MIKATABA 15 YA UJENZI WA BARABARA YA ZAIDI YA TRILIONI 1 KUSAINIWA.



 MIKATABA 15 YA UJENZI WA BARABARA YA ZAIDI YA TRILIONI 1 KUSAINIWA.

SerikalikupitiaWakalayaBarabara Tanzania (TANROADS) inatarajiakusainimikataba 15 kwapamojayaujenziwabarabarakwakiwango cha lamipamojanaDarajazenyethamaniyashilingiTrilioni 1.034 ilikuboreshahudumazamiundombinunchini.

Hayoyameelezwana Waziri waUjenzi, Innocent BashungwawakatiakitoamajibuyanyongezaleoTarehe 03 Novemba, 2023 Bungenijijini Dodoma katikakikao cha Nne, Mkutanowa 13.

BashungwaamesemakuwamiradihiyoinatarajiwakutekelezwakwakutumiafedhazandanizamiradiyamaendeleonaSerikaliikombionikuandaatukiohilo.

“MheshimiwaRaisameshatoakibalikamaMheshimiwaNaibu Waziri alivosema, natumeonatuandaesikuambayotutasainimikatabahiikwasikumojahalafubaadayahapomiminaNaibu Waziri tutaambatananaWaheshimiwaWabungekwendakuwakabidhimakandarasikwenyemajimboyenu”, amesemaBashungwa. 

AwaliNaibu Waziri waUjenzi, Eng. Godfrey Kasekenyawakatiakijibuswali la MbungewaBusokelo, MheshimiwaAtupeleMwakibete, amesemataratibuzamanunuziyaMkandarasikwaajiliyaujenzikwakiwango cha lamikwasehemuyabarabarayaKatumba – Lupaso (km 35.3) naKibanja – Tukuyu (km 20.7) zimekamilika, hatuainayofuatanikumkabidhimkandarasieneo la kazi (signing).

MheshimiwaKasekenyaalikuwaakijibuswali la MheshimiwaAtupeleMwakibeteMbungewaBusokeloaliyetakakujuanilinilinimkatabawaujenziwabarabarayaKatumba – MbambohadiTukuyuutasainiwakwakuwaMkandarasiali

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Shule ya msingi Nengo ya Walemavu, iliyoko wilayani Kibondo mkoani kigoma, inayohudumia wanafunzi walemavu wa mahitaji maalum inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni ukosefu wa maji Vifaa vya kujinfunza na kufundishia na vyombo vya kulia chakula