WATAALAM WA BARABARA LETENI MUAROBANI WA FOLENI MIJINI

 



Waziri waUjenzinaUchukuzi Prof. MakameMbarawa, amewatakawatalaamwabarabarakutafutasuluhishonamwarobainiwachangamotozinazoikabiliamiundombinuyabarabaramijiniikiwemokupunguzamsongamanowamagarinauchafuziwamazingirakatikamaeneoyamiji.

 

AmesemahayoJijini Arusha katikaukumbiwaMikutanowaKimataifa Arusha (AICC),wakatiakifunguakongamano la Kimataifa la Shirikisho la BarabaraDuniani (PIARC) litakalofanyikakwasikutatunakuhusishawataalamwahapanchini, nchizaAfrika, Ulayana Asia.

 

"BarabaranimhimilimkubwakwanchiyetukwanimizigomingiinayotokanainayoingianchinikupitiaBandarihusafirishwabarabarani" ameeleza Prof. Mbarawa.

 

Prof. MbarawaameelezakuwapamojanakuboreshanjianyinginezausafirikwasasaSerikaliinaendeleanauboreshajiwareliyakatinaujenziwareliyakisasakwaajiliyakuipunguziamzigomkubwabarabarakatikausafirishajiwamizigohasainayokwendamikoayambalinabandarinanjeyanchi.

 

AidhaamewaagizawatalaamkukamilishataarifasahihizakisayansinakuwasilishaWizaraniwakatiSerikaliikijiiandaakufanyamarekebishoya Sera yabarabarahususanikwenyeeneo lamatumizisahihiyamatairimapana ‘Super Single’hapanchiniikiwanilengo la kuzilindabarabaranchini.

 

"KatikaMkutanohuummejaawabobezikwenye mambo yabarabaraninachotegemeabaadayakikaohikipamojana mambo menginemnileteeutafitiuliofanywakuhusumatumizisahihiyamatairimapana (super single tyre) ilituwezekufanyamaamuzisahihikwaTaifaletu”ameongeza Waziri Prof.Mbarawa.

 

Kwa upande wake Mwenyekitiwa TARA, Bw, Joseph HauleameelezakuwaseminahiyoyaKimataifainayohusumasualayausafirishajiendelevuwamizigokwamaendeleoyakiuchuminakijamiiimendaliwanaShirikisho la BarabaraDuniani (PIARC) kwakushirikiananaWizarayaUjenzinaUchukuzi(Ujenzi)naChama cha WadauwaBarabaraTanzania (TARA)lengolikiwanikujadilinakutafutaufumbuzimasualambalimbaliyabarabaranahivyokuletatija.

 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Shule ya msingi Nengo ya Walemavu, iliyoko wilayani Kibondo mkoani kigoma, inayohudumia wanafunzi walemavu wa mahitaji maalum inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni ukosefu wa maji Vifaa vya kujinfunza na kufundishia na vyombo vya kulia chakula