Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba, 2023

NMB kupunguza changamoto Madawati Shule za Msingi Wilayani KibondoFrolence Samizi Mbunge wa Muhambwe akisa

Picha
Frolence Samizi Mbunge wa Muhambwe alipokuwa akiongea na wakazi wa Busunzu Seka Urio Meneja wa NMB Kanda ya Magharibi Tabora alipokuwa akitoa salam zake wakati wa hafla ya makabidhiano shule ya Msingi Busunzu B Mkuu wa Wilaya ya Kibondo Kanali Agrey Magwaza  kushoto akikabidhiana Madawati na Meneja wa Benki ya NMB Seka Urio kanda ya ya Magharibi wakiwa katika shule ya Msingi Kibondo Mkuu wa Wilaya ya Kibondo Aggrey Magwaza akikabidhiana Madawati ya shule ya Msingi yaliyotolewa Na Benki ya NMB kulia ni Meneja wa Benki hiyo Kanda ya Magharibi Seka Urio Kibondo. Shule ya Msingi Busunzu B iliyoko Wilayani Kibondo Mkoa wa Kigoma yenye Idadi ya Wanafunzi 2980, inakabiliwa na Changamoto Mbalimbali ikiwa ni pamoja na uhaba wa Madawati hali ambayo imekuwa ikisababisha usumbufu kwa wanafunzi wakati wa ujifunzaji Shule hiyo ina Madwati 565 na inaupungufu wa Madawati 421 huku uhitaji ni Madawati 985 ambapo wanafunzi wa shule hiyo wameeleza changamoto hiyo ambavyo imekuwa ikiwasbabishia   adha

Malasa; Vijana mnaohitimu Mafunzo Jkt msijihusishe na uharifu

Picha
  Nasra Joseph Mhitimu Mafunzo ya Kijeshi Vijana Mujibu wa sheria Kanembwa Jkt Luten Kanali Matage Kimaro Kamanda Kikosi Kanembwa Jkt Kanali Evance Malasa Mkuu wa Wilaya ya Kakonko alipokuwa akiwahutubia Vijana Jkt Kanembwa                         Malasa;   Vijana mnaohitimu Mafunzo Jkt msijihusishe na uharifu   Vijana wanaomali za Mafunzo ya awali ya Kijeshi   Kijeshi katika Jeshi la kujenga Taifa wamehaswa kutotumia mafunzo hayo na mbinu za Kijeshi   walizofundishwa kufanya uharifu kutokana na ukakamavu na mbinu mbalimbali bali wawe waadi;ifu   Akifunga Mafunzo ya ya wali katika Kikosi cha 824 Kanembwa Jkt kilichoko wilayani Kakonko Mkoa wa Kigoma Mkuu wa Wilaya hiyo Kanali Evance Malasa amewataka Vijana hao kutambua   kuwa Taifa linawategemea na ndiyo lengo mahususi kuwapa mafunzo hayo hivyo wanatakiwa kuishi kwa maadili   Aidha ameongeza kuwa Mafunzo hayo ni muhimu kwa Vijana katika Taifa   na Stad mbalimbali ikiwa ni pamoja na utaifa wakitanguliza uzalendo popote watak

Wahitim Jkt wahaswa kuchangamkia Fursa zinazoibuliwa na serikaliVijana Jkt Mtabila Kikosi 825

Picha
  Wahitim Jkt Kikosi 825 Mtabila wakiwa kwenye Paredi siku ya kufunga mafunzo   Patrick Ndwenya Mkuu wa Kikosi 825 Mtabila  Isack Mwakisu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu alipokuwa akiwahubia mamia ya wananchi wakati wa kufunga Mafunzo ya awali ya Kijeshi mujibu wa sheria Mtabila 825 Kasulu. Vijana Nchini wametakiwa kuchangamkia Fursa zinazotolewa na serikali kama Kilimo na Ujasiriamali, ili kukabiliana na changamoto za ajira waweze kujikimu kimaisha Akiwa   kwenye Hafla ya Kufunga mafunzo ya awali ya Kijeshi Vijana mujibu wa sheria Oparasheni Miaka 60 ya Jkt Kikosi 825 Mtabila, Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma Isack Mwakisu amesema Vijana waache kutegemea kazi za maofini bali wafanye kazi mbalimbali kulingana na ujuzi wao Aidha aliongeza kuwa lipo pia tatizo la upatikanaji wa mitaji lakini wakifuata miongozo na taratibu nzuri wanaweza kupata mikopo kutoka Taasisi mbalimbali za fedha ikiwa ni pamoja na mikopo inayotolewa katika Halmashauri na Majiji hapa nchini ‘’Nawambia nyinyi vi