Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2015

Wanavijiji kata ya Mulungu wilaya ya kibondo uenda wakahitaji msahada wa chakula

Picha
Wanavijiji kata ya Mulungu uenda wakahitaji msahada chakula Wakazi wa vijiji vya Kumbanga na Kumuhasha, Kata ya Mulungu Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma uenda wakakumbwa na Baa la njaa mwaka huu baada ya jua kali na kukosa mvua za kutosha katika msimu wa kilimo mwaka jana hali iliyosababisha mazao kuharibika mashambani Wakiongea kwa nyakati tofauti baadhi ya wananchi hao ambao ni Astelia Adriano na Julias Paulo wote wakazi kumbanga mkazi wa Kumbanga  kwa nyakati tofauti kutoka katika vijiji hivyo wakazi wa vijiji hivyo, wamesema kuwa katika msimu wa kilimo wa mwaka jana hawakupata  mvua za kutosha na kuwafanya wakulima  kupata mavuno kidogo ya chakula ambapo wengi wao wanahofia  kutofika kwenye msimu ujao wa kilimo wakiwa na chakula katika familia zao,  tofauti na vipindi vilivyopita maana wamekuwa wakipata Gunia kati ya 40 hadi 50 kwa hekali moja ila msimu huu wengi wao wamepata gunia moja hadi 2 kwa hekali moja Wamedai kuwa hali hiyo imewahathili hasa wazazi wenye wan

Ofisi za Halmashauri ya Kibondo za teketea kwa Moto

Picha
Jengo la Halmashauri  ya wilaya Kibondo mkoani Kigoma liliungua na kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana na kusababisha hasara kubwa ikiwa ni majengo na vitu mbalimbali Kwa mujibu wa mashuhuda ambao ni walinzi wa ofisi hizo waliokuwa  zamu, ambao ni Musa Moshi Ndayimisi Gwakila   wamesema kuwa muda wa saa saba usiku wa kuamkia leo waliona moto mkubwa ulio lipka kwa gafla katika jingo la masijala na wao kuchukua harua za kulitaalifu jeshi la Polisi kwa msahada zaidi Judathadiusi mboya mkurugenzi mtendaji Halmashauri hiyo amekiri kuwepo kwa ajali hiyo, na kusema kuwa ofisi zilizoungua ni Utumishi, Masjala ya wazi naya siri pamoja na ofisi ya mkurugenzi na kuongeza kuwa vitu vyote vilivyokuwa katika ofisi hizo vimeteketea  ikiwa  nyaraka mbalimbali Samani za ndani na compute na kuongeza kuwa kuwa hasara haijafahamika niasi gani hadi pale atakapopatikana mtaalam ili kufanya tahmini  Ester Jackson na Ayubu Bagite, ni baadhi ya Wakazi wa mji wa kibondo waliofika katika eneo l

Lipumba ziarani Kigoma

Picha
Professor Ibrahim Lipumba mwenyekiti Cuf Taifa alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Kibondo mkoani Kigoma katika mkutano wa hadhala Lipumba ziarani Kigoma Kwakuwa mwaka huu wa 2015 ni mwaka wa uchaguzi katika nchi ya Tanzania Wananchi wametakiwa kuhakikisha wanajiandikisha kwa wingi katika maene ambayo bado zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ili waweze kutimiza wajibu wao katika uchaguzi unaotarajia kufanyika October mwaka huu Hayo aliyabainisha Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi Cuf  Profeser Ibrahim Lipumba  alipokuwa akiongea na Wananchi kwenye mkutano wa hadala uliofanyika jana katika Viwanja vya Community mjini Kibondo  Lipumba alisema kuwa watanzania wanatakiwa kucha ushabiki usiyokuwa na tija bali wanatakiwa kufanya uamzi wa mabadiliko kwa kuchagua viongozi bora na wenye maadili  na wale watakao weza kulitumikia Taifa hili kwa moyo wa dhati kwani linakabiliwa na changamoto nyingi Aidha alisema kuwa Tanzania inatajwa kuwa na Raslimali