Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi, 2026

Magu yapunguza vifo vitokanavyo na uzazi asilimia 70 kwa miaka mitano

Picha
  Mwanza . Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza imefanikiwa kupunguza Vifo vitokanavyo na uzazi   kutoka vifo 112 hadi 42 katika kipindi cha miaka mitano baada ya serikali kuboresha huduma kwa kutoa vifaa na kuongeza miundombinu ya majengo Voronica Gibson Mkazi wa Magu Hellen Chizere Muuguzi mfawidhi Hospitali ya Wilaya ya Magu Raphaem Mhana Mganga Mkuu W ya Magu Raphael Mhana Mganga Mkuu Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza ameeleza kipindi cha2015hadi 2020,   hali ilikuwa hairidhishi ikilinganishwa na takwimu kuanzia 2020 hadi 2025   baada ya kufanyika   maboresho katika sekta ya Afya Hata hivyo Mhana amesema kutokana na maboresho hayo kwa sasa wanatengeza na Miguu bandia ambayo inasaidia Watu wanaopata matatizo mbalimbali zikiwemo ajali ‘’Wagonjwa wenye Matatizo ya Viungo hasa Miguu walemavu wa kuzaliwa na wanaokuwa wamepata ajali katika Wilaya ya Magu na maeneo ya jirani,wamekuwa wakisafiri kwenda mbali kutafuta huduma ya Miguu bandia lakini kwa hivi sasa   baada...