Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi, 2024

Misri wavutiwa na miradi ya PPP ya TANROADS

Picha
  Misri wavutiwa na miradi ya PPP ya TANROADS   BALOZI wa Misri nchini Tanzania, Sherif Abdelhamid amevutiwa na miradi itayojengwa kwa ubia wa kati ya sekta binafsi na umma (PPP) itakayokuwa chini ya Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), imeelezwa. Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Mohamed Besta amesema hayo jana mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo na Balozi huyo yaliyofanyika Makao Makuu ya TANROADS jijini Dar es Salaam. Mha. Besta amesema Balozi huyo ameahidi kushiriki fursa zinazopatikana kwenye miradi ya TANROADS na ameonesha dhamira ya makampuni ya Misri kuja kushiriki kwenye miradi ya PPP, ikiwemo ya barabara ya kulipia ya kutoka Kibaha, Chalinze hadi Morogoro; na Barabara za Mzunguko za Jiji la Dar es Salaam (Dar es Salaam Outer Ring Roads). Miradi mingine ya PPP ni Daraja la Pili la Kigamboni; Barabara ya kulipia ya kutoka Morogoro hadi Dodoma na barabara ya kutoka Igawa hadi Tunduma. “Kama alivyosema hizi ni mojawapo ya fursa na u zoefu wa Kimataifa unaone

DHAMIRA YA SERIKALI NI KUKUZA UCHUMI WA SEKTA BINAFSI KWA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI: BASHUNGWA

Picha
  DHAMIRA YA SERIKALI NI KUKUZA UCHUMI WA SEKTA BINAFSI KWA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi naMbunge wa jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwaameeleza kuwa dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sitanikukuzauchumi wa Sekta binafsi inayochangiamakusanyo ya kodiambazozitawezeshaujenzi wa miundombinu ya barabara nautekelezaji wa miradimingine ya maendeleonchini. Bashungwaamezungumza hayo Machi 27, 2024 katika kikaokilichowakutanishawafanyabiashara wa Wilaya ya Karagwe pamoja naTaasisi za Serikalizinazowahudumiaambapoamesikilizakerozaoikiwemotozokubwa za kodi, ushuru pamoja nakaulizisizoridhishakutoka kwa Maafisa wa Mamlaka ya Mapato (TRA). Bashungwaamesisitiza kuwa ukusanyaji wa mapatounawezeshaSerikalikufanikishamalengoyake ya kuhudumianchi pamoja nawananchi wake kwa haraka kwa kuwa wajibu wa Serikalinikujengaustawi wa wafanyabiasharana sio kuwadumaza. “Sijafurahishwanamadai ya kauli za Maafisa kwa wafanyabiasharaambazo sio sahihi,kwakuwaaambiawakishindwakulipakodi, 

WAZIRI BASHUNGWA AAGIZA WAHANDISI WASHAURI WANAOSHINDWA KUSIMAMIA MAKANDARASI KUTOPEWA KAZI

Picha
  WAZIRI BASHUNGWA AAGIZA WAHANDISI WASHAURI WANAOSHINDWA KUSIMAMIA MAKANDARASI KUTOPEWA KAZI Waziri wa Ujenzi, Innocent BashungwaameiagizaWakala wa Barabara (TANROADS) kutowapatiakazi za usimamizi wa miradiWahandisiWashauriwanaoshindwakuwasimamiaWakandarasikutekelezamiradi ya ujenzi wa barabara kwa viwangonamujibu wa mikatabanakupelekeaMkandarasikurudishwaeneo la mradi kurudiakazi. Bashungwaameagiza hayo Machi 22, 2024 Wilayani Mafia wakati akikagua barabara ya Kilindoni -   Utende (km 14.6) kwa kiwango cha lami, iliyojengwanaMkandarasi CHICO nachini ya usimamizi wa Mhandisi Mshauri Kampuni ya UWP Tanzania ambapo barabara hiyohaikutekelezwa kwa viwangonakusababishaMkandarasikurudia sehemu ya kazi. “Kama mlivyofanya katika mradi huu kwa kumrudishaMkandarasi Site, WahandisiWashauri kama hawawanaoshindwakumsisimamiaMkandarasiwanapaswawawe ‘blacklisted’ kwa sababutunawalipapesa ya kumsimamiaMkandarasikwaniaba ya Serikali”, amesemaBashungwa. BashungwaamemuagizaMtendajiMkuu wa TANRO

DKT. BITEKO: RAIS SAMIA AENDELEA KUENZI MAONO YA HAYATI MAGUFULI KWA VITENDO

Picha
  DKT. BITEKO: RAIS SAMIA AENDELEA KUENZI MAONO YA HAYATI MAGUFULI KWA VITENDO Maono ya aliyekuwaRais wa Awamu ya Tano, HayatiDkt. John PombeMagufuli katika utekelezaji wa miradimikubwa ya Kitaifa kama Ujenzi wa Bwawa la Nyerere, Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), Ujenzi wa barabara namadarajamakubwa kama vile Daraja la Kigongo - BusisiyametekelezwanayanaendeleakutekelezwanaSerikali ya Awamu ya SitainayoongozwanaRais, Dkt. SamiaSuluhu Hassan. Hayo yameelezwaNaibu Waziri Mkuuna Waziri wa Nishati, Dkt. DotoBiteko katika Misa Takatifu ya kumuombeaRais wa Awamu ya Tano, HayatiDkt. John Pombe Magufuli, iliyofanyika katika KanisaKatolikiParokia ya Mtakatifu Yohana Maria MuzeyiWilayaniChatoMkoaniGeita. “NiwahakikishieWatanzaniza kuwa miradiyoteambayoHayatiDkt. MagufuliakiwaRais wa Nchi yetu, Serikali ya Dkt. SamiaSuluhu Hassan inaiendelezayote kwa kasikubwailitumuenzi kwa vitendo”, amesemaDkt. Biteko. Dkt. Bitekoameeleza kuwa WatanzaniawatamkumbukaHayatiDkt. John PombeMagufuli kwa uwezo

PAC YAKAGUA MRADI WA UBORESHAJI KIWANJA CHA NDEGE TABORA

Picha
  PAC YAKAGUA MRADI WA UBORESHAJI KIWANJA CHA NDEGE TABORA Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetembelea na kukagua mradi wa ukarabati na uboreshaji wa Kiwanja cha ndege cha Tabora unaotekelezwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS). Kamati hiyo ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati, Mheshimiwa Japhet Hasunga (Mb), ikiwa mkoani Tabora Machi 17, 2024 imeshauri kwa Wakala huo masuala mbalimbali ikiwemo kumsimamia Mkandarasi kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi huo ili wananchi wa Tabora na mikoa jirani waweze kunfaika na mradi huo. "Msimamieni Mkandarasi aongeze kasi ya utekezaji wa mradi ili ukamilike kwa wakati, nao wananchi wa Tabora na mikoa jirani waweze kufurahia huduma ya usafiri wa anga", amesema Hasunga. Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Ludovick Nduhiye amesema Wizara imepokea ushauri na maelekezo ya Kamati na kuahidi kuyafanyia kazi kwa manufaa ya jamii na Taifa kwa ujumla. Awali akiwasilisha taarifa ya mradi