Ofisi za Halmashauri ya Kibondo za teketea kwa Moto

Jengo la Halmashauri  ya wilaya Kibondo mkoani Kigoma liliungua na kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana na kusababisha hasara kubwa ikiwa ni majengo na vitu mbalimbali

Kwa mujibu wa mashuhuda ambao ni walinzi wa ofisi hizo waliokuwa  zamu, ambao ni Musa Moshi Ndayimisi Gwakila   wamesema kuwa muda wa saa saba usiku wa kuamkia leo waliona moto mkubwa ulio lipka kwa gafla katika jingo la masijala na wao kuchukua harua za kulitaalifu jeshi la Polisi kwa msahada zaidi

Judathadiusi mboya mkurugenzi mtendaji Halmashauri hiyo amekiri kuwepo kwa ajali hiyo, na kusema kuwa ofisi zilizoungua ni Utumishi, Masjala ya wazi naya siri pamoja na ofisi ya mkurugenzi na kuongeza kuwa vitu vyote vilivyokuwa katika ofisi hizo vimeteketea  ikiwa  nyaraka mbalimbali Samani za ndani na compute na kuongeza kuwa kuwa hasara haijafahamika niasi gani hadi pale atakapopatikana mtaalam ili kufanya tahmini

 Ester Jackson na Ayubu Bagite, ni baadhi ya Wakazi wa mji wa kibondo waliofika katika eneo la tukio kudai  kuwa moto huo uenda ungewza kuzimwa na kunusuru mali za umma  lakini ilishindikana  japo wengi walijitaidi kuzima hivyo kuiomba serikali kuleta kikosi cha zima moto katika wilaya hii ili kuepuka majanga kama hayo yanayoweza kujitokeza tena

Marko Joshua Ocd kibondo ameeleza namna alivyopata taarifa na kushugulikia tatizo hilo la kuzima moto japo ilishindika na kudai kuwa uchunguzi unafanyika ili kujua chanzo cha moto huo kama ni hitlafu ya umeme aula ili taratibu zifuatwe

Wilaya hiyo hadi sasawilaya kibondo haina Kikosi cha zimamoto pamoja na mabadiriko ya kimaendeleo ikiwa ni pamoja na ukuaji wa kiuchumi unaweza kusababisha mambo mbalimbali ikiwa ni majanga ya tofauti na zamani ikilinganishwa na sasa kuwepo kwa nishati umeme hku wakazi wengi wakiwa hawana elimu ya uzimaji moto na matumizi ya umeme majumbani
Mwisho 
Mabaki ya ofisi za Halmashauri ya W Kibondo iliteketea Kwa Moto
Ndayimisi Gwakila Mlinzi Shuhuda
M. Joshua Ocd Kibondo
J Mboya Ded Kibondo
Ester Jakson Mkazi wa Kibondo

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao