WATAALAM WA BARABARA LETENI MUAROBANI WA FOLENI MIJINI

 



Waziri waUjenzinaUchukuzi Prof. MakameMbarawa, amewatakawatalaamwabarabarakutafutasuluhishonamwarobainiwachangamotozinazoikabiliamiundombinuyabarabaramijiniikiwemokupunguzamsongamanowamagarinauchafuziwamazingirakatikamaeneoyamiji.

 

AmesemahayoJijini Arusha katikaukumbiwaMikutanowaKimataifa Arusha (AICC),wakatiakifunguakongamano la Kimataifa la Shirikisho la BarabaraDuniani (PIARC) litakalofanyikakwasikutatunakuhusishawataalamwahapanchini, nchizaAfrika, Ulayana Asia.

 

"BarabaranimhimilimkubwakwanchiyetukwanimizigomingiinayotokanainayoingianchinikupitiaBandarihusafirishwabarabarani" ameeleza Prof. Mbarawa.

 

Prof. MbarawaameelezakuwapamojanakuboreshanjianyinginezausafirikwasasaSerikaliinaendeleanauboreshajiwareliyakatinaujenziwareliyakisasakwaajiliyakuipunguziamzigomkubwabarabarakatikausafirishajiwamizigohasainayokwendamikoayambalinabandarinanjeyanchi.

 

AidhaamewaagizawatalaamkukamilishataarifasahihizakisayansinakuwasilishaWizaraniwakatiSerikaliikijiiandaakufanyamarekebishoya Sera yabarabarahususanikwenyeeneo lamatumizisahihiyamatairimapana ‘Super Single’hapanchiniikiwanilengo la kuzilindabarabaranchini.

 

"KatikaMkutanohuummejaawabobezikwenye mambo yabarabaraninachotegemeabaadayakikaohikipamojana mambo menginemnileteeutafitiuliofanywakuhusumatumizisahihiyamatairimapana (super single tyre) ilituwezekufanyamaamuzisahihikwaTaifaletu”ameongeza Waziri Prof.Mbarawa.

 

Kwa upande wake Mwenyekitiwa TARA, Bw, Joseph HauleameelezakuwaseminahiyoyaKimataifainayohusumasualayausafirishajiendelevuwamizigokwamaendeleoyakiuchuminakijamiiimendaliwanaShirikisho la BarabaraDuniani (PIARC) kwakushirikiananaWizarayaUjenzinaUchukuzi(Ujenzi)naChama cha WadauwaBarabaraTanzania (TARA)lengolikiwanikujadilinakutafutaufumbuzimasualambalimbaliyabarabaranahivyokuletatija.

 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI SGR NA KUZINDUA MELI NNE ZA MIZIGO ZIWA TANGANYIKA

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu