Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2023

ERB KUWA WAFANISI KWENYE KUSIMAMIA MIRADI

Picha
  ERB KUWA WAFANISI KWENYE KUSIMAMIA MIRADI   KamatiyaKudumuya Bunge yaMiundombinuImewatakaBodiyaUsajiliWahandisi( ERB) kuwezakusimamiamiradiyaokwaufanisinakwaviwangovyahaliyajuu. AkizungumzamarabaaadayakupokeaTaarifayakiutendajiyaJulai- Oktoba Bungeni, jijini Dodoma, Mwenyekitiwakamatihiyo, Mhe. SelemaniKakoso, ameshauriBodikuwanawataalamuwakusimamiamiradiiliifanyikekwaumahirinaufanisizaidi. “Tuangaliesuala la ERB kuwezakusimamiamiradiyoteambayoimepangakuitekelezakwaWahandisiwazawanawahandisikutokanje, mfanousimamiziwaDaraja la kutokaSerengeti hadiTarimelimejengwanaWazawanalipovizurisana”, amesemaMheshimiwaKakoso. Aidha, MheshimiwaKakosoameongezakuwaWahandisiwaunganishwenaMafundiilikuwezakufanyakazikwapamojakwaniitaletatijanahatimayekuleteataasisimaendeleo Kwa upande wake, Naibu Waziri waUjenzi, Eng. Godfrey Kasekenya, ameishukuruKamatiyakudumuya Bunge la Miundombinu, nakusemakwambaSerikalikupitiaWizarayaUjenzi, imewapamajukumubodihiyokuwezakuwatambuakisheriaWahandisiwachi

Uboreshaji wa Elimu unahitaji ushirikiano wa pamoja

Picha
 Uboreshaji wa Elimu unahitaji ushirikiano wa pamoja  Kanali Evance Malasa Mkuu wa Wilaya ya Kakonko alipokuwa akizungunza kwenye hafla ya Makabidhiano ya Madawati na Vitanda vilivyolewa na Benki ya NMB  Seka Urio Meneja wa NMB Kanda ya Magharibu Stephan Ndaki Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kakonko Wakati serikali ikiendelea kuboresha miundombinu ya Elimu Wilayani KakonkoMkoani Kigoma, Mkuu wa Wilaya hiyo Evance Malasa ameitaka jamii kuendelea kushirikiana na walimu ili kuongeza ufaulu kwa Wanafunzi Maendeleo mazuri ya Mtoto shuleni yanategemeana na ushirikiano wa pamoja kati ya Mwalimu Mzazi au mlezi hivyo wasiachiwe walimu peke yao ameongeza kuwa si vizuri kusika ufaulu Wanafunzi   wa wilaya yao   unendelea kushuka kila kukicha Malasa aliyasema hayo juzi wakati wa hafla fupi ya kupokea Vitanda na Madawati yaliyotolewa na Benki ya NMB kwajili ya shule ya Msingi Itumbiko   ambapo amesema serikali kupitia wadau wamekuna jitiada za kuboresha elimu hivyo walimu nao hawana budi kut

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao

Picha
    Maulid Jumaa Mdau wa Elimu na Mkurugenzi Ahava Sekondari alipokuwa akizungumza na wanafunzi na Wazazi wakati wa Mahafali ya pili Kuitimu Kidato cha Nne  Frolence Samizi Mbunge wa Jimbo la Muhambwe alipokuwa akiwahutubia mamia katika mahafali ya pili kuhitimu Kidato cha nne 2023 Shule ya Sekondari Ahava iliyoko Kibondo Mkoani Kigoma Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao Muhingo Mwemezi   Kibondo Wazazi kutotimiza wajibu sababu zinazopelekea Vitendo vya mmomonyoko wa maadili kuendelea kushamili kwa Watoto na wengine kushindwa kufikia ndoto zao Licha ya maelekezo toka   kwa Serika na Wadau mbalimbali juu ya   wazazi na walezi ambayo uwataka kutimiza wajibu wao huwaachilia watoto wao katika masuala ya starehe bila maonyo na makaripio kwa watoto na kupelekea kushindwa masomo mwisho wa kwa wasichana kubeba Mimba na wavulana madawa ya kulevya Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali   Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wamesema wengi wao wamekuwa w