BILIONI 11.4 KUJENGA DARAJA LA SUKUMA NA BARABARA UNGANISHI KM 2.2

 






BILIONI 11.4 KUJENGA DARAJA LA SUKUMA NA BARABARA UNGANISHI KM 2.2

 

Magu - Mwanza

Waziri waUjenzi, Innocent BashungwaamesemaRaisDkt. SamiaSuluhu Hassan tayariameshatoaShilingiBilioni 11.4 kwaajiliyaujenziwaDaraja la Sukuma lenyemita 70 lililopowilayaniMagumkoani Mwanza pamojanabarabaraunganishiyenyekilometa 2.294

Waziri BashungwaameyasemahayoleoDesemba 17 wilayaniMagumkoaniMwanza  baadayakushuhudiautiajisainiwamkatabawaujenziwadarajahilokatiyaWakalawaBarabaraNchini (TANROADS) nakampuniyaMkandaradiMzawayaMumangi Construction Ltd.

“JitihadazinazofanywanaRais Dk. SamiaSuluhu Hassan zinaonekananaametuwezeshakiasi cha ShilingiBilioni 11. 4 kwaajiliyaujenziwadarajahilinababarabaunganishizenyeurefuwakilometa 2.294,  baadayamiezi 18 kamamkatabaunavyotakabarabaranadarajavitakuwavimeimalikanakutuepushanaajaliambazozingewezakutokea” amesemaBashungwa.

Aidha, BashungwaamesemaSerikalikupitiaWizarayaujenziitahakikishaMakandarasiwazawawanapewakazinakuwasimamiwailiwawezekufanyakazihizokwakwakiwangokinachotakiwa.

“Mkandarasinakupongezakwanamnaunavyofanyakazinzuri, hatanilivyokuwaMkoawa Mara nilionaunapongezwa, nimekujahapawilayaniMagunaonaunapongezwa, mnanipanguvunamnampanguvuRais Dk. SamiaSuluhu Hassan, ambayeameelekezaWizarayaUjenzikuandaampangomkakatikwaajiliyamakandarasiwazawa, nyiemmekuwamfanokwamakandarasiwenginewazawa.” amesemaBashungwa

Kadhalika, Waziri BashungwaamempongezaMtendajiwaTanroads, Mohamed BestakwakufanyakazinzurikatikaMkoawa Mwanza nakumuagizaafanyehivyohivyokatikamikoamingine.

 

“Niwatakemamenejawotewa TANROADS mfanyekazikwakushirikiananaviongozi, wakuuwamikoa, wakuuwawilayanawabungekwasababuwotetunajenganchiyetunaninyumbamojalazimatushirikianenatushirikishanekwapamoja” amesemaBashungwa.

Vilevile, Waziri Bashungwa, ametoawitokwawaendeshajiwavyombovya moto kuwamakinikwenye safari zaohasakatikakipindihiki cha kuelekeasikukuuzamwishowamwaka.

Naye, MtendajiwaTanroads, Mohamed Besta, amesemakuwausanifuwa kina waDaraja la Sukuma nabarabaraunganishiulifanywamwaka 2021/22 nakampuniyakizalendoyahapanchini.

“Ujenziwadarajahilipamojanabarabaraunganishiutazingatiamatakwayakimkatabanamudawaujenziwamiuondombinuhiinimiezi 18” amesemaMhandisiBesta.

Kadhalika, amemhakikishia Waziri Bashungwakwambaatasimamiavizuriujenziwadarajahilopamojanabarabarazakeunganishinakukamilikakwamudauliopangwanakusemakuwalitajengwanamakandarasiwandani.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Shule ya msingi Nengo ya Walemavu, iliyoko wilayani Kibondo mkoani kigoma, inayohudumia wanafunzi walemavu wa mahitaji maalum inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni ukosefu wa maji Vifaa vya kujinfunza na kufundishia na vyombo vya kulia chakula