KUHITIMISHA UCHUKUAJI FOMU KINYANG'ANYIRO CHA UBUNGE JIMBOLA MUHAMBWE CCM
![]() |
rAPHAEL SUMAYE KATIBU CCM WILAYA YA KIBONDO |
Chama cha Mapinduzi Ccm
kimehimisha zoezi la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania fafasi za
Ubunge na Udiwani kamalilivyoanza June 28,2025 hadi leo julai 2,2025 kwa
Wanachama wake kwa ajili ya uchaguzi Mkuu
kuwapata Madiwani,Wabunge na Rais unaotarajiwakufanyika octoba mwaka huu
Katika Jimbo la Muhambwe
Kibondo Mkoani Kigoma,wamejitokeza Wananchama wa Ccm walioonyesha Nia ya
kugombea ubunge kuitia ccm idadi
imetajwa ni 17 na wote wamerejesha fomu
zao kwa wakati
Aidha Sumaye amesema baada ya hatua hiyoya
awali itaendelea michakato mingine ili
kifikia malengo yanayokusudiwa huku Waliochukua fomu kugombea udiwani Kata
zote ikitajwa idadi ni wanachama 96 na hakuna malalamiko
yaliyojitokeza kwa madai ya kutotendewa
haki
Jimbo la Muhambwe
linaundwa na Vitongoji 420,Vijiji 50 na Kata 19 huku baadhi ya watia
ambao ni Adrian Thoma Andason Njiginya na Japhet Jakson wakieleza kuridhishwa
na zoezi lilivyoendeshwa kwa amani na utulivu
bilaMizengwe yoyote
Amina
JibuFuta