Vifo vingi vinavyotokea kutokana na ajali za Barabarani vikihusisha waendesha pikpiki ikiwa ni pamoja na kutekwa na kuuwawa vimetajwa kusababishwa na kuosefu elimu ya usalama barabarani kwakuwa biashara hiyo uyahusisha makundi ya vijana ambao wanahuruka mbalimbali iklinganishwa na malikaBaadhi ya waendesha Bodaboda

Baadhi ya waendesha Bodaboda wakiwa kwenye maandamano mjini Kakonko siku ya kuhitimu mafunzo ya usalama Barabarani

Hosea Ndagala Dc Kakonko alipokuwa akiwahutubia waendesha Pikipiki 


Waendesha Pikipiki daada ya kuhitimu Mafunzo usalama Barabarani

Mkuu wa Wilaya Kakonko Hosea Ndagala akimkabidhi cheti cha Kuhitim Mafunzo ya usalama Barabarani mwendesha Bodaboda


Vifo vingi vinavyotokea kutokana na ajali za Barabarani vikihusisha waendesha pikpiki ikiwa ni pamoja na kutekwa na kuuwawa vimetajwa kusababishwa na kuosefu elimu ya usalama barabarani kwakuwa biashara hiyo uyahusisha makundi ya vijana ambao wanahuruka mbalimbali iklinganishwa na malika

Hayo yamesemwa na mkurugezi mtendaji wa asasi isiyokuwa ya kiserikali inayojishugulisha na utoaji wa elimu ya ujasiriamali, usalama Barabarani na Polisi Jamii APEC, Resicius Timanywa wakati wa hafla ya kufunga mafunzo ya wandeha Pikipiki wilayani Kakonko Mkoani Kigoma ambapo  amesema watu wengi wamekuwa wakishingwa kutambua kuwa sheria na kanuni zipo kwa ajili ya usalama wao

Aidha amesema ili kunusulu makundi ya watu wanaotumia Barabara ni vema serikali ikaweka utaratibu maalum kwa ajili wa utoaji kwani hata watembea kwa miguu ujikuta wanapata madha au kusababisha ajali kwa kutofahamu au kwa makusudi na kutowaruhusu waendesha Vyombo vya moto ambao watakuwa hawajapata mafunzo ya usalama Barabarani

   Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Kakonko Hosea Ndagala ambae alikuwa mgeni rasmi katika Hafla hiyo, amesema serikali kupitia shirika la Apec inakusudia kusambaza mafunzo hayo katika wilaya zote za Mkoa wa Kigoma ikiwa na lengo la kupunguza vifo na ulemavu unaoathili nguvu kazi ya Taifa

Nao baadhi ya wahitimu wa mafunzo hayo wameiomba serikali kufanya maandalizi ya mapema pale inapokusudia kupeka mafunzo hayo katika maeneo yanayokusudiwa  ili kuwafanya watu wengi kujiandaa kifedha kwa kuwa vijana  wengi wanaendesha Pikipiki za watu na vipato vyao ni vidogo hali inayosababisha  kukosa mafunzo ambapo wahiti awamu hii wiayani Kakonko ni 261

Mwisho

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao