Vipaji vingi vya ambavyo upatikana vijijini ikiwa ni michezo mbalimbali havikui kutokana na vikwazo vya kutotembelewa na makundi husika kama vilabu vya mipira na usanii



Vipaji vingi vya ambavyo  upatikana vijijini ikiwa ni  michezo mbalimbali  havikui kutokana na vikwazo vya kutotembelewa  na makundi husika kama vilabu vya mipira na usanii

Katika Bonanza la michezo lililoandaliwa na shirika la maendeleo ya vijana la mkoani Kigoma KIVIDEA, lililoandaliwa na kufanyika katika kata ya Mabamba Wilayani Kibondo mkoani humo, baadhi ya vjana wengi waliohudhulia Bonanza hilo,wameviomba vilabu vya michezo hapa nchini kujenga tabia kufuatilia wachezaji katika timu za vijiji kuliko kujikita  mijini tu

Aidha wameelekeza lawama zao kwa vyama vya mipira wilaya  kutofika maeneo ya vijijini angalau kuzisaidia timu zinazoanzishwa hata kwa kutoa maelekezo juu ya uendeshaji wa timu na sheria zamichezo

Wamesema kuwa kutokana na Mazingira ya vijijini watu wenye vipaji vya uchezaji kama mipira wa pete miguu na muziki kwa upande wa wasichana na wanawake ina kuwa ni changamoto kwa makundi hayo kutokana mitazamo hasi wanafikiriwa kuwa kufanya hivyo ni uharibi wa ukosefu wa maadili na kusababisha wengi kutojitokeza kushiriki katika michezo kwa kuhofu kueleweka vibaya ndani ya jamii


Akifungua Tamasha hilo Diwani wa kata ya Mabamba ambae alialikwa kama mgeni rasmi Hamisi Mazina amewata vijana na malika mbambali kujikita katika kwa kuonyesha vipaji vyao bila kukata tamaa ya kutoendelezwa kuwa michezo ni dawa itaweza kuwasiadia ikiwa ni pamoja na kufuata taratibu za michezo kutokana maelekezo

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao