Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba, 2017

Waumini wa Dini ya Kikristo na jamii kwa ujumla wametakiwa kufuata maadili ya mwenyezi Mungu kwa kuwa na upendo na kuwajali wengine ikiwa ni pamoja na familia na wote wasiyojiweza na kuondoa matabaka na kuhamsishana kufanya kazi

Picha
Waumini wa Dini ya Kikristo na jamii kwa ujumla wametakiwa kufuata maadili ya mwenyezi Mungu  kwa kuwa na upendo na kuwajali wengine ikiwa ni pamoja na familia na wote wasiyojiweza na kuondoa matabaka na kuhamsishana kufanya kazi Wito huo umetolewa na Padre Simon Libeio ambaye ni Paroko wa Parokia ya Kalinzi Kigoma wakati wa Ibaada maalum iliyofanyika Parokia ya Mabamba Kimbondo kwa ajili ya  Watawa wa Kike waliopata Daraja hilo ambapo amesema jamii nyingi hapa nchi zimepungukiwa upendo wa kumpenda Mungu na wanadamu ahli inayopelekea watu wengi kutojali familia na kuzama katika mambo ya utandawazi Simon ameongeza kuwa Wazazi wengi wameacha wajibu wao wa malezi  kwa watoto hali inayopelekea kuwa na kizazi kisichokuwa na maadili hapo baadae huku baadhi ya waumini walioshiriki Ibada hiyo wakieleza kuwa kinachopelekea kuwepo hali hiyo ni ukosefu wa Imani na kutoka kufanya kazi ya kuongeza kipato cha familia na kupelekea umoja kutoweka Hata  hivyo swa

Kibondo;Wanaufaika wa mpango wa kunusulu kaya masikini kupitia Tasaf wametakiwa kujitathimini tangu wameanza kupokea fedha mpango huo ni mambo gani waliyoyafanya kulingana na malengo ya serikali ya kuhakikisha wanapiga hatua moja hadi nyinginewaka

Picha
Wanufaika wa mpango wa kunusulu kaya masikini Luis Bura mkuu wa wilaya kibondo Beatrice Joseph mwezeshaji Tasaf Kibondo John Makunja kaimu mratibu Tasaf Kibondo Kibondo; Wanaufaika wa mpango wa kusulu kaya masikini kupitia Tasaf wametakiwa kujitathimini tangu wameanza kupokea fedha mpango huo ni mambo  gani waliyoyafanya kulingana na malengo ya serikali ya kuhakikisha wanapiga hatua moja hadi nyingine Hayo ameyasema Mkuu wa wilaya Kibondo Mkoani Kigoma Luis Bura wakati zoezi la ugawaji fedha kwa walengwa wa mpango huo ambapo alisema hivi sasa awamu ya kwanza inaelekea ukingoni ili watoke na wengine waingie na kunuaika Alisema kwa wale ambao hawakuanikiwa kufikia malengo yao bado hawajachelewa kwa kipindi kilichobaki  hivyo wanatakiwa kuwa makini kwakuzitumia vema pesa hizo John Makunja yeye ni kaimu mratibu wa Tasafu Kibondo amesema tatizo la watu waliokwama kufikia lengo si kubwa sana lakini wamekuwa wakiendelea kuwaelekeza namna ya kuzitumi

Mkutano wavunjika wananchi wakidai hadi Diwani wao aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha, wapewe maelezo yake alipo

Picha
Kibondo; Wananchi wa kijiji cha kagezi kata ya kagezi wilayani kibondo mkoani kigoma wamegomea mkutano wa serikali ya kijiji kuendelea baada ya kuibuka hoja wakitaka kujua diwani wa kata hiyo ambae pia ni mwenyekiti wa halimashauri ya wilaya hiyo .Simoni Kanguye anayedaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha. Diwani wa Kata hiyo Simon Kanguye ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Kibondo anadaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha tangu julai 20 mwaka huu bado hapatikana licha ya juhudi kubwa za vyombo vya ulinzi kumtafuta Wakizungumza katika mkutano huo  uliofanyika Kijijini hapo jana baadhi ya wananchi ambao ni Stephan Ntabindi na Juma Bilampanye walisema hawaoni haja ya kuendelea na ajenda nyingine na kujadili maendeleo ya kijiji chao kwaku wa hawana kiongozi ambae atawafikishia kero,na hoja zao katika ngazi husika hadi watakapopewa ufafanuzi. ‘’Hatuwezikujadili maendeleo bila msimamizi maana hata kero zetu tukizitoa hapa hakuna mtu wa kutuwasilishi

Ugunduzi wa mwaka 2017 ni wa jiwe la angani lililopo karibu tangu mwaka 1890 na ukaribu huo hautawahi kutokea hadi baada miaka 2500, shirika la masuala ya anga la Marekani limeongeza.

Picha
Jiwe kubwa zaidi kuwahi kupita karibu na dunia katika kipindi cha karibu karne moja linatarajiwa kupita karibu na sayari ya dunia umbali wa karibu maili milioni 4.4 , kimesema kituo cha masuala ya anga za juu cha Marekani, Nasa. Vipimo vya Florence vilikadiria umbali wa maili 2.7 sawa na kipenyo cha 4.4 na kwamba jiwe hilo halina tisho kwa dunia kwa karne zijazo Mawe mengine yaliyowahi kupita karibu na dunia, yalikadiriwa kuwa ni madogo sana. Mawe hayo ambayo yana umbo la vifusi upande wa kushoto ni masalia yaliyobaki wakati wakuundwa kwa jua na sayari. Jiwe la Florence - lililogundulika mnamo mwaka 1981- linaweza kuwa mara 18 ya wastani wa umbali baina ya dunia na mwezi. "Florence ni jiwe kubwa zaidi kuwahi kupita karibu na dunia yetu tangu kuanzishwa kwa mpango wa shirika la anga za mbali la Marekani NASA wa kuchunguza na kubaini mawe yaliyopo karibu na dunia ," Amesema Paul Chodas, meneja wa kituo cha NASA kinachochunguza vitu vilivyopo karibu na dunia katika ta

Mahakama ya Juu nchini Kenya imefutilia mbali matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika mapema mwezi uliopita na kuagiza uchaguzi mpya ufanyike katika kipindi cha siku 60.

Picha
Mahakama ya Juu nchini Kenya imefutilia mbali matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika mapema mwezi uliopita na kuagiza uchaguzi mpya ufanyike katika kipindi cha siku 60. Majaji wa mahakama hiyo walisema uchaguzi huo ulijaa kasoro nyingi ambazo ziliathiri matokeo hayo. Uamuzi huo wa umeifanya Kenya kuwa nchi ya kwanza Afrika ambapo upinzani umewasilisha kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais na wakafanikiwa. Mgombea urais wa muungano wa upinzani National Super Alliance (Nasa), waziri mkuu wa zamani Raila Odinga, aliyekuwa amewasilisha kesi ya kupinga matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ameutaja uamuzi huo wa mahakama kuwa wa kihistoria. "Leo ni siku ya kihistoria kwa Kenya na kwa Afrika. Kwa mara ya kwanza, Mahakama imefutilia mbali matokeo ya uchaguzi wa urais," amesema. "Tulisema tangu awali kwamba safari yetu ya Canaan haiwezi kuzuiwa. Siku ya tarehe 8 Agosti tulivuka mto Jordan." Bw Odinga amesema upinzani hauna imani kwamba tume ya sas

Ridhiwani Kikwete na Kubatilishwa kwa Matokeo ya uchaguzi Kenya.

Picha
Leo September 1 2017 ni kuhusiana na maamuzi ya Mahakama Kuu nchini Kenya kubatilisha matokeo ya uchaguzi Mkuu uliyofanyika August 8 2017 na Uhuru Kenyata kuibuka mshindi wa Urais dhidi ya Raila Odinga .