Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia 2018

Kakonko;Imeelezwa kuwa kutokana na kukosekana kwa huduma bora kwa wazee ni moja ya sababu zinazochangia kufa kabla ya wakati

Picha
Kakonko; Imeelezwa kuwa kutokana na kukosekana kwa huduma bora kwa wazee ni moja ya sababu zinazochangia kufa kabla ya wakati Licha yasera ya kuwahudumia wazee wenye umri mkubwa bado zipo changamo nyingi zinazowakabili ikiwa ni pamoja na ukosefu   wa chakula mavazi huduma za bora   afya na kusababisha usumbufu mkubwa na manung’uniko yasiyoisha kutoka katika makundi ya ya wazee Mbonimpa Bisaama ni Mwenyekiti wa chama cha Wazee wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma aliyasema hayo jana wakati wa utoaji misaada kwa wazee 644 wa kata ya Nyamtukuza ambapo alisema wapo wazee wengi wasiyojiweza na wengine wametelekezwa na watoto wao hali inayopelekea kuishi katika Mazingira na magumu na wengine kufa kabla ya wakati wao Msaada uliotolewa kwa walemavu wenye mahitaji maalumu ni wenye thama ya tsh milion 50.6 kutoka katika shirika lisilokuwa la kiserikali la Help Age ambao ni Magoro, Mashat   Viatu na Blanket huku mkuu wa wilaya hiyo Kanali Hosea Ndagala akisistiza idara

Wahitimu wa Jeshi la akiba wilayani Kibondo Mkoa wa Kigoma wameiomba serikalikuwapa kipaumbele pale zinapopatikana fulsa za kiulinzi kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za ajira na pia kupatiwa mafunzo mbalimbali ya kijeshi ili waweze kujiendeleza na kuwa na ufanisi katika shuguli zao

Picha
Wahitimu mafunzo ya awali Jeshi la akiba wakiwa katika Gwaride wakati kufunga mafunzo ya awali Meja Ahmad Chande Mshauri jeshi la akiba wilaya ya Kibondo Wahitimu wa Jeshi la akiba wilayani Kibondo Mkoa wa Kigoma wameiomba serikalikuwapa kipaumbele pale zinapopatikana fulsa za kiulinzi kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za ajira na pia kupatiwa mafunzo mbalimbali ya kijeshi ili waweze kujiendeleza na kuwa na ufanisi katika shuguli zao Baada ya kupata mafunzo mbalimbali ya kijeshi na ulinzi na usalama na ujenzi wa Taifa kwa nyanja mbalimbali na kulingana hali halis ya upatikanaji wa ajira na kuomba kupatiwa mafunzo zaidi ili kuongeza uwezo zaidi katika utendaji wao wa kazi Hayo wameyasema katika katika lisara yao iliyosomwa na Yakin Shedrack wakati wa sherehe ya kufunga mafunzo ya jeshi hilo iliyofanyika katika Kijiji chaa Kumhasa kata ya Mulungu Tarafa ya Kibondo na kueleza kuwa wamejifunza mambo mengi yahusoyo ulinzi Kwa upande wake Mej Ahamad C

Wananchi wilayani kakonko mkoani kigoma wametakiwa kujitokeza katika zoezi la upuriziaji viatilifu katika majengo yao ili kukabiliana na ugonjwa wa maralia ambao umekuwa tishio kwa maisha ya binadamu

Picha
Kakonko; Wananchi wilayani kakonko mkoani kigoma wametakiwa kujitokeza katika zoezi la upuriziaji viatilifu katika majengo yao ili kukabiliana na ugonjwa wa maralia ambao umekuwa tishio kwa maisha ya binadamu Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya kakonko Kanali Hosea Ndagalla alipokuwa akizungumza na Mjini Kakonko jana kuhusiana na zoezi la upuriziaji viatilifu ambalo linaendelea katika maeneo mbalimbali wilayani humo. Kanali Ndagalla amesema licha ya zoezi la upuriziaji viatirifu kuanza October 25 kumekuwa na changamoto mbalimbali kwa baadhi ya vijiji na kata ambao baadhi ya wananchi hufunga milango yao na kukataa kupuriziwa dawa na hivyo kukwamisha zoezi hilo. Mganga mkuu wa wilaya hiyo Joseph Tutuba alisema kuwa kumekuwepo na na ongezeko la ugonjwa wa Maralia hasa katika Vijiji vinavyopakana na nchi ya Burundi  ambako  kulikokuwa na mlipuko wa ugonjwa huo   Tutuba alisema nivema zoezi hilo likafanyika hata kwenye makambi ya wakimbizi yali

Kibondo;Idadi kubwa ya Wakimbizi wanaohifadhiwa mkoani Kigoma ni moja ya changamoto zinazoukabili mkoa huo ikiwa usalama mdogo kwa baadhi ya wenyeji, uharibifu wa miundo mbinu, na mazingira

Picha
Bruno Nkwabi Kaimu Mkuu wa Makazi James Mwangi ofisa Mazingira UNHCR Revocatus Nginila Mratibu Redeso   Kibondo; Idadi kubwa ya Wakimbizi wanaohifadhiwa mkoani  Kigoma ni moja ya changamoto zinazoukabili mkoa huo ikiwa usalama mdogo kwa baadhi ya wenyeji, uharibifu wa miundo mbinu, na mazingira Wakimbizi hao walioko katika makambi ya Nyarugusu Kasulu, Mtendeli  Kakonko na Nduta  Kibondo, wanakadiliwa kufikia 270 ambapo uharibifu  uko kwa kiwango cha juu huku  uoto wa asili  na vyanzo vya maji vikikauka hali ambayo inatishia kuwepo  kwa mabadiliko ya tabia nchi Akiongea wiki iliyopita na Wakimbizi wa Kambi ya Nduta iliyoko wilayani Kibondo  kaimu mkuu wa makazi wa kambi hiyo, Bruno Nkwabi amewataka kutunza mazingira na mali asili zote walizozikuta ambazo zinawasaidia hata wao ''Lazima mkumbuke wakati mnaingia kwenye maeneo haya mlikuta kila kitu kiko vizuri na mliweza kufurahia hivyo lazima muendeleze hali mliyoikuta  kwa kutambu

Vijana wanaohitimu mafunzo ya kishi hapa nchini wametakiwa kuzingatia viapo vyao kwa kuyatumia kwa usahihi mafunzo na ujuzi walioupata ili kutimiza hadhima ya serikali ya kuanzisha jesi la kujenga Taifa

Picha
Vijana wa Kikosi cha 824 kanembwa jkt wakiwa kwenye Gwaride wakati wakufunga mafunzo ya awali ya Kijeshi Op Meleran 2018 Vijana wa Kikosi cha 824 kanembwa jkt wakiwa kwenye Gwaride wakati wakufunga mafunzo ya awali ya Kijeshi Op Meleran 2018 Julias Kadawi mwakilishi wa Mkuu wa jkt Tanzania wakati kufunga mafuzo ya kijeshi Jkt Kanembwa Luis Peter Bura, Mkuu wa Wilaya Kibondo aliyekuwa mgeni rasmi katika kufunga mafunzo ya awali Jkt Kanembwa alipokuwa akiwahutubia Vijana wahitimu Luthen Kanal Mkuu wa Kikosi 824 Kanembwa Nazael Eliya akisoma lisara ya Wahitimu wa Mafunzo ya Kijeshi Jkt Kanembwa Vijana wanaohitimu mafunzo ya kishi hapa nchini wametakiwa kuzingatia viapo vyao kwa kuyatumia kwa usahihi mafunzo na ujuzi walioupata ili kutimiza hadhima ya serikali ya kuanzisha jesi la kujenga Taifa Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma Luis Bura aliyekuwa mgeni rasmi jana wakati wa kufunga mafunzo ya awali ya kijeshi Oparation Me

Kibondo;Uelewa mdogo kwa baadhi ya wananchi juu ya rushwa ni moja changamoto zinazoikabili taasisi ya Kuzuia na kupambana na rushwa

Picha
Kibondo; Uelewa mdogo kwa baadhi ya wananchi juu ya rushwa ni moja changamoto zinazoikabili taasisi ya Kuzuia na kupambana na rushwa Wananchi wengihawako tayari kutoa ushahidi pale wanapohitajika kufanya hivyo licha ya kuwa na taaria za kuwepo kwa watu  wenyekujihusisha na mambo ya rushwa halambayo ina sababisha kukwama kwa au kuchelewa kwa kesi Akiongea juzi katika Tamasha lililoandaliwa kwa ajili ya kutoa elimu kwa jamii juu ya maswala ya Rushwa iliyofanyika katika kata ya mabamba wilayani Kibondo mkoani Kigoma  Kamanda wa Takukuru Michael Oyombe wilayani humo  alisema jamii nyingi hasa vijijini hawatoi taarifa katika vyombo husika pale wanapoona kuna viashiria vya rushwa na kueleza kuwa mpango huo niendelevu ili kutoa elimu kwa wananchi Oyombe alisema hivi sasa zipo kesi mbili katika mahakama ya wilaya hiyo ambazo zinawakabili watu toauti kutokana na vitendo vya rushwa na kuitaka jamii kukataa kurubuniwa na watu kwa ajili ya kuahidiwa edha na vitu kwa ajili ya kuhujum

Shirika la Bima la taifa limekabidhi jumla ya mifuko miamoja hamsini ya saruji yenye thamani ya shilingi milioni tatu katika wilaya ya kibondo mkoani kigoma ilikusaidia kukamirisha ujenzi wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya.

Picha
Shirika la Bima la  taifa imekabidhi jumla ya mifuko miamoja hamsini ya saruji yenye thamani ya shilingi milioni tatu katika wilaya ya kibondo mkoani kigoma ilikusaidia kukamirisha ujenzi wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya. Akizungumza katika makabidhiano hayo Mkuu wa Francko Enock Meneja shirika la Bima Mkoa wa Kigoma Mwanaidi Shimweta mkuu wa kitengo cha mahusiano shirika la Bima la TaifaAdd caption Atashasta Nditiye Naibu waziri ujenzi mawasiliano na uchukuzi Lazaro Shami mkazi wa Kibondo kitengo cha mahusiano shirika la Bima la taifa Mwanaidi Shemweta amesema kwa kutambua umuhimu wa vyumba vya madarasa na vituo vya afya wameona ni vyema kuunga mkono jitihada hizo ilikupunguza tatizo hilo Kwa upande wake Naibu waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye  amesema tayari wameshafanya ufatiliaji wa kujua shule ambazo zinamapungufu mkubwa hivyo watatoa kipaumbele kwao ilikuwezesha wanafunzi kusoma kwa uhuru Ndit

Wanafuzi wanaosoma katika shule za sekondari za Binafsi na serikali wamelalamikia hatua za baadhi ya walimu wanaoajiriwa katika shule hizo na wale wanaojitolea kwenye shule za serikali kwa vitendo vya kuhamahama hali inayosababisha kitoweza kujifunza ipasavyo

Picha
Baadhi ya Wahitimu kidato cha sita 2018 shele ya Sekondari Bonconclii Mabamba Generoza Mpililwe Mkuu wa shule Bonconclii Devoter Januali mwalimu Oscar Daniel Mwalimu Lodrika Stewrt mwanaunzi Agripina Audax Mwanaunzi Fr Fransis Laswai mgeni Rasmi Wanafunzi wanaosoma katika shule za sekondari za Binafsi  na serikali wamelalamikia hatua za baadhi ya walimu wanaoajiriwa katika shule hizo na wale wanaojitolea kwenye shule za serikali kwa vitendo vya kuhamahama  hali inayosababisha kutoweza kujifunza ipasavyo Wanafunzi hao wakiongea na Clouds Tv wakati wa Mahafali ya 16 ya kuhitimu  kitado cha sita katika shule ya sekondari Bonconcilii Mabamba Kibondo mkoani Kigoma. ambapo wameeleza kuwa kila mwalimu ana namna ya ufundishaji wake hivyo anapoondoka gafla usababisha wanafunzikuanza upya kumuelewa mwalimu mpaya Wamasema kuwa  hali hiyo imekuwa ikisababisha wengi wao kushindwa kufanya vizuri na kuiomba serikali na wamiliki wa shule binafsi k