MIKATABA 15 YA UJENZI WA BARABARA YA ZAIDI YA TRILIONI 1 KUSAINIWA.



 MIKATABA 15 YA UJENZI WA BARABARA YA ZAIDI YA TRILIONI 1 KUSAINIWA.

SerikalikupitiaWakalayaBarabara Tanzania (TANROADS) inatarajiakusainimikataba 15 kwapamojayaujenziwabarabarakwakiwango cha lamipamojanaDarajazenyethamaniyashilingiTrilioni 1.034 ilikuboreshahudumazamiundombinunchini.

Hayoyameelezwana Waziri waUjenzi, Innocent BashungwawakatiakitoamajibuyanyongezaleoTarehe 03 Novemba, 2023 Bungenijijini Dodoma katikakikao cha Nne, Mkutanowa 13.

BashungwaamesemakuwamiradihiyoinatarajiwakutekelezwakwakutumiafedhazandanizamiradiyamaendeleonaSerikaliikombionikuandaatukiohilo.

“MheshimiwaRaisameshatoakibalikamaMheshimiwaNaibu Waziri alivosema, natumeonatuandaesikuambayotutasainimikatabahiikwasikumojahalafubaadayahapomiminaNaibu Waziri tutaambatananaWaheshimiwaWabungekwendakuwakabidhimakandarasikwenyemajimboyenu”, amesemaBashungwa. 

AwaliNaibu Waziri waUjenzi, Eng. Godfrey Kasekenyawakatiakijibuswali la MbungewaBusokelo, MheshimiwaAtupeleMwakibete, amesemataratibuzamanunuziyaMkandarasikwaajiliyaujenzikwakiwango cha lamikwasehemuyabarabarayaKatumba – Lupaso (km 35.3) naKibanja – Tukuyu (km 20.7) zimekamilika, hatuainayofuatanikumkabidhimkandarasieneo la kazi (signing).

MheshimiwaKasekenyaalikuwaakijibuswali la MheshimiwaAtupeleMwakibeteMbungewaBusokeloaliyetakakujuanilinilinimkatabawaujenziwabarabarayaKatumba – MbambohadiTukuyuutasainiwakwakuwaMkandarasiali

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI SGR NA KUZINDUA MELI NNE ZA MIZIGO ZIWA TANGANYIKA

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu