Wanafuzi wanaosoma katika shule za sekondari za Binafsi na serikali wamelalamikia hatua za baadhi ya walimu wanaoajiriwa katika shule hizo na wale wanaojitolea kwenye shule za serikali kwa vitendo vya kuhamahama hali inayosababisha kitoweza kujifunza ipasavyo



Baadhi ya Wahitimu kidato cha sita 2018 shele ya Sekondari Bonconclii Mabamba


Generoza Mpililwe Mkuu wa shule Bonconclii

Devoter Januali mwalimu

Oscar Daniel Mwalimu

Lodrika Stewrt mwanaunzi

Agripina Audax Mwanaunzi

Fr Fransis Laswai mgeni Rasmi
Wanafunzi wanaosoma katika shule za sekondari za Binafsi  na serikali wamelalamikia hatua za baadhi ya walimu wanaoajiriwa katika shule hizo na wale wanaojitolea kwenye shule za serikali kwa vitendo vya kuhamahama  hali inayosababisha kutoweza kujifunza ipasavyo

Wanafunzi hao wakiongea na Clouds Tv wakati wa Mahafali ya 16 ya kuhitimu  kitado cha sita katika shule ya sekondari Bonconcilii Mabamba Kibondo mkoani Kigoma. ambapo wameeleza kuwa kila mwalimu ana namna ya ufundishaji wake hivyo anapoondoka gafla usababisha wanafunzikuanza upya kumuelewa mwalimu mpaya


Wamasema kuwa  hali hiyo imekuwa ikisababisha wengi wao kushindwa kufanya vizuri na kuiomba serikali na wamiliki wa shule binafsi kuandaa mazingira mazuri huku baadhi ya walimu ambao ni Oscar Daniel na Devoter Januali wakisema kuwa wengi wao wamekuwa wakikimbilia ajira za serikalini kwakuwa ndo kuna mikataba ya kudumu na ajira za uhakika


Kwa upande wake Askofu wa Jimbo Katoliki la Kigoma Joseph Mlola aliyewakilishwa na Padre Fransis Laswai  wa Parokia ya Kasumu amewataka wahitimu kutumia elimu wanayoipata kutoka mashule kuisaidia jamii kama wasomi na kuacha kujiunga na makundi yasiyofaa huku mkuu wa shule hiyo Generoza Mpililwe akiwataka kuwa wanyeyekevu na nidhamu ndipo watakapofanikiwa


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao