Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba, 2015

Aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wilaya ya kibondo Emmanuel Gwegenyeza, amejiuzulu nafasi yake

Picha
Aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wilaya ya kibondo Emmanuel Gwegenyeza, amejiuzulu nafasi yake Akiongea na waandishi wa habari katibu wa ccm wilaya ya kibondo Hamisi Kananda amekili kuwepo kwa swala hilo na kudai kuwa ofisi yake imepokea barua ya aliyekuwa mwenyekiti huyo iliyoandikwa sep 14 mwaka huu ikieleza sababu za kujiuzulu kwake kuhama kwa shuguli zake kutoka wilaya ya kibondo na kuzipeleka wilaya ya kakonko Amesema baada ya kupokea barua hiyo ilipelekwa kwenye kikao cha kamati ya siasa ya wilaya hiyo na kujiridhisha  kisha kukubaliana na ombi hilo kwani anabaki kuwa mwanachama wa kawaida   Gwegenyeza ambaye alikuwa mshindi wa pili katika kura za maone kusa nafasi ya ubunge katika jimbo la muhambwe alipoulizwa juu ya kujiuzulu kwake amesema kuwa ameamua mwenyewe baada ya kuona anatumia garama kubwa kusafiri kuja wilaya kibondo akitokea kakonko ambako alihamishia shuguli zake za kibiasha katibu ccm wilaya ya kibondo Emmanuel Gwegenyeza aliyekuwa

Mgombea uraisi kupitia chama cha ukombozi wa umma Chauma Bw.Hashimu Rungwe amesema endapo wananchi watampa ridhaa ya kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mwaka huu atahakikisha anasimamia Elimu ya watu wazima na kilimo ndege ndiyozitakazomwagilia mashamba ya wakulima .

Picha
Hashim Rungwe nikiwa Rais ndege zitamwagilia mashamba ya wakulima Mgombea uraisi kupitia chama cha ukombozi wa umma Chauma Bw.Hashimu Rungwe amesema endapo wananchi watampa ridhaa ya kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mwaka huu atahakikisha anasimamia Elimu ya watu wazima na kilimo ndege ndiyozitakazomwagilia mashamba ya wakulima . Hayo aliyasema jana wakati akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika wilaya ya kibondo mkoani kigoma alipokuwa akiomba kura kwa wananchi ikiwa ni pamoja na kumnadi mgombea ubunge wa jimbo la mhambwe kupitia chama hicho  Bw.Nduhirubhusa mapigano. Bw.Rungwe amesema jamii  kubwa katika nchii hii inakabiliwa na matatizo ya matabaka ya walionacho na maskini hali inayosababisha chuki na kueleza kuwa yeye atamwezesha kila mwenye uwezo wa kufanya kazi kupata fulsa nzuri hasa kutoa elimu katika kile wanachowezakukifanya ili kuleta maendeleo kwa wote na kuondoa matabaka Aliongeza kuwa ni vema kuwa kila mmoja akafanya kazi kwa bidii i