WATAALAM WA BARABARA LETENI MUAROBANI WA FOLENI MIJINI

 



Waziri waUjenzinaUchukuzi Prof. MakameMbarawa, amewatakawatalaamwabarabarakutafutasuluhishonamwarobainiwachangamotozinazoikabiliamiundombinuyabarabaramijiniikiwemokupunguzamsongamanowamagarinauchafuziwamazingirakatikamaeneoyamiji.

 

AmesemahayoJijini Arusha katikaukumbiwaMikutanowaKimataifa Arusha (AICC),wakatiakifunguakongamano la Kimataifa la Shirikisho la BarabaraDuniani (PIARC) litakalofanyikakwasikutatunakuhusishawataalamwahapanchini, nchizaAfrika, Ulayana Asia.

 

"BarabaranimhimilimkubwakwanchiyetukwanimizigomingiinayotokanainayoingianchinikupitiaBandarihusafirishwabarabarani" ameeleza Prof. Mbarawa.

 

Prof. MbarawaameelezakuwapamojanakuboreshanjianyinginezausafirikwasasaSerikaliinaendeleanauboreshajiwareliyakatinaujenziwareliyakisasakwaajiliyakuipunguziamzigomkubwabarabarakatikausafirishajiwamizigohasainayokwendamikoayambalinabandarinanjeyanchi.

 

AidhaamewaagizawatalaamkukamilishataarifasahihizakisayansinakuwasilishaWizaraniwakatiSerikaliikijiiandaakufanyamarekebishoya Sera yabarabarahususanikwenyeeneo lamatumizisahihiyamatairimapana ‘Super Single’hapanchiniikiwanilengo la kuzilindabarabaranchini.

 

"KatikaMkutanohuummejaawabobezikwenye mambo yabarabaraninachotegemeabaadayakikaohikipamojana mambo menginemnileteeutafitiuliofanywakuhusumatumizisahihiyamatairimapana (super single tyre) ilituwezekufanyamaamuzisahihikwaTaifaletu”ameongeza Waziri Prof.Mbarawa.

 

Kwa upande wake Mwenyekitiwa TARA, Bw, Joseph HauleameelezakuwaseminahiyoyaKimataifainayohusumasualayausafirishajiendelevuwamizigokwamaendeleoyakiuchuminakijamiiimendaliwanaShirikisho la BarabaraDuniani (PIARC) kwakushirikiananaWizarayaUjenzinaUchukuzi(Ujenzi)naChama cha WadauwaBarabaraTanzania (TARA)lengolikiwanikujadilinakutafutaufumbuzimasualambalimbaliyabarabaranahivyokuletatija.

 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao