Msiba wa Kitaifa

Msiba wa Kitaifa


Tunawapa pole wazazi ndugu na Jamaa wa wanafunzi waliokufa kwenye ajali ya Gari huko Karatu Msiba huu ni wetu wote huvyo tunamuomba Mungu awape uvumilivu wazazi wa karibu katika Kipindo hiki kigumu

Katika hili kila mwanadamu mwenye akili timamu analo la kujifunza katika maisha yake anayoishi nayo msiba huu unatisha na unatia simanzi kumbwa mioyoni mwetu  kwani umewachukua watoto wadogo na kukatisha ndotro zao na malengo ya wazazi

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Shule ya msingi Nengo ya Walemavu, iliyoko wilayani Kibondo mkoani kigoma, inayohudumia wanafunzi walemavu wa mahitaji maalum inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni ukosefu wa maji Vifaa vya kujinfunza na kufundishia na vyombo vya kulia chakula