm walioonyesha Nia ya kugombea ubunge   kuitia ccm idadi imetajwa ni 17   na wote wamerejesha fomu zao kwa wakati     Aidha Sumaye amesema baada ya hatua hiyoya awali   itaendelea michakato mingine ili kifikia malengo yanayokusudiwa huku Waliochukua fomu kugombea udiwani Kata zote   ikitajwa idadi ni    wanachama 96 na hakuna malalamiko yaliyojitokeza   kwa madai ya kutotendewa haki   Jimbo la Muhambwe linaundwa na   Vitongoji   420,Vijiji 50 na Kata 19 huku baadhi ya watia ambao ni Adrian Thoma A...

Mnyukano Ubunge Muhambwe

Picha
Jamal Abdlah Mwenyekiti Ccm Mkoa wa  Kigoma achukua Fomu  kugombea Ubunge Jimbo la Muhambwe   Frolence Samizi Mbunge Muhambwe anaetetea Kiti chake  achukua fomu ubunge Muhambwe Kuelekea uchaguzi Mkuu 2025,Wanachama wa   Chama cha Mapinduzi Ccm Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma wameendelea kujitokeza   kuchukua fomu za kugombea nafasi za Udiwani na Ubunge   kwa ajili ya uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu   Baadhi ya wanachama hao mmoja wapo ni Mwenyekitiwa Ccm Mkoa wa Kigoma Jamali Abdalah ambaye   ametia nia ya kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Muhambwe Kibondo kwa kuchukua Fomu kwenye ofisi za Ccm wilayani Kibondo   Frolence Samizi ambaye ni Mbunge anaeteteaKiti chake nae amechukua fom kugombea nafasi hiyo kwa mara nyingine tena huku wakifuatiwa na wanachama wengine Nduhilabusa Mapigano Katibu Jumhiya ya Wazazi Wilaya ya Kasulu,   Geradina Kabululu na wengine   Kwaupande wake Katibu w...