Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari, 2026

DC MISUNGWI AHIMIZA WAZAZI NA WALEZI KUANDIKISHA WATOTO MASHULENI KWA WAKATI

Picha
  DC MISUNGWI AHIMIZA WAZAZI NA WALEZI KUANDIKISHA WATOTO MASHULENI KWA WAKATI Johari Samizi Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mary Mussa Mwalimu Shule ya Msingi Misungwi                                                        Klaud Richard Mkazi wa Misungwi Pamoja na Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza kuendelea kufanya vizuri katika uandikishaji wa Wanafunzi Elimu awali na Msingi, bado hamasa inahitajika   kutolewa kufia malengo yanayokusudiwa Matarajio ya mwaka 2026 kwa Elimu awalini ilikuwa ni   kuandikisha Watoto 13219   na walioandikishwa hadi sasa ni   6403 huku dara la Kwanza   wanatarajia kuandikisha Wanafunzi   14551 na mpaka sasa Watoto 9082 wamekwisha kuandikishwa wakati zoezi likiendelea   Akiongea Ofisini na Waandishi wa Habari  Kwake Mkuu wa Wilaya Misungwi Johari Samizi ameeeleza   uandikish...