TAPSEA MKOA WA DODOMA WASAIDIA WAATHIRIKA WA HANANG

 





TAPSEA  MKOA WA DODOMA WASAIDIA WAATHIRIKA WA HANANG

Chama cha Waandishiwaendeshaofisi (TAPSEA), Mkoawa Dodoma kimetoa pole namsaadawavifaambalimbalikwawaathirikawamaporomokoya tope yaliyotokeaWilayaniHanangMkoaniManyara.

msaadahuoambaonimchangowa TAPSEA mkoawa Dodoma nipamojanavifaavyashuleyakiwemomadaftari, sarezashule, kalamunanguovyotevikiwanajumlayatakribanishilingimilioni 5.

Mwakilishiwa Chama hicho  Bi, ConjetaChambilaamesemachamachaokimeonaumuhimuwakuchangianakwalengo la kuwezakuwasaidiawenzao.

Pia Bi Chambila, amemshukuruKatibuMkuu, WizarayaUjenziBalozi, Mhandisi Aisha Amour  kwakuwezakuwawezeshausafiriwakutoka Dodoma hadikufikaMkoaniManyara.

“ TunamshukurusanaKatibuMkuuwaujenzi, kwakuwezakutukusanyapamojanakutuwezeshakutupausafiri, ikiwatunatokaOfisimbalimbali” amesemaChambila.

Aidha, Chama hichokimetoawitokwawaandishiwaendeshaofisiwenginewamikoayakaribukuwezakuwasaidiawaathirikahaoambaowamepotezavituvyaowakatiwamaafahayo.

Kwa upande wake, KatibuTawala( DAS), MkoawaManyara, Bw. AthumanLikeyekeyeamewashukuruWaandishiwaendeshaOfisikutokamkoawa Dodoma kwaupendowaowakujakuwasaidiawaathirikahaokatikakipindihiki cha SikukuuzaMwakampya.

SerikalikupitiaOfisiya Waziri Mkuu, Sera, Bunge nauratibu, kwakushirikiananaofisizaWakuuwaMikoanaWilaya, wanaendeleakupokeamisaadambalimbalikwaajiliyawaathirikawamaporomokoya tope, MkoaniManyara.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Shule ya msingi Nengo ya Walemavu, iliyoko wilayani Kibondo mkoani kigoma, inayohudumia wanafunzi walemavu wa mahitaji maalum inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni ukosefu wa maji Vifaa vya kujinfunza na kufundishia na vyombo vya kulia chakula