BILIONI 11.4 KUJENGA DARAJA LA SUKUMA NA BARABARA UNGANISHI KM 2.2

 






BILIONI 11.4 KUJENGA DARAJA LA SUKUMA NA BARABARA UNGANISHI KM 2.2

 

Magu - Mwanza

Waziri waUjenzi, Innocent BashungwaamesemaRaisDkt. SamiaSuluhu Hassan tayariameshatoaShilingiBilioni 11.4 kwaajiliyaujenziwaDaraja la Sukuma lenyemita 70 lililopowilayaniMagumkoani Mwanza pamojanabarabaraunganishiyenyekilometa 2.294

Waziri BashungwaameyasemahayoleoDesemba 17 wilayaniMagumkoaniMwanza  baadayakushuhudiautiajisainiwamkatabawaujenziwadarajahilokatiyaWakalawaBarabaraNchini (TANROADS) nakampuniyaMkandaradiMzawayaMumangi Construction Ltd.

“JitihadazinazofanywanaRais Dk. SamiaSuluhu Hassan zinaonekananaametuwezeshakiasi cha ShilingiBilioni 11. 4 kwaajiliyaujenziwadarajahilinababarabaunganishizenyeurefuwakilometa 2.294,  baadayamiezi 18 kamamkatabaunavyotakabarabaranadarajavitakuwavimeimalikanakutuepushanaajaliambazozingewezakutokea” amesemaBashungwa.

Aidha, BashungwaamesemaSerikalikupitiaWizarayaujenziitahakikishaMakandarasiwazawawanapewakazinakuwasimamiwailiwawezekufanyakazihizokwakwakiwangokinachotakiwa.

“Mkandarasinakupongezakwanamnaunavyofanyakazinzuri, hatanilivyokuwaMkoawa Mara nilionaunapongezwa, nimekujahapawilayaniMagunaonaunapongezwa, mnanipanguvunamnampanguvuRais Dk. SamiaSuluhu Hassan, ambayeameelekezaWizarayaUjenzikuandaampangomkakatikwaajiliyamakandarasiwazawa, nyiemmekuwamfanokwamakandarasiwenginewazawa.” amesemaBashungwa

Kadhalika, Waziri BashungwaamempongezaMtendajiwaTanroads, Mohamed BestakwakufanyakazinzurikatikaMkoawa Mwanza nakumuagizaafanyehivyohivyokatikamikoamingine.

 

“Niwatakemamenejawotewa TANROADS mfanyekazikwakushirikiananaviongozi, wakuuwamikoa, wakuuwawilayanawabungekwasababuwotetunajenganchiyetunaninyumbamojalazimatushirikianenatushirikishanekwapamoja” amesemaBashungwa.

Vilevile, Waziri Bashungwa, ametoawitokwawaendeshajiwavyombovya moto kuwamakinikwenye safari zaohasakatikakipindihiki cha kuelekeasikukuuzamwishowamwaka.

Naye, MtendajiwaTanroads, Mohamed Besta, amesemakuwausanifuwa kina waDaraja la Sukuma nabarabaraunganishiulifanywamwaka 2021/22 nakampuniyakizalendoyahapanchini.

“Ujenziwadarajahilipamojanabarabaraunganishiutazingatiamatakwayakimkatabanamudawaujenziwamiuondombinuhiinimiezi 18” amesemaMhandisiBesta.

Kadhalika, amemhakikishia Waziri Bashungwakwambaatasimamiavizuriujenziwadarajahilopamojanabarabarazakeunganishinakukamilikakwamudauliopangwanakusemakuwalitajengwanamakandarasiwandani.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao