DKT. MPANGO AITAKA TBA KUJITEGEMEA


 
 





DKT. MPANGO AITAKA TBA KUJITEGEMEA

 

MakamuwaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip IsdorMpangoamefunguajengo la makazi la kibiasharanakusisitizakwambaSerikaliitaendeleakuziwezeshaTaasisizakekuwanamiradimikubwaitakayoziwezesha kujitegemea.

 

Akizungumzakatikahaflayaufunguziwajengo la makazi la kibiasharalililosekeijijini Arusha Dkt. MpangoamesemaSerikaliimeiruhusuWakalawaMajengoNchini (TBA)kushirkiananasektabinafsikwaubiailikuiwezeshakutekekezamiradiyakimkakatinaitakayoletatijaharakanahivyokupunguzautegemezi wake kwaSerikali.

 

“Nawapongezakwaujenziwajengozuri la kisasa, endeleeninampangowakujengamajengoyaainahiikatikamaeneombalimbaliyakimkakatiyatakyowezeshakuhudumia kaya nyinginazingatieniuhifadhiwamazingiranakwakupandamitinamauanakuwekamifumomizuriyakuondoshatakataka’ amesema Dkt. Mpango.

 

Dkt. Mpangoameitaka TBA kufanyauwekezajiwenyetijakatikamaeneoyakenakuhakikishawapangajiwamajengoyakewanalipakodikwawakati.


AmeitakaWizarayaUwekezajikuhakikishainawekamsukumokwenyeujenziwaviwandavya vifaavyaujenziilikupunguzagharama za ujenzihivyokuwezeshaSerikalikufikialengo la ujenziwanyumbanyingizitakazokidhimahitajiyaongezeko la idadiyawatu.

 

“Serikaliimedhamiriakukuzasektayanyumbailiichangiepato la Taif ana hivyokukuzauchumi’ amesisitizaDkt. Mpango.

 

Kwa upande wake Waziri waUjenzinaUchukuzi, Prof. MakameMbarawa, amesemakuwaazmayaujenzihuuni chimbuko la TBA la kutakakujiendesha  kibiasharanahivyokupatafaida.

 

"Mfumowakisaawavitasajanja ilikudhibitiwapangajiwenyemadeninahivyokusaidiaulipajiwakodikwamudamuafaka,lengoni TBAnikupatamapatozaidinakujiendeshayenyewe." amesisitiza Prof. Mbarawa.

 

Naye Waziri Ardhi, NyumbanaMaendeleoyaMakazi, Dkt. Angelina Mabula, ameipongeza TBA kwakujengamajengomarefuyanayohudumiaidadikubwayawatunakusisitizakuwamajengohayoyaendanenauweponamaegeshoyamagari.

 

Amesisitizakuwamahitajiyanyumbanchinizaidiya 390,981 kwamwakawakatinyumbazinazojengwanataasisimbalimbalikwamwakanichiniya 2,000.

 

Amewatakawadaumbalimbaliwaujenziwaendeleekujenganyumbailikuendananaongezeko la idadiyawatuambapoinakadiriwatakribanwatuzaidiyamilioni1.6 wanaongezekakilamwaka.

 

MkuuwaMkoawa Arusha, John Mongelaamesemajengohilolenyesakafu 11 limeongezathamaniyamjiwa Arusha hususankipindihikiambachoidadiyawataliiimeongezanahivyokuchocheashughuli za biasharakatikatiyajiji.

 

Awaliakitoataarifayamradihuo, MtendajiMkuuwa TBA, Arch. Daud KondoroamesemakukamilikakwamradihuoutawezeshaWakalakujengamajengomenginemarefuyamakazinabiasharakatikaeneo la Sekeiilikuhamasishashughuli za Utaliikatikajijihilo.

 

"Tumejipangakuhakikishamiradiyamakazinabiasharailiyoko Canadian - Masaki, jijini Dar es Salaam, Ghana Kotta jijini Mwanza, Tameke Kotta nanyumba 150 (Awamuya Pili) eneo la Nzunguni  jijini Dodomainakamilikailikuiwezesha TBA kuondokananautegemezikwaSerikali’ amefafanua Arch. Kondoro.

 

Jengola makazi la kibiasharaeneo la Sekei lenyesakafu 11linauwezowakuhudumia kaya 22 nalimegharimuzaidiya shilingi bilioni 6.8 ambapoujenzi wake umetekelezwakatikaawamunne.


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao