Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2023

WANAFUNZI WASHINDWA KUFIKA SHULENI BAADA YA KUKUTA MTO UMEFURIKA

Picha
Baada ya kufungua shule kwa kumaliza likizo ya robo mwaka Wanafunzi wa shule ya sekondari Ikambi iliyoko Wilayani Kakonko Mkoani Kigoma wameshindwa kufika shuleni hapo kuanza masomo baada ya kufika njiani na kukuta Mto umerika Maji na kushindwa kupita Wanafunzi hao baadhi ambao ni Leonida Eduad na Jayros Yora wamesema Maji katika eneo hilo yamefunika Daraja ambalo huwa wanalitumia kuvu ka kwenda shuleni kwao hivyo wameshindwa kuvuka kwa hofia kuzama  Mto huo Muwazi ulioko kwenye Kijiji cha Itumbiko  umesababisha kukatika kwa mawasiliano ya shule ya Sekondari Ikambi na maeneo  iirani ambapo wanafuni wa shule  hiyo wameiomba serikali kurekebisha Miundombinu ya Barabara mawasiliano yarejee tena Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya hiyo imefika kwenye eneo la Tukio ambapo Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Evance Malasa amesema mpaka sasa hakuna madhala ambayo yameshatokea  kutokana na Mtuo huo kujaa Maji na kuiomba serikali kujenga daraja lenye uwezo wa kuimili nguvu ya maji eneo hilo Amesema kwa

FPCT NYAWELA WAZINDUA JENGO JIPYA

Picha
 Kanisa la Free Pentekote Tanzania FPCT Kibondo Mkoani Kigoma limefanya uzinduzi wa Jengo la Kanisa Jipya katika Mtaa wa Boma Nyawela, ambalo ujenzi wake ulilianza ujenzi wake mwaka 2021 na linatarajia kukamilika mwaka huu 2023 Akizindua Jengo la Kanisa hisa hilo Askofu wa Kanisa la FPCT  Meshak Buhimbi amewapongeza Wahumini wa Kanisa hilo kujitolea Michango yao na kuhakikisha wanafanikisha malengo yao huku akiwataka kuendelea kujitoa kwa kazi zingingine za kijamii na kuwasaidia wahitaji Akiwa katika Ibada ya  kuadhimisha siku hii ya Pasaka Jamii imehaswa kushirikiana na serikali kupinga Vitendo viovu ili kudumisha Amani ya nchi kama anavyoeleza Askofu kanisa la Free pentekoste Kibondo Meshack Buhini katika Ibada iliyofanyika Kanisa la Nyawela Kibondo ambapo amesema licha ya uwepo wa sheria ipo haja ya Watu kujiepusha na uharifu kwa hiali yakiwemo mapenzi ya jinsia moja  Aidha meshak amesema licha ya uharibifu mkubwa unaonekana kutokana na mmomonyoko wa maadili ndani ya jamii Wakristo