Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2018

Shirika la Bima la taifa limekabidhi jumla ya mifuko miamoja hamsini ya saruji yenye thamani ya shilingi milioni tatu katika wilaya ya kibondo mkoani kigoma ilikusaidia kukamirisha ujenzi wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya.

Picha
Shirika la Bima la  taifa imekabidhi jumla ya mifuko miamoja hamsini ya saruji yenye thamani ya shilingi milioni tatu katika wilaya ya kibondo mkoani kigoma ilikusaidia kukamirisha ujenzi wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya. Akizungumza katika makabidhiano hayo Mkuu wa Francko Enock Meneja shirika la Bima Mkoa wa Kigoma Mwanaidi Shimweta mkuu wa kitengo cha mahusiano shirika la Bima la TaifaAdd caption Atashasta Nditiye Naibu waziri ujenzi mawasiliano na uchukuzi Lazaro Shami mkazi wa Kibondo kitengo cha mahusiano shirika la Bima la taifa Mwanaidi Shemweta amesema kwa kutambua umuhimu wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya wameona ni vyema kuunga mkono jitihada hizo ilikupunguza tatizo hilo Kwa upande wake Naibu waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye  amesema tayari wameshafanya ufatiliaji wa kujua shule ambazo zinamapungufu mkubwa hivyo watatoa kipaumbele kwao ilikuwezesha wanafunzi kusoma kwa uhuru Ndit

Wanafuzi wanaosoma katika shule za sekondari za Binafsi na serikali wamelalamikia hatua za baadhi ya walimu wanaoajiriwa katika shule hizo na wale wanaojitolea kwenye shule za serikali kwa vitendo vya kuhamahama hali inayosababisha kitoweza kujifunza ipasavyo

Picha
Baadhi ya Wahitimu kidato cha sita 2018 shele ya Sekondari Bonconclii Mabamba Generoza Mpililwe Mkuu wa shule Bonconclii Devoter Januali mwalimu Oscar Daniel Mwalimu Lodrika Stewrt mwanaunzi Agripina Audax Mwanaunzi Fr Fransis Laswai mgeni Rasmi Wanafunzi wanaosoma katika shule za sekondari za Binafsi  na serikali wamelalamikia hatua za baadhi ya walimu wanaoajiriwa katika shule hizo na wale wanaojitolea kwenye shule za serikali kwa vitendo vya kuhamahama  hali inayosababisha kutoweza kujifunza ipasavyo Wanafunzi hao wakiongea na Clouds Tv wakati wa Mahafali ya 16 ya kuhitimu  kitado cha sita katika shule ya sekondari Bonconcilii Mabamba Kibondo mkoani Kigoma. ambapo wameeleza kuwa kila mwalimu ana namna ya ufundishaji wake hivyo anapoondoka gafla usababisha wanafunzikuanza upya kumuelewa mwalimu mpaya Wamasema kuwa  hali hiyo imekuwa ikisababisha wengi wao kushindwa kufanya vizuri na kuiomba serikali na wamiliki wa shule binafsi k

Kibondo;Kutokana na changamoto nyingi zinazowakabili wanawake, Jamii imetakiwa kulitazama kundi hilo kwa jicho la pekee ili kuondoa kero na kuboresha maisha yao

Picha
Kibondo; Kutokana na changamoto   nyingi zinazowakabili wanawake, Jamii imetakiwa kulitazama kundi hilo kwa jicho la pekee ili   kuondoa kero na kuboresha maisha yao Wanawake ndiyo wenye changamoto nyingi na kundi hili. liko kama vile limesahaulika   lakini ndiyo wenye uthubutu katika kufanya kazi      kukopa na wenye uaminifu wa kulipa fedha kama marejesho ya fedha zinazokuwa zimechukuliwa na makundi yao na kuyataka mashirika. taasisi za serikali na za binafisi kuyatazama makundi ya wanawake kwa Nyanja zote Kauli hiyo ilitolewa jana   na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya Kibondo Mkoani Kigoma Juma Mnwele alipokuwa akifungua washa ya kujenga uelewa kwa maofisa ugani na waratibu elimu ili nao waweze kuwaelekeza walengwa wa mpango wa kusuru kaya kupitia shirika la Tasaf ili kuunda vikundi vya kuweka akiba na kukuza uchumi wao   kupitia shirika la hifadhi ya jamii Tasaf     mafunzo hayo yanafanyika mjini Kibondo Warsha hiyo imewahusisha maafisa ugani wa kata na