Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2024

KIBONDO KUUNDA SHERIA NDOGO KATIKA UCHANGIAJI WA CHAKULA MASHULENI

Picha
  Gabriel Chitupila Kaimu Mkurugenzi Hshauri Kibondo Jacklin Sospeter Afisa Lishe wilaya ya Kibondo Baadhi ya washiriki wa Kikao cha Kamati ya Lishe wilayani Kibondo waliokuwa wakitathmin hali ya Lishe wilayani Kibondo KIBONDO KUUNDA SHERIA NDOGO KATIKA UCHANGIAJI WA CHAKULA MASHULENI Licha ya hamasa na elimu kuendelea kutolewa kwa jamii juu ya uuchangiaji chakula mashuleni ili wanafunzi wapate chakula cha mchana Wilayani Kibondo Mkoa wa Kigoma, hatua hiyo bado ni kizungumkuti kutokana na baadhi ya wazazi na walezi kushindwa kutoa michango ya chakula na wanafunzi kushinda njaa Baadhi ya wanafunzi wanapata chakula cha mchana na uji   saa nne kutokana na wazazi wao kuchangia huku wengine wakishinda njaa mashuleni kutokana na wazazi na walezi kushindwa kutoa michango ya chakula Wanafunzi akiwemo Abdukarim Ramadhani na Jesca Reuben chakula wala uji ambao hawapati wamesema wanakumbana na wakati mgumu mara inapofika nyakati za mchana kutoka na kuhisi njaa ambapo usinzia na kushindwa ku

CHANGAMOTO WANAFUNZI WANAOACHA SHULE

Picha
  Muhingo Mwemezi Kigoma Kigoma. Licha ya uwepo wa maendeleo ya upatikanaji wa Elimu hapa nchini katika shule za Msingi na sekondari bado    tatizo la Wanafunzi kushindwa kumaliza shule   ni kubwa na linaendelea kutokana na saababu mbalimbali na kupelekea Watoto kukosa haki za Msingi Changamoto hiyo haina budi kutiliwa mkazo ikiwa ni pamoja na jamii   Wazazi na Walezi kote nchini kuendelea kuhimizwa na kuelimishwa kutambua umuhimu wa Elimu, ambapo makundi ya rika barehe kuanzia miaka 9 hadi 15 ndiyo wahanga wakubwa Tatizo hilo linachangiwa na sababu mbalimbali kama Umasikini Umbali wa kutoka katika maeneo ya Makazi kwenda kwenye huduma za shule hatua ambayo hupelekea Watoto wengi kukata tamaa   wakati mwingine kukumbwa na Vitendo kikatili mfano Takwimu za mwaka 2022 Mkoa wa Kigoma ulipata nafasi ya 8 Takwimu hizo zinaonyesha   Mkoa huo una Watoto waliokatisha masomo 10,355   wa shule za Msingi na ulikuwa   wa   na 17   kwa kuwa na Idadi ya Wanafunzi 4,231kwa shule za Sekondari
Picha
VIJANA JIAMININI NA MUWE NA MOYO WA KUFANYA KAZI Meja Generali Hawa Kodi aliyemwakilisha Mkuu wa Majeshi Kikosini Kanembwa Luteni Kanali Mantange Kombe Kamanda Kikosi 824 Kanembwa Kanali Evance Malasa Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Mgeni rasmi Janeth Alex Mmoja wa Wahitimu mafunzo ya awali ya Kijeshi Kanembwa Kakonko. Vijana wametakiwa kujiamini na kuwa na moyo wa kupenda kufanya kazi na kuwa tayari kulitumikia Taifa ili kuwa na Taifa lenye  ustawi mzuri   Akiwahutubia Vijana waliokuwa wanahitimu Mafunzo ya awali ya Kijeshi vijana wa kujitolea katika Jeshi la kujenga Taifa Kikosi cha 824 Kanembwa kilichoko Kakonko Mkoani Kigoma mwakilishi wa Mkuu wa Majeshi katika Mahafali hayo, Meja Generali Hawa Kodi amesema Vijana ni Taifa la leo na kesho  hivyo wana wajibu wa kujituma na kuheshimu maamuzi yao na kuzingatia Nidhamu   Adha ameongeza kuwa Vijana katika kujiunga na Jeshi la kujenga Taifa, walitoka kwenye maeneo mbalimbali hapa nchi na elimu,Makabila,Malezi na uelewa tofauti hivyo S