Waziri wa mambo ya ndani Mwingulu Nchemba amewataka Vijana wilayani ma kuungana pamoja katika kupiga vita rushwa katika kuunga mkono jitihada za Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr.John Magufuli.




samson Hanga mkuu wa wilaya kigomaaliyemwakilisha Mwigiru Nchemba  Waziri wa Mambo ya ndani katika uzinduzi wa albam ya Kwaya Kanisa Anglikana



Waziri wa mambo ya ndani Mwingulu Nchemba amewataka Vijana wilayani ma kuungana pamoja katika kupiga vita rushwa katika kuunga mkono jitihada za Raisi wa jamhuri ya  muungano wa Tanzania Dr.John Magufuli.

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na wakazi wa wilaya kibondo Mkoa wa Kigoma  katika Uzinduzi wa  Mkanda wa nyimbo za Injili  Video anisa la Anglikani dayosisi ya kibondo mjini .

Akimwakilisha waziri wa mambo ya ndani  mkuu wa wilaya ya kigoma .Samsoni Anga amesema watanzania wameteseka kwa kipindi kirefu katika swala la Rushwa na hivyo ni wakati ambao haina budi kila mmoja kuchukia rushwa na kupinga kwa hali ya juu.

Aidha amelipongeza Kanisa hilo kwa malezi mema kwa vijana kwani maandalizi mema ya vizazi vijavyo


Awali akisoma risala mbele ya mgeni rasmi mmoja wa Vijana wa kanisa hilo Hauleti Jonasi amesema kwa kutambua kauli mbiu ya raisi wa awamu ya tano tayari wapo katika mkakati wa kuungana kupinga vitendo vya rushwa.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao