Ukuaji wa uchumi Tanzania

Takwimu zinaonyesha Tanzania inazidi kukua kiuchumi kuanzia mwaka 2012  miaka mita hadi sasa katika Nyanja mbalimbali

Kwa mujibu wa repot ya Shirika la maendeleo la umoja wa mataifa UNDP kwa utafiti wake wa 2012 na 2013 ambayo ilitolewa katika mtandao wake inasema kuwa nchi hiyo imefanikiwa kukuza uchumi wake hasa katika baadhi ya vyanzo vyake ambavyo ni utalii, Kilimo,na Madini vilivyofanikiwa kwa kiasi cha asilimia 90%. Taarifa zaidi.

Nayo taarifa ya utafiti ya Banki ya Dunia uliofanyika kwa mwaka  2007 hadi 2013 inaonyesha uchumi wa Tanzania umekuwa kiasi cha asilimia 6.5

Tukiangalia katika maendeleo ya mkoa wa Kagera ambapo maendeleo yake ya kiuchumi yanachangiwa na Viwanda Madini , Kilimo uvuvi ambapo wakazi wake wameweza kupata ajira mbalimbali


Hata hivyo  Wananchi wan nchi hii, wanakabiliwa na tatizo kubwa la ajira ambapo inakadiliwa kuwa watu wasio kuwa na kazi ni asilimia 17% ambapo  watanzania wanakadiliwa kuwa 44.9 milion

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao