Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2016

Wakazi wa mikoa ya Kagera na Kigoma ambao mikoa yao iko mipakani mwa Nchi za Burundi na Rwanda wametakiwa kuacha tabia ya kuwakaribisha wahamiaji haramu wanaoingia nchini kinyume cha sheria ambapo wengi wao wamekuwa wakiingia na siraha za Mototo na kuzitumia katika uharifu hapa nchini

Picha
Wakazi wa mikoa ya Kagera na Kigoma ambao mikoa yao iko mipakani mwa Nchi za Burundi na Rwanda wametakiwa kuacha tabia ya kuwakaribisha wahamiaji haramu wanaoingia nchini kinyume cha sheria ambapo wengi wao wamekuwa wakiingia na siraha za Mototo na kuzitumia katika uharifu hapa nchini Akiongea na Wananchi wa Mikoa hiyo jana,  George Mbijima ambaye ni Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa 2016 kwenye makabidhiano ya Mwenge wa uhuru uliokuwa ukitoka Kigoma na kwenda Kagera, amewataka wakazi wa mikoa hiyo  wanapoona kuwa kuna wimbi la watu hao watoe taarifa kwa viongozi ili hatua zichukuliwe Aidha Mbijima alisema kuwa wapo baadhi ya watanzania ambao wamekuwa wakishirikiana na wahamiaji haramu kwa kufanya vitendo vya uharifu wa kutumia siraha kama ujambazi na ujangili hali ambayo imekuwa ikisababisha mauwaji ya raia wasiyokuwa na hatiana kirudisha nyuma maendeleo ya watu   ‘’Serikali haitalifumbia macho jambo hili na mtu yeyote atakaebainika kuwakumbatia wahamiaji har

Watendaji katika Idara mbalimbali za halmasauri za wilaya wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu kwa kufuata miongozo taratibu za kazi na kutumia taalumao ili kuleta ufanisi na kuondoa manug’uniko katika jam

Picha
Kibondo ; Mkuu wa wilaya ya Kibondo Luis Peter Bule akikabidhiwa mwenge wa uhuru kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Kasulu ulipokuwa ukianza mbio zake wilayani kibondo Watendaji katika Idara mbalimbali za halmasauri za wilaya wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu kwa kufuata miongozo taratibu za kazi na kutumia taalumao ili kuleta ufanisi na kuondoa manug’uniko katika jamii Kauli hiyo ilitolewa jana  na Kiongozi wa mbio za mwenge  Kitaifa George Mbijima alipokuwa akiwahutubia mamia ya wakazi wa Kibondo Mkoani kigoma mwenge huo ulipofanya mbio zake wilayani humu kama taratibu zambio  zake zinazoendelea  hapa nchini Mbijima ameseme kuwa hivi sasa serikali imeelekeza nguvu zake wanawake na Vijana katika kuwawezesha kwa kupitia katika halmashauri zao lakini wapo baadhi ya watendaji wasiokuwa waadilifu mara zinapotokea fulsa kwa walengwa wao uzipora na kuwapa watu wao au kuziingiza katika makampuni yao binafsi Mwenge  huo katika mbio zake wilayani Kibondo  ulite

Kibondo; Serikali ya Uberigiji kupitia shiraka la Maendeleo la nchini humo BTC, kwa kushirikiana na serikali ya Tanzania imetoa msahada wa Mahema 22 yenya thamani ya shilingi milion miamoja kwa ajili ya wakulima na wafugaji Nyuki wa Mkoa wa kigoma ili kuboresha utendaji kazi wakati wa uvunaji wa mazao ya nyuki

Picha
Mwemezi Muhingo Mwananchi Kibondo;  Serikali ya Uberigiji kupitia shiraka la Maendeleo la nchini humo BTC,  kwa kushirikiana na serikali ya Tanzania imetoa msahada wa Mahema 22 yenya thamani ya shilingi milion miamoja kwa ajili ya wakulima na wafugaji Nyuki wa Mkoa wa kigoma ili kuboresha utendaji kazi wakati wa uvunaji wa mazao ya nyuki Akiongea katika hafla fupi ya kukabidhi mahema hayo, kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa kigoma Kaimu katibu Tawala wa mkoa huo anaehusika na ushauri wa uchumi Robinson Mwanjala ambae alikuwa mgeni rasmi,  ameipongeza serikali ya uberigiji  wakati wa kukabidhi msahada huo na  amewataka wafugaji nyuki kuhakikisha wanayatumia ipasavyo na kwa malengo yanayo kusudiwa ili kazi yao iweze kuwa na tija Mwanjala aliwataka wafugaji hao na wakulima kuhakikisha wanatumia vizuri elimu waliopewa katika kuvuna mazao ya Nyuki kwa kuzingatia usalama wa chakula kwa watumiaji ambapo vikundi 7 vya ushirika katika wilaya za kakonko KibondoUvinza, Kasulu