Malasa; Vijana mnaohitimu Mafunzo Jkt msijihusishe na uharifu

 
Nasra Joseph Mhitimu Mafunzo ya Kijeshi Vijana Mujibu wa sheria Kanembwa Jkt

Luten Kanali Matage Kimaro Kamanda Kikosi Kanembwa Jkt


Kanali Evance Malasa Mkuu wa Wilaya ya Kakonko alipokuwa akiwahutubia Vijana Jkt Kanembwa


                       Malasa;  Vijana mnaohitimu Mafunzo Jkt msijihusishe na uharifu

 

Vijana wanaomali za Mafunzo ya awali ya Kijeshi  Kijeshi katika Jeshi la kujenga Taifa wamehaswa kutotumia mafunzo hayo na mbinu za Kijeshi  walizofundishwa kufanya uharifu kutokana na ukakamavu na mbinu mbalimbali bali wawe waadi;ifu

 

Akifunga Mafunzo ya ya wali katika Kikosi cha 824 Kanembwa Jkt kilichoko wilayani Kakonko Mkoa wa Kigoma Mkuu wa Wilaya hiyo Kanali Evance Malasa amewataka Vijana hao kutambua  kuwa Taifa linawategemea na ndiyo lengo mahususi kuwapa mafunzo hayo hivyo wanatakiwa kuishi kwa maadili

 

Aidha ameongeza kuwa Mafunzo hayo ni muhimu kwa Vijana katika Taifa  na Stad mbalimbali ikiwa ni pamoja na utaifa wakitanguliza uzalendo popote watakapokuwa ili wawe mfano wa kuigwa na wengine

 

Vijana hao waliohitimu Mafunzo hayo, na Mujibu wa sheria OPrationa miaka 60 ya Jkt  ambapo Mkuu wa Kikosi 824 Kj Kanembwa Jkt  Luten Kanal Matage Kimaro amesema Vijana hao walipoingia Kikosiini hapo wameweza kujifunza mambo mengi kama shughuli za Kilimo Nidham Utunzaji wa muda kwani ni Dira,itakayowasaidia  popote watakakokuwa

 

 

Kwa upande wao baadhi ya Vijana waliohitimu mafunzo hayo wamesema yamekuwa chachu kwao kutokana na kujifunza stadi mbalimbali Kimasomo na Kijeshi huku wakiahidi kuishi kama kiapo chao kinavyowataka kuwa

 

 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao