Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba, 2023

KASEKENYA: TUMIENI WATAALAM ACHENI KUOGOPA GHARAMA

Picha
  KASEKENYA: TUMIENI WATAALAM ACHENI KUOGOPA GHARAMA   Serikaliimetoawito kwa Mashirika, Taasisi za Serikali pamoja na Sekta Binafsi kushirikisha watalaam wa fani ya WabunifuMajengo katika utelelezaji wa miradi mbalimbali ya majengo, barabara namadarajailikuletaubunifu wa kipekee katika miji nakuifanyaiwe yenye mandhari bora.   Witohuoumetolewajijini Dar es Salaam naNaibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya, katika Mkutano wa 27 naKumbukizi ya Miaka 40 ya Chama cha WabunifuMajengo Tanzania (AAT), ambapo pamoja na mambo mengineamesisitizaelimuzaidiitolewekuhusuumuhimu wa tasniahiyo katika shughuli za ubunifu wa majengohasa kwa Sekta Binafsi.   “Nisemetu kama mtanzania wakati fulanihatutumiisanawataalamambaomwisho wa sikuutapatakaziyako nzuri, ya uhakikana yenye usalama kwa kuhofia gharama kubwanamatokeoyaketunaenda kwa watu wa barabaranibilakufahamuatharizakehivyoni jukumu lenukuwaeleshawananchikuhusufani hii”, amesema Eng. Kasekenya.   Kasekenyaameoneshaumuhimu wa

WATAALAM WA KILIMO TIMIZENI WAJIBU WENU

Picha
WATAALAM WA KILIMO TIMIZENI WAJIBU WENU Kibondo.  Wataalam wa Kilimo Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa kutimiza Wajibu wao kufanya kazi kwa weredi na uadilifu ili kuboresha sekta ya Kilimo Wakulima wamekuwa wakikatishwa tamaa na mienedo ya baadhi ya Maafisa Ugani maeneo ya Vijijini kutokana na baadhi yao  kutokuwa na kutowafikia Wakulima ili kuwaelekeza  namna ya  kuendesha shughuli za Kilimo na uzalishaji kuwa katika viawango visivyoridhisha Akifunga mafunzo  kwa Maafisa Ugani  wa Halmashauri za Wilaya za Kasulu na Kibondo Mkuu wa Idara ya Kilimo na Mifugo  Wilaya ya Kibondo Gabriel Chitupila akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Diokles Lutema  jana aliwataka Maafisa Ugani hao kuwasaidia wakulima kwa hali na mali kwani wengi wamekuwa wakikosa ushauri wa kitaalam na kulazimika kuendesha kilimo isivyostaili Chitupila aliongeza kuwa Mafunzo hayo ya siku tano kwa Maafisa ugani hao kwa ajili ya kuwajengea uwezo Maafisa ugani hivyo wayatumie vema kuwasaidia Wakulima

MIKATABA 15 YA UJENZI WA BARABARA YA ZAIDI YA TRILIONI 1 KUSAINIWA.

Picha
  MIKATABA 15 YA UJENZI WA BARABARA YA ZAIDI YA TRILIONI 1 KUSAINIWA. SerikalikupitiaWakalayaBarabara Tanzania (TANROADS) inatarajiakusainimikataba 15 kwapamojayaujenziwabarabarakwakiwango cha lamipamojanaDarajazenyethamaniyashilingiTrilioni 1.034 ilikuboreshahudumazamiundombinunchini. Hayoyameelezwana Waziri waUjenzi, Innocent BashungwawakatiakitoamajibuyanyongezaleoTarehe 03 Novemba, 2023 Bungenijijini Dodoma katikakikao cha Nne, Mkutanowa 13. BashungwaamesemakuwamiradihiyoinatarajiwakutekelezwakwakutumiafedhazandanizamiradiyamaendeleonaSerikaliikombionikuandaatukiohilo. “MheshimiwaRaisameshatoakibalikamaMheshimiwaNaibu Waziri alivosema, natumeonatuandaesikuambayotutasainimikatabahiikwasikumojahalafubaadayahapomiminaNaibu Waziri tutaambatananaWaheshimiwaWabungekwendakuwakabidhimakandarasikwenyemajimboyenu”, amesemaBashungwa.  AwaliNaibu Waziri waUjenzi, Eng. Godfrey Kasekenyawakatiakijibuswali la MbungewaBusokelo, MheshimiwaAtupeleMwakibete, amesemataratibuzamanunuziyaMkand

SEKTA BINAFSI KUSHIRIKISHWA UENDESHAJI RELI

Picha
  SEKTA BINAFSI KUSHIRIKISHWA UENDESHAJI RELI   Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Prof.Godius Kahyrara amesema Serikali inaendelea kuboresha miundombinu na sheria zinazosimamia usafiri wa reli Nchini ili kuruhusu sekta binafsi kuendesha treni zao katika reli ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA).   Prof. Kahyrara ameyasema hayo jijini Dodoma wakati aliposaini mkataba wa Utendaji kazi kati yake na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC)Masanja Kadogosa na kusisitiza kuwa tija ya maboresho hayo ni pamoja na kukuza patola taifa na urahisi kwenye usafirishaji wa mzigo kutoka eneo moja kwenda jingine.   “Shirika la TAZARA na TRC ni miongoni mwa mashirikayanayopewa kipaumbele kwa sasa katika sekta ya Uchukuzi na maeneo yanayotazamwa ni pamoja na uboreshaji wa miundombinu ambayo kwa muda mrefu   haikukarabatiwa” amesema Prof. Kahyrara.   Katibu Mkuu Prof.   Kahyrara amesema maboresho yanayofanywa katika sekta ndogo ya