Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2023

Serikali kuboresha Kilimo biashara

Picha
  Baadhi ya washiriki waliohudhuria Kakikao kwa ajili ya kutoa na kupokea maelekezo ya serikali namna ya kununua na kuuza mazao ya Kilimo Kilichofanyika ukumbi wa Mikutano Mjini Kibondo Mkoani Kigoma Na Muhingo Mwemezi Kibondo Serikali  ili kuboresha sekta ya Kilimo kwa kulenga kumuinua Mkulima imeweka utaratibu maalumu wa kuwasajili Wafanyabiashara wa Mazao wa ndani ya Nchi kusajili Vituo vya mauzo na wamiliki wa Mgala yanayohifadhi Mazao Gabriel Chitupila ambae ni Mkuu wa Idara ya Kilimo na Mifugo Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma alipokuwa akitoa ufafanuzi wa mpango wa serikali kwa wafanyabiashara wa Mazao, Wamiliki wa Magala, Watendaji wa Vijiji Kata na Maafisa ugani amesema kwa sasa Wakulima hawatafuatwa Mashambani na wafanyabiashara bali watauza Mazao yao kwenye Vituo maalum Wafanyabiashara watakuwa wananunua Mazao  kutoka kwa wakulima baada ya kufikishwa kwenye Vituo vilivyosajiliwa kisha wafanyabiashara wa ndani watakuwa wanawauzia wenzao kutoka nje ya nchi badala ya kwenda masha

BARABARA YA KIDATU-IFAKARA YAFIKIA ASILIMIA 87

Picha
  BARABARA YA KIDATU-IFAKARA YAFIKIA ASILIMIA 87 UjenziwabarabarayaIfakara -KidatuwilayaniKilomberoyenyeurefuwaKilometa 66.9 ambayoimewahikusababishaMbungewaJimbo la KilomberoAbubakariAsenga,kupigamagotikwenye tope nakuiombaSerikalikuijengakwakiwango cha lami, sasaumefikiaasilimia 87. AwalibarabarahiyoilikuwaikiwafanyaWananchiwatumiemasaamatatuhadimannekutokaKidatumpakaIfakaralakinibaadayakujengwakwakiwango cha lamisasakunaifanya safari iweyakatiyadakika 45 hadidakika 60. AkizungumziakatikamahojianoMaalumnakipindi cha TANROADS mkoakwamkoaMbungehuyowaJimbo la KilomberoAbubakarAsenga,amesemaawalibarabarahiyoilikuwanachangamotonyingi, lakiniRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania Dkt. SamiaSuluhu Hassan alisikiakilio cha Wananchi wake, WizarayaUjenzinaUchukuzi, Wizarayafedhana TANROADS wakaungananakuanzaujenzinasasazaidiyakilometa 47 katiya 67 zimeshakamilikakwakiwango cha laminakipandekilichobaki km 20 kutokaSignaliKwendaIfakarakinaendeleakujengwa. ‘’TunamshukurusanaMheshimiwaRaisDkt.

WANAFUNZI WAIPONGEZA SERIKALI KUWAEPUSHIA KUTEMBEA MWENDO MREFU KM 10 KUFUATA ELIMU

Picha
  Wanafunzi Shule ya sekondari Mkabuye waliohama kutoka Itaba Sekondari baada ya kujengewa shule kwenye Kata yao Kibondo.Wanafunzi wa shule ya sekondari Mkabuye iliyoko Kibondo Mkoani Kigoma, wameipongeza serikali kuwajengea shule kwenye Kata yao ambayo imeanza kutoa huduma mwaka huu 2023 kwani hapo awali walikuwa wanatembea kilomita 10 kufuta huduma ya Elimu kwenye Kata nyingine ya Itaba Baadhi ya Wanafunzi hao ambao ni Jonas Stanslaus na Sikitu Moses wamesema hali hiyo imekuwa ikiwasababishia usumbufu Mkubwa hasa katika masuala ya ujifunzaji ambapo taalauma imekuwa ikiporomoka kila uchao lakini kwa sasa adha hiyo imeondoka na wanapata elimu bila usumbufu ''Kama sisi Watoto wa Kike tumekuwa tukipata shida sana kutokana na mambo mengi yanayotukabili na wengine wenzetu waliacha masomo kutokana na umbali na tunapofika majumbani kazi zinatusubiri wakati huo tumechoka sana hali ambayo imekuwa ikipelekea wengi kuta Tamaa lakini kwa sasa tutasoma kwa bidiii kwakuwa tumejengewa shule

Digital Mobile Afrika yapambana uharibifu Mazingira utengenezaji Majiko Sanifu yaliyoboreshwa

Picha
Aggrey Magwaza Mkuu wa Wilaya ya Kibondo alipokuwa akiwahutubia washiriki Digital Mobile Afrika Washiriki wa Mafunzo wakiwa Kikaon Susan Kaijanangoma Kibondo. Katika mapambano ya kuzuia uharibifu wa Mazingira   yanayofanywa na Taasisi, Makampuni Serikali katika maeneo mbalimbali hapa nchi imeelezwa bado jitiada za makusudi zinahitajika ili kufikia malengo na Mikakati ya Dunia Jitiada hizo zinatakiwa kufanyika katika jamii ngazi za chini kabisa hatika Vijiji na Mitaa kwa kuwaelimisha wananchi ambapo Mwakilishi wa Shirika la Cecuesi Capito Suzan Kaijanangoma alipokuwa katika mafunzo ya siku moja juu ya kutenenza na kutumia Majiko Sanifu yaliyoboreshwa iliyofanyika Kijiji cha Minyinya Kata ya Bunyamboa Kibondo Mkoani Kigoma ambapo   ameeleza kama wananchi wataelewa mazingira yatakuwa salama Shirika la Cecues Capital lenye Makao makuu yake nchini Marekani kwa kushirikiana na Kampun ya   Digital Mobile Afrika katika kupambana na usambaaji wa hewa ukaa na ukataji wa Miti wanalenga kut

Burundi waomba Tanzania ushirikiano Mafunzo vyuo vya Uuguzi yaendelee kwa ajili ya kuboresha Taaluma

Picha
Proches Kitaronja Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Kibondo alipokuwa akiongea na Wageni toka Nchini Burundi Katika Chuo cha Uuguzi Kibondo Habyalimana Juve Mkuu wa Chuo cha Uuguzi Gisulu alfreda Ndungulu Mkuu wa Chuo cha Uuguzi kIBONDO Burundi waomba Tanzania ushirikiano Mafunzo vyuo vya Uuguzi yaendelee kwa ajili ya kuboresha Taaluma Chuo cha Uuguzi Gisulu   Mkoa wa Chankuzo Nchini Burundi kimeomba ushirikiano wa pamoja katika   kubadilishana uzoefu wa mafunzo ya uuguzi kwa Wanafunzi wan chi hizi mbili Wakiwa katika ziara ya mafunzo Wilayani Kibondo Mkoani   Kigoma Nchini Tanzania, wanafunzi na walimu kutoka Chuo cha uuguzi Gisulu Mkoani Chankuzo   Burundi, wamesema licha ya Mitaala tofauti katika nchi zao, yapo mambo ambayo yakifanyika kwa kubadilishana uzoefu yaweza kuleta matokeo chanya na kuboresha taaluma hiyo Habyalimana Juve Mkuu wa Chuo cha Uuguzi Gizulu   amesema wameweza kuona utofauti uliopo katika Vyumba na Vifaa vya kujifunzia kwa njia ya matendo ambapo   kwao hutumi