KUHITIMISHA UCHUKUAJI FOMU KINYANG'ANYIRO CHA UBUNGE JIMBOLA MUHAMBWE CCM
rAPHAEL SUMAYE KATIBU CCM WILAYA YA KIBONDO Chama cha Mapinduzi Ccm kimehimisha zoezi la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania fafasi za Ubunge na Udiwani kamalilivyoanza June 28,2025 hadi leo julai 2,2025 kwa Wanachama wake kwa ajili ya uchaguzi Mkuu kuwapata Madiwani,Wabunge na Rais unaotarajiwakufanyika octoba mwaka huu Katika Jimbo la Muhambwe Kibondo Mkoani Kigoma,wamejitokeza Wananchama wa Ccm walioonyesha Nia ya kugombea ubunge kuitia ccm idadi imetajwa ni 17 na wote wamerejesha fomu zao kwa wakati Aidha Sumaye amesema baada ya hatua hiyoya awali itaendelea michakato mingine ili kifikia malengo yanayokusudiwa huku Waliochukua fomu kugombea udiwani Kata zote ikitajwa idadi ni wanachama 96 na hakuna malalamiko yaliyojitokeza kwa madai ya kutotendewa haki Jimbo la Muhambwe linaundwa na Vitongoji 420,Vijiji 50 na Kata 19 huku baadhi ya watia ambao ni Adrian Thoma A...