Shirika la Bima la taifa limekabidhi jumla ya mifuko miamoja hamsini ya saruji yenye thamani ya shilingi milioni tatu katika wilaya ya kibondo mkoani kigoma ilikusaidia kukamirisha ujenzi wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya.

Shirika la Bima la  taifa imekabidhi jumla ya mifuko miamoja hamsini ya saruji yenye thamani ya shilingi milioni tatu katika wilaya ya kibondo mkoani kigoma ilikusaidia kukamirisha ujenzi wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya.

Akizungumza katika makabidhiano hayo Mkuu wa


Francko Enock Meneja shirika la Bima Mkoa wa Kigoma

Mwanaidi Shimweta mkuu wa kitengo cha mahusiano shirika la Bima la TaifaAdd caption

Atashasta Nditiye Naibu waziri ujenzi mawasiliano na uchukuzi


Lazaro Shami mkazi wa Kibondo
kitengo cha mahusiano shirika la Bima la taifa Mwanaidi Shemweta amesema kwa kutambua umuhimu wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya wameona ni vyema kuunga mkono jitihada hizo ilikupunguza tatizo hilo

Kwa upande wake Naibu waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye  amesema tayari wameshafanya ufatiliaji wa kujua shule ambazo zinamapungufu mkubwa hivyo watatoa kipaumbele kwao ilikuwezesha wanafunzi kusoma kwa uhuru

Nditiye amesema baada ya serikali kutoa Elimu bure kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wazazi kuwapeleka watoto shule ambapo kumekuwa na upungufu wa madarasa hivyo wanatarajia kusaidia kwa kiasi kikubwa na kuwataka wananchi kuendelea kuiitolea kushiriki katika maendeleo yao wenyewe

Nao baadhi ya wananchi waliohudhulia katika zoezi hilo wamesema bado changamoto ni nyingi hasa kwa upande wa sekta ya afya na kesema kuwa msahada huo utapunguza changamoto za wananchi kusairi umbali mreu kuuata huduma za afya kama zitaunganishwa nguvu za wananchi na misahada misahada ya wadau wengine

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao