Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti, 2023

Mashabiki wa Simba waadhimisha kwa kufanya shughuli za kijamii

Picha
  Vaileti Macha Mwanafunzi shule ya sekondari Kibondo Frolrntina Thelathini Mwanafunzi Hija Othman Mwenyekiti wa Simba Tawi la Kibondo alipokuwa akiongea na Waandishi wa habari Hija Othman Mwenyekiti wa Club ya Simba Tawi la Kibondo alipokuwa akimkabidhi mmoja wa wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Kibondo Muhingo Mwemezi Kibondo Kuelekea Kilele cha maadhimisho siku ya Timu ya Mpira wa Miguu ya Simba Wanachama na Mashabiki wa Timu hiyo Wilayani Kibondo Kigoma,   leo Agost 5,2023 wametoa Msaada wa Taulo za Kike kwa wanafunzi wa shule ya sekkondari ya wasichana Kibondo Hija Othman ni Mwenyekiti wa Tawi   la Kibondo ameeleza lengo na madhumuni ya kutoa msaada huo kuwa kwa kile wanachokipata ni lazima kirudishwe kwenye Jamii Aidha amesema kuwa kuwa Watoto wa Kike hasa walioko mashuleni wamekuwa wakikumbwa na changamoto ya kupata   vifaa vya   kujistili wakati wa hedhi hatua ambayo upelekea kuathirika kisaikolojia ka   kushusha kiwango cha ujifunzaji Licha ya utoaji wa Msaa

DKT. MPANGO AITAKA TBA KUJITEGEMEA

Picha
    DKT. MPANGO AITAKA TBA KUJITEGEMEA   MakamuwaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip IsdorMpangoamefunguajengo la makazi la kibiasharanakusisitizakwambaSerikaliitaendeleakuziwezeshaTaasisizakekuwanamiradimikubwaitakayoziwezesha kujitegemea.   Akizungumzakatikahaflayaufunguziwajengo la makazi la kibiasharalililosekeijijini Arusha Dkt. MpangoamesemaSerikaliimeiruhusuWakalawaMajengoNchini (TBA)kushirkiananasektabinafsikwaubiailikuiwezeshakutekekezamiradiyakimkakatinaitakayoletatijaharakanahivyokupunguzautegemezi wake kwaSerikali.   “Nawapongezakwaujenziwajengozuri la kisasa, endeleeninampangowakujengamajengoyaainahiikatikamaeneombalimbaliyakimkakatiyatakyowezeshakuhudumia kaya nyinginazingatieniuhifadhiwamazingiranakwakupandamitinamauanakuwekamifumomizuriyakuondoshatakataka’ amesema Dkt. Mpango.   Dkt. Mpangoameitaka TBA kufanyauwekezajiwenyetijakatikamaeneoyakenakuhakikishawapangajiwamajengoyakewanalipakodikwawakati. AmeitakaWizarayaUwekezajikuhakikish