Kutokana na ongezeko la matukio ya unyanyasaji kwa wanawake na wanaume ambao wapo katika ndoa hususani maeneo ya vijijini mkoani kigoma vitendo hivyo vinedaiwa kushamili hasa nyakati za sikukuu za kristmas na mwaka mpya na nyinginezo

Kutokana na ongezeko la matukio ya unyanyasaji kwa wanawake na wanaume  ambao wapo katika ndoa hususani maeneo ya vijijini mkoani  kigoma vitendo hivyo vinedaiwa kushamili hasa nyakati za sikukuu za kristmas na mwaka mpya na nyinginezo

Hayo yamebainishwa na mkuu wa plisi wilayani Kakonko Philmon Mkungu alipokuwa akiongea na wananchi wa maeneo mbalibali wilayani humo akida hali hiyo imekuwa ikipelekea kuwepo majeruhi na hata vifo hasa kwa makundi ya wanawake

Wanaume mmekuwa na tabia za kuendekeza tsrehe na kutoroka familia zenu  na mnaporejea baada ya kuishiwa mnaanza kudai mahitaji kwa wake zenu hali inaypelekea malumbano ndani ya familia na kuzua ugomvi hadi kupelekea kuwepo na vifo hivyo natoa angalizo mtu yeyote atakayempiga mke wake atachukuliwa hatua za kisheria japo wapo wanawake ambao nao upiga waume zao'' alisema OCD MAKUNGU 

Wakizungumza na Blog hii, baadhi ya wananchi wa kata za mgunzu na Gwanumpu wilayani kakonko wamesema ndoa nyingi zimekuwa zikishindwa kudum kutokana na kutofautiana katika tabia zao wanadoa ikiwa chanzo ni ulevi na mfumo dume .

Awali akizungumzia swala hilo Mwenyekiti wa kijiji cha kiduduye .Hamimu Manase Amesema amesha pokea migogoro mingi ya ndoa ofsini kwake na kuitatua lakini baada ya mda migogoro hiyo imekuwa ikijirudia hali ambayo inawachukulia mda wa kufanya shughuli nyingine.

 
Kwa upande wake Mkuu wa Dawati la Jinsia wi
Philmon Makungu ocd Kakonko
Add caption



Anna John Tindwa Msimamizi Dawati la Jinsia Kibondo
layani humo Anna John amekili kuwepo na vitendo vya unayanyasaji kwa pande zote mbili wanawake wakilalamia waume zao na wanaume kulalamika kupata vipigo toka kwa wake zao japo idadi kubwa ni wanawake  na kueleza kuwa toka January hadi desmba mwaka huu ni kesi 450 zilizofika ofini kwake na kutolewa ushauri

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao