Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba, 2017

Waumini wa Dini ya Kikristo hapa nchini wameungana na wenzao kote Duniani kuadhi,isha kuzaliwa kwa Mwokozi wao Yesu Kristo tukio linadaiwa kufanyika zaidi ya miaka 2000 iliyopita abapo leo viongozi mbalimbali wa Dini na serikali wakiwahasa wananchi kushereekea kwa Aman na tulivu

Picha
Waumini wa Dini ya Kikristo hapa nchini wameungana na wenzao kote Duniani kuadhi,isha kuzaliwa kwa Mwokozi wao Yesu Kristo tukio linadaiwa kufanyika zaidi ya miaka 2000 iliyopita abapo leo viongozi mbalimbali  wa Dini na serikali wakiwahasa wananchi kushereekea kwa Aman na tulivu Kwa hapa Tanzania Ibada zimefanyika kwenye makanisa mabilimbali  wakristo wakiadhimisha siku hiyo huku viongozi wa dini hizo wakiwahasa waumini wao kufuata maadili ya Muumba wao mara wanaposherhrkea  wakijua wapo watu wngi wanapenda kushereheka kwa amani na utulivu Mmoja wa Viongozi wa Dini katika Ibada Xmas iliyofanyika katika Kanisa la Evagelist Asemblies of God wilayani Kibondo Mkoani Kigoma Wandali Ndonka ameitaka Jamii na waumini wote wa kikristo kuacha kuazimisha siku hiyo kwa kufanya vurugu na kuhatarisha Amani  kwa kuwa si makusudi ya siku hiyo Nao Viongozi wa Jeshi la Polis wameendelea kutoa lai ya kwa kuwataka watu wote kusherehekea kwa amani kwani ni aibu wakristo kusherekea kwa kuf

Waziri wa mambo ya ndani Mwingulu Nchemba amewataka Vijana wilayani ma kuungana pamoja katika kupiga vita rushwa katika kuunga mkono jitihada za Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr.John Magufuli.

Picha
samson Hanga mkuu wa wilaya kigomaaliyemwakilisha Mwigiru Nchemba  Waziri wa Mambo ya ndani katika uzinduzi wa albam ya Kwaya Kanisa Anglikana Waziri wa mambo ya ndani Mwingulu Nchemba amewataka Vijana wilayani ma kuungana pamoja katika kupiga vita rushwa katika kuunga mkono jitihada za Raisi wa jamhuri ya  muungano wa Tanzania Dr.John Magufuli. Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na wakazi wa wilaya kibondo Mkoa wa Kigoma  katika Uzinduzi wa  Mkanda wa nyimbo za Injili  Video anisa la Anglikani dayosisi ya kibondo mjini . Akimwakilisha waziri wa mambo ya ndani  mkuu wa wilaya ya kigoma .Samsoni Anga amesema watanzania wameteseka kwa kipindi kirefu katika swala la Rushwa na hivyo ni wakati ambao haina budi kila mmoja kuchukia rushwa na kupinga kwa hali ya juu. Aidha amelipongeza Kanisa hilo kwa malezi mema kwa vijana kwani maandalizi mema ya vizazi vijavyo Awali akisoma risala mbele ya mgeni rasmi mmoja wa Vijana wa kanisa hilo Hauleti Jonasi ame

Kibondo;Migogoro mingi na mikubwa yakugombania ardhi hapa nchini, imetajwa kusababishwa na uelewa ndogo kwa jamii juu ya matumizi na umiliki wa ardhi kwa kuzingatia utawala wa sheria

Picha
Washiriki wa semina juu sheria ya umiliki wa ardhi Nichoraus Ntiayagila mwanasheria Halmashauri ya Kibondo aliyekuwa mkufunzi katika semina hiyo Padre Andrea Kelemiye Parokia ya Mabamba Kibondo; Migogoro mingi na mikubwa yakugombania ardhi hapa nchini, imetajwa kusababishwa na uelewa ndogo kwa jamii juu ya matumizi na umiliki wa ardhi kwa kuzingatia utawala wa sheria Kutokana na hali hiyo, ili kuzuia na kupunguza malumbano katika jamii, Kanisa Katholic Jimbo la Kigoma jana    limeamu kutoa mafunzo kwa muda siku mbili kwa wenyeviti , Watendaji wa kata na vijiji ili waweze kufahamu sheria ya umiliki wa ardhi kama anavyoleza Padre Andrea Kalemiye kutoka Parokia ya Mabamba wilayani Kibondo ‘’Kumekuwepo   na migogoro ambayo haina sababu   na kupelekea watu kusababishiana madhala ya kuuwana na kuitilafiana kati ya Mtu na mwenzake Mtu na Taasisi hivyo tumeona tuweke mafunzo haya ili watu hasa viongozi wa Vijiji wafahamu jinsi ya kutatua migogoro ya ardhi kisher

Uvinza;Halmashauri ya wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma inakabiliwa na ukosefu wa hospitali ya wilaya hiyo jambo linalopelekea wananchi kusafiri umbali mrefu kutafuta matibabu katika hospitali nyingine ikiwemo hospitali ya rufaa ya mkoa huo - Maweni.

Picha
Uvinza; Halmashauri ya wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma inakabiliwa na ukosefu wa hospitali ya wilaya hiyo jambo linalopelekea wananchi  kusafiri umbali mrefu kutafuta matibabu katika hospitali ny ingine  ikiwemo hospitali ya rufaa ya mkoa huo - Maweni. Hayo yalibainishwa juzi na mkuu wa wilaya hiyo Mwanambua Mlindoko mara baada ya kupokea Vifaa tiba na Magodoro vyenye thamani ya milion 5 kutoka Benki ya NMB na kusema ukosefu wa huduma Bora za afya wilayani humo, bado ni changamoto kubwa na kwa serikali imejipanga kuhakisha inabiliana nazo haraka iwezekanavyo Alisema hivi sasa wanarekebisha Kituo cha Afya cha uvinza kwa kuongeza majengo na vifaa vingine ili kiweze kutumika kama Hospitali ya Wilaya, huku wakifanya maandalizi ya ujenzi wa hospitali ambapo wanataraji kuijenga katika eneo la Lugufu ambako walipata kiwanja kwa ajili ya kujenga hospitali hiyo. Kwa upande wake meneja wa NMB Tawi la Kigoma Joventus Lukonge alisema benki hiyo imeamua kutoa msahada huo ilikuunga mko

Uvinza;Halmashauri ya wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma inakabiliwa na ukosefu wa hospitali ya wilaya hiyo jambo linalopelekea wananchi kusafiri umbali mrefu kutafuta matibabu katika hospitali nyingine ikiwemo hospitali ya rufaa ya mkoa huo - Maweni.

Picha
  Uvinza; Halmashauri ya wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma inakabiliwa na ukosefu wa hospitali ya wilaya hiyo jambo linalopelekea wananchi  kusafiri umbali mrefu kutafuta matibabu katika hospitali nyingine  ikiwemo hospitali ya rufaa ya mkoa huo - Maweni. Hayo yalibainishwa juzi na mkuu wa wilaya hiyo Mwanambua Mlindoko mara baada ya kupokea Vifaa tiba na Magodoro vyenye thamani ya milion 5 kutoka Benki ya NMB na kusema ukosefu wa huduma Bora za afya wilayani humo, bado ni changamoto kubwa na kwa serikali imejipanga kuhakisha inabiliana nazo haraka iwezekanavyo Alisema hivi sasa wanarekebisha Kituo cha Afya cha uvinza kwa kuongeza majengo na vifaa vingine ili kiweze kutumika kama Hospitali ya Wilaya, huku wakifanya maandalizi ya ujenzi wa hospitali ambapo wanataraji kuijenga katika eneo la Lugufu ambako walipata kiwanja kwa ajili ya kujenga hospitali hiyo. Kwa upande wake meneja wa NMB Tawi la Kigoma Joventus Lukonge alisema benki hiyo imeamua kutoa msahada huo ilikuunga