KUHITIMISHA UCHUKUAJI FOMU KINYANG'ANYIRO CHA UBUNGE JIMBOLA MUHAMBWE CCM

 

rAPHAEL SUMAYE KATIBU CCM WILAYA YA KIBONDO









Chama cha Mapinduzi Ccm kimehimisha zoezi la uchukuaji na urudishaji wa fomu za kuwania fafasi za Ubunge na Udiwani kamalilivyoanza June 28,2025 hadi leo julai 2,2025 kwa Wanachama wake kwa ajili ya uchaguzi Mkuu  kuwapata Madiwani,Wabunge na Rais unaotarajiwakufanyika octoba mwaka huu

 

Katika Jimbo la Muhambwe Kibondo Mkoani Kigoma,wamejitokeza Wananchama wa Ccm walioonyesha Nia ya kugombea ubunge  kuitia ccm idadi imetajwa ni 17  na wote wamerejesha fomu zao kwa wakati

 

 Aidha Sumaye amesema baada ya hatua hiyoya awali  itaendelea michakato mingine ili kifikia malengo yanayokusudiwa huku Waliochukua fomu kugombea udiwani Kata zote  ikitajwa idadi ni   wanachama 96 na hakuna malalamiko yaliyojitokeza  kwa madai ya kutotendewa haki

 

Jimbo la Muhambwe linaundwa na  Vitongoji  420,Vijiji 50 na Kata 19 huku baadhi ya watia ambao ni Adrian Thoma Andason Njiginya na Japhet Jakson wakieleza kuridhishwa na zoezi lilivyoendeshwa kwa amani na utulivu  bilaMizengwe yoyote

 

Maoni

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ndiyo tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Email dawnacuna314@gmail.com

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HALMASHAURI YA KIBONDO KULIGAWA JIMBO LA MUHAMBWE

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

40 CHADEMA KIBONDO WAJIONDOA