Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2015

Risasi za SMG 599 zafukuliwa ardhini Kibondo

Picha
Baadhi   ya wakazi wa mji wa Kibondo mkoani Kigoma jana waliingia katika hali ya tahaluki baada ya mafundi ujenzi waliokuwa wakichimba msingi kwa maandalizi ya kujenga nyumba kufukua Lisasi za Bunduki aina ya SMG zipatazo 599 zinazoonekana kukaa muda mrefu ardhini. Mmoja wa wakazi hao Bw, Jastin Samson alisema kuwa kama lisasi hizo zingeweza kuingizwa mitaani kwa kutumiwa na waalifu, kulikuwa na uwezekano wa kuumiza watu wengi Lemijiusi Rabson ambaye alikuwa kibarua katika eneo la ujenzi lililoko katika mTaa wa Ihulilo Kata ya Kibondo mjini Wilayani hapa, amesema kuwa alipokuwa akiendelea na shuguli zake za kuchimba msingi kwa ajili ya maeendalizi ya ujenzi alifukua mkuko wa Sandalusi  uliokuwa umewekwa Lisasi ndani yake na kutaarifu kwa msimamizi wake aliyetoe na kuwaita Polisi Msimamizi wa ujenzi huo, Bw, Jackson Amoni aliweka wazi  kuwa eneo hilo nila mtu mtu mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Ally mkazi wa kibondo , Mweneyekiti wa Mtaa wa Ihulilo Nuhu Kasigwa ame

57 Bilion zalipa kaya maskini tasasf mpango wa kunusuru kaya hizo awamu ya kwanza

Picha
Washiriki washa ya Tasaf katika Picha ya pamoja   Omary Malilo kaimu mkurugenzi Tasaf Taifa Add caption Toba Mhina Mshiriki Washiriki wa Warsha Tasaf Miaka mingi iliyopita Tanzania  lmeendelea kuhesabika kuwa moja ya Taifa masikini  Ulimwenguni,ambapo takwimu za wataalam wa uchumi zinaonaonyesha kukua kwa uchumi wakati watanzania wengi wakiendeleakuishi katika kiwango cha chini cha maisha na dhiki kubwa Uchumi wa nchi hii unaonekana kukua kwa silimia 6-7%  huku umasikini ukiondoka kwa silimia 2 kutoka kwa wananchi ambao wengi wao utegemea kilimo kuendesha maisha ikiwa nacho  kinakuwa kwa shida kwa silimia 3 tu na kuwaajili watanzania  80% hali inayowanfanya wananchi kuishi kimasikini zaidi Kutokana  hali hiyo serikali kupitia shirika la mfuko wa maendeleo ya jamii hapa nchini imemue kuweka mpango wake wa kunusuru wananchi wanaoishi katika kaya masikini katika Tasaf awamu ya tatu mango wa kunsuru kaya masikini awamu ya pili kwa kutumia shilingi bil

sera ya Taifa ya Wazee, haitekelezeki sababu haina sheria

Picha
Wazee wa umri wanatambuliwa kuwa ni moja raslimali  na nguvu mpya katika  maendeleo ya nchi hvyo wanatakiwa kupata fursa za kushiriki katika shuguli za  maendeleo sambamba na wananchi wengine   Kulingana na hali ilivyo hivi sasa kwa sababu ya kuwepo kwa mmomonyoko wa maadili wazee katika jamii umewaathiri wazee walio wengi na kusababisha kukosa huduma mbalimbali stahiki hali inayopelekea kupoteza umuhimu wao  Serikali ya tanzania ilifanya maamuzi ya kuwa na sera ya Taifa ya Wazee  mwaka 1999 ambayo ilitungwa mwaka 2003 kwa dhamira ya kuwasaidia kuondokana na changamoto mbambali  hatua ambayo imeokana kukwama katika utekelezaji wake kama  wanavyoongea katibu mtendaji Bi Clotrida Kokupima mwishoni mwa wiki iliyopita katika kikao kilichoandaliwa na chama cha wazee wilaya ya kasulu mkoani kigoma kwa kuwashirikisha waandishi wa habari Bi Kokupima alieleza kuwa pamoja na mipango mingi ilimo ndani ya sera hiyo bado wazee wameendelea koukosa huduma kwasababu ya kukosekana kwasher

Uharifubifu wa Mazingira ni Elimu ndogo na Ongezeko la Watu hali inayoweza kusababisha majanga makubwa yatokanayo na Tabia nchi

Picha
Umasikini uelewa mdogo na ongezeke la watu hapa nhini vimeokana kuwa ni moja chanzo cha uharibifu wa mzingira hali inayoonekana kuwa ni hatari ya kupelekea tatizo la Tabia nchi kama hatua za dhati hazitachukuliwa. Kuna uhusiano mkubwa kati ya umasikini na mazingira ambapo watu utumia rasrimali kama miti kwa kuifyeka kuchoma mkaa au uandaaji mashamba na ufugaji ambapo mambo hayo ufanyika kiholela kwa kutokujua au kutokana na umasini katika hali ya kujitafutia kipato Justin Nditiye ni mmoja wa wadau wa maendeleo katika wilaya kibondo mkoani kigoma  katika maadhimisho ya miaka 17 ya vikundi vya ujasriamali  ambapo ametoa kauli ya kwa kuzitaka halmashauri za wilaya na vijiji kutoa elimu juu ya matumizi mbadala ya nishati katika jamii na vikundi vinavyojishugulisha na kazi za kuhifadhi na kutunza mazingira Nditiye aliahidi kuhakikisha anawaletea mwalimu kuwafundisha maswala ya ujasriamali na utunzaji wa mazingira kisha kutoa mchango wake  wa shilingi laki tatu ili kusaidia ku

Ukuaji wa uchumi Tanzania

Picha
Takwimu zinaonyesha Tanzania inazidi kukua kiuchumi kuanzia mwaka 2012  miaka mita hadi sasa katika Nyanja mbalimbali Kwa mujibu wa repot ya Shirika la maendeleo la umoja wa mataifa UNDP kwa utafiti wake wa 2012 na 2013 ambayo ilitolewa katika mtandao wake inasema kuwa nchi hiyo imefanikiwa kukuza uchumi wake hasa katika baadhi ya vyanzo vyake ambavyo ni utalii, Kilimo,na Madini vilivyofanikiwa kwa kiasi cha asilimia 90%. Taarifa zaidi. Nayo taarifa ya utafiti ya Banki ya Dunia uliofanyika kwa mwaka  2007 hadi 2013 inaonyesha uchumi wa Tanzania umekuwa kiasi cha asilimia 6.5 Tukiangalia katika maendeleo ya mkoa wa Kagera ambapo maendeleo yake ya kiuchumi yanachangiwa na Viwanda Madini , Kilimo uvuvi ambapo wakazi wake wameweza kupata ajira mbalimbali Hata hivyo  Wananchi wan nchi hii, wanakabiliwa na tatizo kubwa la ajira ambapo inakadiliwa kuwa watu wasio kuwa na kazi ni asilimia 17% ambapo  watanzania wanakadiliwa kuwa 44.9 milion

G7 yatishia kuiongezea Urusi vikwazo

Picha
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema kuwa, viongozi wa mataifa saba yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi Duniani-G7, wamekubaliana kuwa vikwazo dhidi ya Urusi vinafaa kuendelea. Bi Merkel amesema hadi pale muafaka wa kukomesha mapigano nchini Ukraine utakapoheshimiwa vikwazo sharti ziendelee. Akiongea katika siku ya mwisho ya mkutano wa siku mbili, Merkel amesema kuwa mataifa ya G7 yalikuwa tayari kuzidishia Urusi vikwazo zaidi, iwapo hali ingeruhusu. Kuhusu mzozo wa kifedha unaokumba Ugiriki, Bi Merkel, alionya kuwa muda uliosalia kabla makubaliano hayajatiwa sahihi ni mchache mno. Alishauri Ugiriki kuchukua hatua madhubuti ilikunusuru sarafu ya taifa hilo. Viongozi hao wanafanya mazungumzo katika siku ya pili ya mkutano mkuu, wenye nia ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa, huku pia swala la kuongezeka kwa makundi yenye itikadi kali likijadiliwa. Bi Merkel pia amewataka wanachama wa G7 kuchangia hazina ya kuyasaidia mataifa maskini ambayo yanaathirika n

Membe: Nikiwa Rais Nyerere atafurahi

Picha
Lindi/Dar. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, ametangaza rasmi nia ya kuutaka urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015 akisema anatosha na kwamba Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere huko aliko atafurahi endapo atakuwa rais. Membe aliyasema hayo jana kwenye Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa wa Lindi katika hotuba yake ya saa moja kutangaza nia yake hiyo huku kwa kujiamini kabisa akisema kuwa yeye ndiye Rais wa Tanzania kwa miaka 10 ijayo. Alisema katika urais wake, ataboresha elimu, ataweka msisitizo katika utawala bora, maendeleo ya jamii, uchumi na masuala mbalimbali ya kisiasa na kidiplomasia. Huku akishangiliwa na maelfu ya watu waliofika kumsikiliza, alisema amejipima na kuona anaweza. “Nimetafakari sana, nimeona ninatosha kwa nafasi hii nyeti…, nafasi adhimu na si ya mzaha japo naona wapo wanaofanya mzaha. Nimeangalia nikaona hakuna mwingine wa kufanana na mimi. “Sikukurupuka, zipo nafasi za kukurupuka na wapo wanaokurupuka,

Vijana raslimali muhimu katika nchi yoyote Duniani hivyo itumike vizuri

Picha
Vijana ni raslimali ya muhimu katika jamii na nchi yoyote Duniani hali inayowataka kujitambua kuwa wao ni watu wanaotegemewa kama nguvu nguvukazi Taifa hasa hapa Tanzania Hayo   yaliwekwa wazi na Mwenyekiti wa uhamasishaji chama cha Mapinduzi wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma Bw, Noberth Bulinjie wakati wa uchaguzi nafasi wa mbalimbali za umoja wa vijana wa Ccm [Uvccm] uliofanyika katika ukumbi wa Boma   wilayani humo Bulinjie aliwataka vijana kujitabua vema kutokubali kurubuniwa na makundi ya aina yoyote au vyama vya siasa bali wanatakiwa kutumia nguvu zao walizonazo kwa wakati huu ili kuwa chachu ya maendeleo hapa nchini Aidha alieleza kuwa wanasiasa wengi katika maeneo mengi Duniani upenda kuwatumia vijana ili kutimiza adhima yao hata kama wao hawajui kile wanachokipigania wala kuhoji ila kama vijana watajitambua umuhimu wao , uwezekano wa kushawishiwa kuingia katika matende ya uvunjifu wa Amani hautawezekana kwani wengi kwa kutofuata utaratibu uweza kupoteza maisha