KUHITIMISHA UCHUKUAJI FOMU KINYANG'ANYIRO CHA UBUNGE JIMBOLA MUHAMBWE CCM
![]() |
| rAPHAEL SUMAYE KATIBU CCM WILAYA YA KIBONDO |
Chama cha Mapinduzi Ccm
kimehimisha zoezi la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania fafasi za
Ubunge na Udiwani kamalilivyoanza June 28,2025 hadi leo julai 2,2025 kwa
Wanachama wake kwa ajili ya uchaguzi Mkuu
kuwapata Madiwani,Wabunge na Rais unaotarajiwakufanyika octoba mwaka huu
Katika Jimbo la Muhambwe
Kibondo Mkoani Kigoma,wamejitokeza Wananchama wa Ccm walioonyesha Nia ya
kugombea ubunge kuitia ccm idadi
imetajwa ni 17 na wote wamerejesha fomu
zao kwa wakati
Aidha Sumaye amesema baada ya hatua hiyoya
awali itaendelea michakato mingine ili
kifikia malengo yanayokusudiwa huku Waliochukua fomu kugombea udiwani Kata
zote ikitajwa idadi ni wanachama 96 na hakuna malalamiko
yaliyojitokeza kwa madai ya kutotendewa
haki
Jimbo la Muhambwe
linaundwa na Vitongoji 420,Vijiji 50 na Kata 19 huku baadhi ya watia
ambao ni Adrian Thoma Andason Njiginya na Japhet Jakson wakieleza kuridhishwa
na zoezi lilivyoendeshwa kwa amani na utulivu
bilaMizengwe yoyote






Amina
JibuFutaKwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
JibuFutaMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ndiyo tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
Email dawnacuna314@gmail.com