Uharifubifu wa Mazingira ni Elimu ndogo na Ongezeko la Watu hali inayoweza kusababisha majanga makubwa yatokanayo na Tabia nchi

Umasikini uelewa mdogo na ongezeke la watu hapa nhini vimeokana kuwa ni moja chanzo cha uharibifu wa mzingira hali inayoonekana kuwa ni hatari ya kupelekea tatizo la Tabia nchi kama hatua za dhati hazitachukuliwa.

Kuna uhusiano mkubwa kati ya umasikini na mazingira ambapo watu utumia rasrimali kama miti kwa kuifyeka kuchoma mkaa au uandaaji mashamba na ufugaji ambapo mambo hayo ufanyika kiholela kwa kutokujua au kutokana na umasini katika hali ya kujitafutia kipato

Justin Nditiye ni mmoja wa wadau wa maendeleo katika wilaya kibondo mkoani kigoma  katika maadhimisho ya miaka 17 ya vikundi vya ujasriamali  ambapo ametoa kauli ya kwa kuzitaka halmashauri za wilaya na vijiji kutoa elimu juu ya matumizi mbadala ya nishati katika jamii na vikundi vinavyojishugulisha na kazi za kuhifadhi na kutunza mazingira

Nditiye aliahidi kuhakikisha anawaletea mwalimu kuwafundisha maswala ya ujasriamali na utunzaji wa mazingira kisha kutoa mchango wake  wa shilingi laki tatu ili kusaidia kuendeleza baadhi ya kazi za kikundi hicho cha umoja

Wakati wa maadhimisho hayo amesema kuwa vikundi vingi vya ujasriamali na utunzaji wa mazingira vikiwezeshwa na kupewa elimu halmashauri zitafanikiwa katika kupiga vita uharibifu kwani vile ndivyo vilivyo karibu na jamii katika maeneo yahoo huku wanakikundi cha umoja kilichoko katika kijiji cha Lugunga kibondo mkoani Kigoma wakielezea shugulu zao na changamoto


Baadhi ya wanavijiji waliobahatika kupa uwezeshwaji kutoka katika vikundi vya utunza mazingira kwa kupewa elimu ya upandaji miti wanaeleza faida walizopata huku wengine wakipongeza huduma nyingine kama komeshewa watoto yatma na walio katika hali ya ujane


Katika hali hiyo wilaya ya kibondo nayo imehathirika  kutoka na uharibifu wa mazingira kwakuta miti hovyo kwa ajili ya kuandaa mashamba kuchoma mkaa hali inayotishia kutoweka kwa maliasili  kama wanyama uharibi wa vyanzo vya maji hatua inayosababishwa na ongezeko la watu kama wafugaji kwani kila siku ardhi inazidi kupungua na watu wanaongezeka kama anavyoeleza  kaimu Afisa Maliasili na mazingira Wilaya ya kibondo seif Salum


Hata hivyo uwezekano wa kudhibiti shughuli za kibinadamu zinazohatarisha mistu na mhimili mzima wa maliasli hapanchini unakuwamgumu kutokana na jamii kubwa ya watanzania kutokuwa na matumizi mbadala kulingana na vipato katika familia

Justus Ndtiye, Mdau wa maeneleo Kibondo
Eneo lililoharibiwa na tatizo la ukatiji miti na kusabbisha jangwa
Seif Salum kaimu afisa mistu W kibondo

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao