Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba, 2016

Marekani na Urusi zimelaumiana vikali kwenye baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya mashambulizi dhidi ya msafara wa misaada nchini Syria, pamoja na hatua ya kuvunja mkataba wa kusitisha mapigano.

Picha
Moja ya malori yaliyoteketezwa Marekani na Urusi zimelaumiana vikali kwenye baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya mashambulizi dhidi ya msafara wa misaada nchini Syria, pamoja na hatua ya kuvunja mkataba wa kusitisha mapigano. Wamarekani wamekuwa wakiamini kuwa Urusi ndio iliyoshambulia msafara huo, huku Warusi wakilipinga hilo. Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Urusi John Kerry, alitoka nje ya lugha ya kidiplomasia kwa kutumia dhihaka zaidi. Huku mwenzake wa Urusi Sergey Lavrov akipinga hisia hizo kali kwa kuorodhesha mifano kadhaa kutetea nchi yake. Aidha ametaka pia kufanyika Licha ya majibizano makali, Urusi na Marekani zilikubaliana kwa pamoja kuongoza mkutano wa mataifa 23, yanayoiunga mkono Syria ambao utafanyika mjini New York, baadaye leo. Katika hatua nyingine Umoja wa Mataifa umesema unajiandaa kuanza tena kutoa misaada ya kibinadamu katika maeneo yaliyozingirwa nchini Syria, baada ya kusitishwa kwa usambazaji wa misaada kufuatia shambulio hilo. Mjumbe

Maafisa wa jeshi la ulinzi wa rais wamehusika katika shambulio dhidi ya makao makuu ya chama cha upinzani, watu wawili waliojeruhiwa wameambia BBC.

Picha
Add caption Maafisa wa jeshi la ulinzi wa rais wamehusika katika shambulio dhidi ya makao makuu ya chama cha upinzani, watu wawili waliojeruhiwa wameambia BBC. Makao makuu ya vyama vitatu vya upinzani katika Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo yaliteketezwa moto katika mashambulio ya usiku kwenye mji mkuu Kinshasa. Kumekuwa na miili ya watu wawili ilioteketezwa moto katika ofisi hizo zilizoharibiwa za muungano mkuu wa upinzani DRC (UDPS). Msemaji wa jeshi la Congo ameiambia BBC hana la kusema kuhusu shutuma hizo. Upinzani unasema zaidi ya watu 50 wameuawa Jumatatu wakati wa maandamano kumpinga rais Joseph Kabila. Serikali inasema idadi ya waliouawa ni watu 17. Vikosi vya usalama vimeshutumiwa kwa kutumia risasi dhidi ya waandamanaj hao wa amani waliotaka kutolewa tarehe ya uchaguzi wa urais nchini.

Kakonko; Watanzania wametakiwa kujenga tabia ya kulinda mali za umma huku wakitambua kuwa ni kodi za na ni kwa manufaa yao wenyewe hivyo hawana budi kutoa taarifa katika mamlaka husika pale wanapoona kuna dalili za kuhodhiwa au kuhujumiwa kwa mali hizo

Picha
Baadhi ya wananchi na wafanyakazi wa halmashauri ta kakonko waliohudhiria utilianaji wa sahihi mkataba ujenzi wa halmashauri hiyo kati yake na kampuni Magaco ya mjini Dodoma Kakonko; Watanzania wametakiwa kujenga tabia ya kulinda mali za umma huku wakitambua kuwa  ni kodi za na ni kwa manufaa yao wenyewe hivyo hawana budi kutoa taarifa katika mamlaka husika pale wanapoona kuna dalili za kuhodhiwa au kuhujumiwa kwa mali hizo Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma Lusubiro Joel akizungumza wakati wa hafla fupi ya kutiliana saini mkataba wa ujenzi wa ofisi za Halmashauri ya wilaya hiyo na Mkandarasi Magacon Constraction limited ya Mjini Dodoma juzi, Lusubiro alisema watu wengi ubaki wakilalamika  badala ya kutoa taarifa ili kuzuia uharibifu zaidi huku akiwasisitiza wananchi kutembelea eneo la ujenzi wa osifi hizo na kuhoji pale wasipoelewa mambo juu ya mambo yanayoendelea ‘’Tumeamua katika halmashauri yetu kufanya mambo wazi hale yale yanayotak

Madereva nane wa malori kutoka nchini Tanzania na wengine wanne kutoka Kenya wameokolewa baada ya kushikwa mateka mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo

Picha
Madereva nane wa malori kutoka nchini Tanzania na wengine wanne kutoka Kenya wameokolewa baada ya kushikwa mateka mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo. Madereva hao walitekwa nyara katika mkoa ulio kusini wa Kivu siku ya Jumatano. Wizara ya mashauri ya nchi za kigeni nchini Tanzania ilisema kuwa watekaji nyara wao walikuwa wakiitisha fidia ya dola 4,000 kwa kila dereva. Hata hivyo waziri wa masuala ya ndani nchini Congo Zakwani Salehe, alisema kuwa hakuna fidia iliyolipwa na ni wanajeshi waliowaokoa madereva hao Aliwataja watekaji hao kama majambazi na haijabainika ikiwa walikuwa na uhusiano na kundi lolote la waasi linaloendesha shughuli zake mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo. Mwandishi wa BBC aliyeko mjini Bukavu anasema kuwa visa vya utekaji nyara kwa fidia vinazidi kuongezeka Malori hayo yalichomwa moto na madereva wake kutekwa nyara Mara nyingi bidhaa husafirishwa kwende DRC kutoka mataifa jirani kwa njia ya barabara

Umoja wa Mataifa unasema kuwa idadi ya watu waliokimbia nchi ya Sudan Kusini kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo imepita watu milioni moja

Picha
Umoja wa Mataifa unasema kuwa idadi ya watu waliokimbia nchi ya Sudan Kusini kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo imepita watu milioni moja. Idadi hiyo inajumuisha zaidi ya watu 185,000 ambao wameikimbia nchi kufuatia mapigano mapya yaliyoanza mwezi Julai. Zaidi ya watu milioni 1.6 nao wamelazimika kuhama makwao ndani ya Sudan Kusini. Kati ya hao wakimbizi 373,626 wameingia nchini Uganga huku theluthi moja kati yao wakiwasili tangu mwezi Julai na 20,000 wiki iliyopita. Wale wanaowasili sasa wanasema kuwa kuna mapigano mapya huku raia wakishambuliwa na makundi yaliyojihami ambayo hupora, huwadhulumu kimapenzi wanawake na wasichana na kuwaingiza jeshini vijana wa kiume. Wakimbizi 292,000 waliingia nchini Ethiopia huku 11,000 wakivuka na kungia Gambella wiki iliyopita. Wale wanaowsili kwa sasa wanatoka jamii ya Nuer wakiwemo watoto 500 wasioandana na wazazi. 247,317 wamewasili nchini Sudan, 1800 wakiwasili kila mwezi katika jimbo la White Nile na mafuriko yakiwa

Wanahabari nchini Kenya walaani dhuluma wanazofanyiwa

Picha
Waandishi wa habari nchini Kenya wameandamana Nairobi na miji mingine kupinga kile wanachosema ni kuongezeka kwa visa vya wanahabari kutishiwa na hata kuuawa. Maandamano yaliitishwa na Chama cha Waandishi wa habari ambacho kinasema wanahabari watano wamefariki katika hali ya kutatanisha katika kipindi cha mwaka mmoja. Maandamano yamefanyika siku kadhaa baada ya mwandishi wa habari za kisiasa kufariki katika mazingira ya kutatanisha eneo la Kilifi, pwani ya Kenya. Katika waraka wao walioutuma kwa bunge waandishi hao walilalamika kuhusu namna wanavyoshambaliwa na kupokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa wanasiasa na umma. Wamesema baadhi ya viongozi wa kisiasa wa serikali kuu, kaunti pamoja na raia wamekuwa wakijiamulia wenyewe kuchukua sheria mkononi kuidhinisha mateso na kuwashambulia waandishi wa habari kwa kuwapiga na kuwatusi kwenye mitandao ya kijamii na baadhi yao kuwatishia mauaji ikiwa hawatatoa taarifa zinazowapendelea. Wamesisitiza kuwa wanayo haki ya kikatiba ya ku

Rais wa Marekani Barack Obama na kiongozi wa Ufilipino Rodrigo Duterte wamekutana ana kwa ana siku moja baada ya kiongozi huyo wa Ufilipino kuonekana kumtusi Bw Obama.

Picha
Jumanne, Bw Obama alifutilia mbali mkutano uliokuwa umepangwa kati ya wawili hao baada ya Bw Duterte kumuita "mwana wa kahaba". Walikutana kwa njia isiyo rasmi muda mfupi kabla ya dhifa ya jioni ya viongozi wa nchi za Kusini Mashariki mwa Asia nchini Laos. Msemaji wa serikali ya Ufilipino alisema alikuwa na furaha sana kwamba mkutano huo ulifanyika. Obama afuta mkutano na kiongozi wa Ufilipino Mfahamu rais Duterte, kiongozi aliyemtusi Obama Maafisa wa Marekani walisema ulikuwa "mkutano mfupi" kabla ya dhifa iliyoandaliwa viongozi katika eneo la "kuketi viongozi". Bw Obama na Bw Duterte wanadaiwa kuingia kwenye ukumbi wa dhifa nyakati tofauti na hawakuzungumza au kukaribiana wakati wa hafla hiyo iliyodumu saa moja na dakika 20. "Walikuwa wa mwisho kuondoka ukumbini. Siwezi kusema walikutana kwa muda gani," waziri wa mambo ya nje wa Ufilipino Perfecto Yasay, aliyesafiri na Bw Duterte, aliwaambia wanahabari baadaye. "Nina furah

Kibondo;Chuo cha Uuguzi kilichoko Wilayani Kibondo mkoani Kigoma kina kabiliwa na matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukosefu wa miundo mbinu ya majengo fedha kwa ajili ya kuendeshea chuo hicho na ukosefu wa watumishi wakutosha hali inayopelekea kuathili ufundishaji

Picha
Alfrida Ndungulu mkuu wa chuo Atashasta Nditiye Mbunge jimbo la Muhambwe Kibondo; Chuo cha Uuguzi kilichoko Wilayani Kibondo mkoani Kigoma kina kabiliwa na matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukosefu wa miundo mbinu ya majengo fedha kwa ajili ya kuendeshea chuo hicho na ukosefu wa watumishi  wakutosha hali inayopelekea kuathili ufundishaji Chuo hicho hakina Jengo la Maabara kwa ajili ya kujifunzia kwa vitendo kwa wanafunzi walimu waliopo ni watatu na mahitaji wanatakiwa wapo walimu kumi na tano Akiongelea swala hilo jana  katika mahafali ya saba  kwa wahitimu ngazi ya cheti mkuu wa chuo hicho Alfreda Ndungulu alisema licha ya walimu kujituma kufanya kazi kwa bidii lakini changamoto hizo zimekuwa zikiwalemea kwa kukosa mahitaji muhimu kama vifaa vya maabara kwa ajili ya kufundishia huku akiiomba serikali kupitia wizara ya Afya maendeleo ya Jamii Jinsia, Wazee na Watoto kulitazama kwa namna ya pekee Nao wanafunzi waliokuwa wakihitimu kwen

Kakonko;Vijana wanaomaliza mafunzo awali ya kijeshi katika vikosi vya jeshi la kujenga Taifai hapa nchini wametakiwa kuwa na unyenyekevu na nidham na kufuata taratibu na sheria za nchi wakizingatia mafunzo na maelekezo wanayopewa, ili jamii iweze kupata manufaa ya kuwepo kwa jeshi hilo

Picha
Mwemezi MuhingoMwananchi Kakonko; Vijana wanaomaliza mafunzo awali ya kijeshi katika vikosi vya jeshi la kujenga Taifai hapa nchini    wametakiwa kuwa na unyenyekevu na nidham na kufuata taratibu na sheria za nchi wakizingatia mafunzo na maelekezo wanayopewa, ili jamii iweze kupata manufaa ya kuwepo kwa jeshi hilo Akiwahutubia jana, mamia ya wahitimu wakufunzi , Askali na wananchi wa kawaida wakati wa kufunga mafunzo ya kijeshi kwa vijana mujibu wa sheria Oparation Magufuli Mkuu wa wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma Canol Hosea Ndagala ambae alikuwa mgeni rasmi kikisi 824 Kanembwa amesema kwa kuwa Askali ni Raia daraja la pili hivyo ni lazima kufuata maadili na kinyume chake huyo si Askali Mkuu wa JKT hapa nchini Brigedia General  Michael Isamuyo  aliyewakilishwa na Luten Canol Joseph P Mahende aliwambia wahitimu hao kuwa ni mambo mengi waliyojinfunza jeshini ambayo hapo awali hawakuyafahamu walipokuwa mashuleni, hivyo ni vema wakayazingatia kw