Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2016

Mkazi wa kijiji cha wilayani kibondo mkoani kigoma amehukumiwa kifungo cha miaka 60 jela baada ya kukutwa na hatika katika kosa la kumlawiti mkewe kinyume na maumbile bila lidhaa yake

Picha
Mwemezi Muhingo Kibondo Mkazi wa kijiji cha Kumhama wilayani kibondo mkoani kigoma amehukumiwa kifungo cha miaka 60 jela baada ya kukutwa na hatika katika kosa la kumlawiti mkewe kinyume na maumbile bila lidhaa yake Mbele ya hakimu mkazi  wa mahakama ya wilaya ya kibondo bw Erick Marley mwendesha mashitaka wa polisi bw Peter Makala amemtaja mtu huyo kuwa ni Jaribu Obedi mwenye umri wa miaka 26 mkazi wa kumuhama wilayan kibondo Bw Makala amesema kuwa mnamo tarehe 28 mpaka 30 mwezi wa 5 mwaka huu majira ya usiku katika kijiji cha kumuhama bw Jaribu alimlawiti mkewe aitwae jina linahifadhiwa, mwenye umri wa miaka 24 akiwa na mimba ya miezi saba na kwamba alimfanyia kitendo hicho siku tatu mfurulizo Aidha kitendo hicho kilisababisha mishipa kukosa nguvu hali ambayo humsababishia kutoa haja zote mfululizo bila kujizuia wala kujitambua  hali ambayo ilisababisha dada huyo kukosa uvumilivu na kwenda kutoa taarifa kwa dada yake anayeishi mtaa wa migombani mjini kibondo B

Serikali imeshauriwa kutengeneza utaratibu wa kuwatawanya Wakimbizi kwa kuanzisha makambi mengine zaidi katika mikoa mingine ili kuondoa mrundikano wa wakimbizi wengi katika eneo moja hatua inayosababisha kuwepo kwa uharibifu wa miundo mbinu mbalimbali

Picha
Mwemezi Muhingo Kibondo Serikali imeshauriwa kutengeneza utaratibu wa kuwatawanya Wakimbizi kwa kuanzisha makambi mengine zaidi katika mikoa mingine ili kuondoa mrundikano wa wakimbizi wengi katika eneo moja  hatua inayosababisha kuwepo kwa uharibifu wa miundo mbinu mbalimbali  Hayo yamesemwa na baadhi ya wadau wanaotoa  huduma kwa wakimbizi katika wilaya za kakonko na kibondo mkoani Kigoma wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku ya mazingira Duniani yaliyohusisha na utoaji  elimu ya uhifadhi wa mazingira kwa wakimbizi wa kambi ya Mtendeli wilayani Kakonko, kuwa ni vema makambi yakawa na idadi ndogo ya wakimbizi Nyinisaheri Gwamagobe ambaye ni Maneja wa shirika lijulikanalo kama Relief Devolment Societ REDESO, linalohisika na utunzaji wa mazingira katika makambi ya wakimbizi amesema kuwa wakimbizi wanapokuwa wengi katika eneo moja husababisha uharifu mkubwa wa miundo mbinu mbalimbali ikiwemo mazingira kwa muda na kupungua uwezo wa kuw

Kakonko;Wakazi wa wilaya ya Kakokonko mkoani kigoma wamemuomba Mkuu wa wa mkoa huo Brigedia General Msitaafu, Emmanuel Maganga kusimamia vema vyombo vya ulinzi na usalama wilayani humo baada ya kuingiwa na hofu kutokana na matukio ya mauwaji ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara

Picha
Mwemezi Muhingo, Mwananchi Add caption  Mkuu wa mkoa wa kigoma Brigedia General mstaafu akiongea na wananchi wa kakonko Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brigedi General a Mstaafu Emmanuel Maganga wa tatu kutoka kulia  akiwa amekaa kwenye madawati baada ya kukabidhiwa toka kwa meneja wa NMB kanda ya magharibi mjini Kakonko Kakonko; Wakazi wa wilaya ya Kakokonko mkoani kigoma wamemuomba Mkuu wa wa mkoa huo Brigedia General Msitaafu, Emmanuel Maganga kusimamia vema vyombo vya ulinzi na usalama wilayani humo baada ya kuingiwa na hofu kutokana na matukio ya mauwaji ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara Vitendo hivyo ambavyo vimekuwa vikifanyika katika maeneo mengi wilayani humo, watu wananyang’anywa mali zao wanajeruhiwa na wengine kuuwawa kikatili kwa kupigwa risasi na watu ambao wamekuwa hawafahamiki huku vyombo vya ulinzi vikidai vinaendelea na uchunguzi bila kutoa maelezo yanayoeleweka kwa wananchi Wakiongea jana katika kikao kilicho wahusisha viongozi wadini, madiwani

Mkuu wa mkoa wa Kigoma Emmanuel Maganga amewataka watumishi wa Serikali kuacha tabia ya kufanya kazi kwa mazoea pamoja na kutafuta maslahi binafsi pasipo kuihudumia jamii kwa mujibu wa taratibu za utumishi wa umma hali inayo sababisha malalamiko kwa wananchiMkuu wa mkoa wa Bligedia General Emmanuel Maganga alipokuwa akizungumza na wakazi wa kifura alipotembelea kituo cha afya na kuweka jiwe la msingi katika nyumba ya mganga

Picha
Mkuu wa mkoa wa kigoma Emmanuel Maganga akiongea na wakazi wa kifura alioweka jiwe la msingi katika nyumba ya mganga wa kituo cha afya kushoto Ruth Msafiri Mkuu wa wilaya ya kibondo Mkuu wa mkoa wakigoma Emmanuel Maganga akiweka jiwe la msingi katika nyumba ya mganga kituo cha afya kifura Mkuu wa mkoa wa Kigoma  Emmanuel Maganga amewataka watumishi wa  Serikali kuacha tabia ya kufanya kazi kwa mazoea pamoja na kutafuta maslahi binafsi pasipo kuihudumia jamii kwa mujibu wa taratibu za utumishi wa umma hali inayo sababisha malalamiko kwa wananchi Kauli hiyo ametoa  jana wakati akizungumza na wakuu  wa Idara za halmashauri na serikali kuu mjini kibondo mkoani humo, katika ziara yake ya kujitambulisha baada ya kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa kigoma akisisitiza kuwa,hali hiyo ndiyo inayopelekea kuwepo kwa mianya ya rushwa na ubadhilifu wa mali za serikali Alisema kuwa wapo watumishi wa serikali wasiyokuwa waadilifu na wasijali kazi zao na kutimiza wajibu wao  kwa kutu