MIKATABA 15 YA UJENZI WA BARABARA YA ZAIDI YA TRILIONI 1 KUSAINIWA.



 MIKATABA 15 YA UJENZI WA BARABARA YA ZAIDI YA TRILIONI 1 KUSAINIWA.

SerikalikupitiaWakalayaBarabara Tanzania (TANROADS) inatarajiakusainimikataba 15 kwapamojayaujenziwabarabarakwakiwango cha lamipamojanaDarajazenyethamaniyashilingiTrilioni 1.034 ilikuboreshahudumazamiundombinunchini.

Hayoyameelezwana Waziri waUjenzi, Innocent BashungwawakatiakitoamajibuyanyongezaleoTarehe 03 Novemba, 2023 Bungenijijini Dodoma katikakikao cha Nne, Mkutanowa 13.

BashungwaamesemakuwamiradihiyoinatarajiwakutekelezwakwakutumiafedhazandanizamiradiyamaendeleonaSerikaliikombionikuandaatukiohilo.

“MheshimiwaRaisameshatoakibalikamaMheshimiwaNaibu Waziri alivosema, natumeonatuandaesikuambayotutasainimikatabahiikwasikumojahalafubaadayahapomiminaNaibu Waziri tutaambatananaWaheshimiwaWabungekwendakuwakabidhimakandarasikwenyemajimboyenu”, amesemaBashungwa. 

AwaliNaibu Waziri waUjenzi, Eng. Godfrey Kasekenyawakatiakijibuswali la MbungewaBusokelo, MheshimiwaAtupeleMwakibete, amesemataratibuzamanunuziyaMkandarasikwaajiliyaujenzikwakiwango cha lamikwasehemuyabarabarayaKatumba – Lupaso (km 35.3) naKibanja – Tukuyu (km 20.7) zimekamilika, hatuainayofuatanikumkabidhimkandarasieneo la kazi (signing).

MheshimiwaKasekenyaalikuwaakijibuswali la MheshimiwaAtupeleMwakibeteMbungewaBusokeloaliyetakakujuanilinilinimkatabawaujenziwabarabarayaKatumba – MbambohadiTukuyuutasainiwakwakuwaMkandarasiali

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao