Swala la uhaba wa Madawati mashuleni ambalo serikali imeamua kulitilia mkazo na baadhi wilaya na mikoa kuonekana inafanaya kila linalowezekana ili tatizo linaisha au kupungua bado linaendele kuahathili wananfunzi katika shule mbalimbali hatua inayodaiwa kuwa uenda ikasababisha kushuka kwa kiwango cha elimu kwa wanafunzi

Swala la uhaba wa Madawati mashuleni  ambalo serikali imeamua kulitilia mkazo na baadhi wilaya na mikoa kuonekana inafanaya kila linalowezekana ili tatizo linaisha au kupungua bado linaendele kuahathili wananfunzi katika shule mbalimbali hatua inayodaiwa kuwa uenda ikasababisha kushuka kwa kiwango cha elimu kwa wanafunzi

Kwa upande wa shule za msingi wanafunzi wengi ujihisi vibaya hasa wanapofika madarasani na kukalia matofari na baada ya masomo ujikuta wamechafuka kwa vumbi

Said Seleman ni mkuu wa shule ya sekondari Malagaras iliyoko wilayani kibondo mkoa wa kigoma, ajana wakatia wa mahafali ya sita ya kuhitimu kidato cha sita katika taarifa yake alisema kuwa shule yake ni mojawapo ya shule ambazo zimekumbwa na tatizo hali inayosababisha wanafunzi kukaa kwa kubanana sana

Pamoja na changamoto ya ukosefu wa madawati, shule yake ina upungufu wa walimu wa sayansi hatua inayopelekea kuajili walimu wa masomo hayo kwa garama kubwa ingawa walimu wana uwezo mkubwa wa ufundishaji




Said selrman Mkuu wa shule ya sekondari Malagaras

Takribani wiki mbili zilizopita wilaya ya kibondo ilifanya harambe kwa kushirikisha wadau mbalimbali kwa ajili ya kuchangia  madawati  ya shule za msingi na sekondari  na kupata madawati hatua ambayo uwenda itamaliza kabisa tatizo hilo au kulipunguza

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HALMASHAURI YA KIBONDO KULIGAWA JIMBO LA MUHAMBWE

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu