ERB KUWA WAFANISI KWENYE KUSIMAMIA MIRADI

 
















ERB KUWA WAFANISI KWENYE KUSIMAMIA MIRADI

 

KamatiyaKudumuya Bunge yaMiundombinuImewatakaBodiyaUsajiliWahandisi( ERB) kuwezakusimamiamiradiyaokwaufanisinakwaviwangovyahaliyajuu.

AkizungumzamarabaaadayakupokeaTaarifayakiutendajiyaJulai- OktobaBungeni, jijini Dodoma, Mwenyekitiwakamatihiyo, Mhe. SelemaniKakoso, ameshauriBodikuwanawataalamuwakusimamiamiradiiliifanyikekwaumahirinaufanisizaidi.

“Tuangaliesuala la ERB kuwezakusimamiamiradiyoteambayoimepangakuitekelezakwaWahandisiwazawanawahandisikutokanje, mfanousimamiziwaDaraja la kutokaSerengeti hadiTarimelimejengwanaWazawanalipovizurisana”, amesemaMheshimiwaKakoso.

Aidha, MheshimiwaKakosoameongezakuwaWahandisiwaunganishwenaMafundiilikuwezakufanyakazikwapamojakwaniitaletatijanahatimayekuleteataasisimaendeleo

Kwa upande wake, Naibu Waziri waUjenzi, Eng. Godfrey Kasekenya, ameishukuruKamatiyakudumuya Bunge la Miundombinu, nakusemakwambaSerikalikupitiaWizarayaUjenzi, imewapamajukumubodihiyokuwezakuwatambuakisheriaWahandisiwachiniambaoniWazawa.

“ Tumewataka ERB wawenakanzidatayakujuawahandisiwangapiwaliopoNjeyaNchi, natunatambua ERB niTaasisikubwaambayoinawahandisikilaSehemuambaowanafanyakazinaTanesco, Duwasa, REA hivyokuwenataarifazao.

Naye, MsajiliwaBodiyaUsajiliWahandisi( ERB) MhandisiBernadKavisheamesemakuwawamejipangavizurikuwezakuwainuawahandisiWazawakatikakazizamiradimbalimbaliambayoinatekelezwanaSerikaliyaJamhuriyaMuunganowa Tanzania.

“ TunaishukuruSerikaliyaAwamuyasitakwakuendeleakuwaaminiWahandisiwetuwandanikwakuwezakupatakazindaniyanchiambazowaponawanafanyavizurinakwaviwango, kaziambazozinafanywanipamojanakusimamiaBwawa la MwalimuNyerere.

Pia ameongezakuwaWahandisiwengiwanapataufadhilikupitiaSerikali,namafunzoyamudamfupiyanatolewanaBodi.

KamatiyaKudumuya Bunge yaMiundombinuleoimepokeaTaarifayaUtendajiwa TBA kwakipindi cha Julai - Oktoba 2023 iliyowasilishwanaNaibu Waziri waUjenzi Eng. Godfrey Kasekenyakwaniabaya Waziri waWizarahiyoMheshimiwa Innocent Bashungwa.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao