DHAMIRA YA SERIKALI NI KUKUZA UCHUMI WA SEKTA BINAFSI KWA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI: BASHUNGWA
DHAMIRA YA SERIKALI NI KUKUZA UCHUMI WA SEKTA BINAFSI KWA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI: BASHUNGWA
Waziri wa Ujenzi
naMbunge wa jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwaameeleza kuwa dhamira ya
Serikali ya Awamu ya Sitanikukuzauchumi wa Sekta binafsi inayochangiamakusanyo
ya kodiambazozitawezeshaujenzi wa miundombinu ya barabara nautekelezaji wa miradimingine
ya maendeleonchini.
Bashungwaamezungumza
hayo Machi 27, 2024 katika kikaokilichowakutanishawafanyabiashara wa Wilaya ya
Karagwe pamoja naTaasisi za Serikalizinazowahudumiaambapoamesikilizakerozaoikiwemotozokubwa
za kodi, ushuru pamoja nakaulizisizoridhishakutoka kwa Maafisa wa Mamlaka ya
Mapato (TRA).
Bashungwaamesisitiza
kuwa ukusanyaji wa mapatounawezeshaSerikalikufanikishamalengoyake ya
kuhudumianchi pamoja nawananchi wake kwa haraka kwa kuwa wajibu wa
Serikalinikujengaustawi wa wafanyabiasharana sio kuwadumaza.
“Sijafurahishwanamadai
ya kauli za Maafisa kwa wafanyabiasharaambazo sio
sahihi,kwakuwaaambiawakishindwakulipakodi,
wafungebaishara, Lengo la Serikali ya Rais, Dkt. SamiaSuluhu Hassan
kuwawezesha kwa kutoaelimu, kuwashaurinakustawishawafanyabiashara”
amesisitizaBashungwa.
Aidha,
Bashungwaameutaka uongozi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Kagera kusimamia
miongozo pamoja nakutoaelimu ya Sheria na Kanuni za kodimara kwa mara kwa
wafanyabiashara pamoja naMaafisakuwa nakauli nzuri nawezeshi.
BashungwaamelitakaBaraza
la wafanyabiashara la Wilaya ya Karagwekutimizawajibuwao kwa kuitishamikutano
ya mara kwa maranawafanyabiasharawoteilikukumbushanamasualatozo mbalimbali
zilizoponakutatuachangamotozao kwa kuzipatiasuluhu ya
harakakablamfanyabiasharahajafikia hatua ya kufungabiashara.
Kuhusuutekelezaji wa
miundombinu, BashungwaamesemaSerikaliinaendeleanautekelezaji wa barabara ya
Bugene-Benaco (km 128.5) pamoja nakuanzautekelezaji wa barabara ya Omurushaka -
Kyerwa (km 50) naOmugakorongo – Kigarama -
Murongo (Km 111) kwa kiwango cha lami.
Naye, Mfanyabiashara wa Kampuniya SANOA, Bw. MetiselaPhilipoameeleza kuwa
kodinafainiwanazotozwazimekuwakubwanahaziendaninabiasharawanazozifanyahivyokupelekeabaadhi
ya wafanyabiasharakufungabiasharazao.
Kwa upande wake,
KaimuMeneja wa TRA Mkoa wa Kagera, Bw. OmaryKigodaamesema kuwa suala la
lughambaya kwa walipakodi sio msimamo wa Taasisihivyo TRA
itaendeleakuwachukulia hatua baadhi ya watumishi ambaowanaendakinyumenamaadili
ya utumishi.
Maoni
Chapisha Maoni