Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2023

KAKONKO WAIPONGEZA SERIKALI KUPITIA JWTZ KURUDISHA MWASILIANO YALIYOHARIBIWA NA MAFURIKO

Picha
    Stephan Ndaki Mkurugenzi Mtendaji Hshauri ya Kakonko Gerad Baseke Mkuu wa Shule Ikambi Sekondari Kanali Evance Malasa Mkuu wa Wilaya ya Kakonko alipokuwa akiongea na Wananchi wakati wa uzinduzi wa Daraja jipya lililojengwa baada ya Mvua kuharibu Miundombinu Mto wa Muwazi KAKONKO WAIPONGEZA SERIKALI KUPITIA JWTZ   KURUDISHA MWASILIANO YALIYOHARIBIWA NA MAFURIKO Na Muhingo Mwemezi Kakonko Kakonko Wakazi wa Vijiji vya Kakonko, Itumbiko na Ikambi Wilaya ya Kakonko Mkoani   Kigoma wameipongeza serikali kupitia Jeshi la Wananchi Tanzania kwa kurudisha mawasiliano ya Barabara yalikatika kutokana na mafuriko yayaliyotokea   April Mwaka huu kusababisha wanafunzi kwenda shule na wakulima Wakiwa kwenye uzinduzi wa Daraja lililojengwa kwa msaada wa JWTZ uliofanyika kwenye kijiji cha Itumbiko wamesema mvua hiyo iliwasababishia hasara kubwa pale waliposhindwa kufika mashambani na kwenda kupata matibabu baada ya barabara kukatika Wamesema mara maji yalipozuia njia wakulima wengi walikuwa

TAASISI ZAASWA KUZINGATIA MAZINGIRA ZIWA VIKTORIA

Picha
  TAASISI ZAASWA KUZINGATIA MAZINGIRA ZIWA VIKTORIA Serikaliimezitakataasisizinazoshughulikanamasualayabahari, ViongoziwaMikoainayozungukaZiwa Viktoria nawadauwenginehususani Mwanzakuhakikishakunakuwanamazingira bora kwaajiliyautunzajinauteketezajiwa taka ngumuzitakazozalishwakatikaZiwahiloilikutoathiriviumbehaiziwani. Kaulihiyoimetolewajijini Mwanza naKaimuMkuuwaMkoawa Mwanza ambaye pia niMkuuwa Wilaya yaIlemelaMhe.Hassan Masala wakatiwaakihitimishamaoneshoya siku yanne (4) yaMabahariaDunianiyaliyofanyikajijinihumoyaliyoshirikaWizarahusikakwaSerikaliyaJamhuriyaMuunganowa Tanzania naSerikaliyaMapinduzi Zanzibar pamojanataasisimahususizinazosimamiamasualayabahari. Mhe. Masala amesisitizakuwauwekezajiunaofanywanaSerikalinaSektabinafsihususanikwenyeujenziwameliutaongezauzalishajiwa taka ngumuambapobilakujipangamapemavyombovyamajinivinawezakuwanachangamoto za kuharibika mara kwa mara nahivyokuhafifishauwekezajihuo. “Mikatabambalimbaliyakimataifainayoongozausafiriwamajiniunasisitiza

BIL 234.5 KUUFUNGUA MKOA WA MTWARA KWA BARABARA ZA LAMI

Picha
Makame Mbalawa Waziri wa Ujenzi   BIL 234.5 KUUFUNGUA MKOA WA MTWARA KWA BARABARA ZA LAMI   SerikaliimesainimikatabamiwiliyakuanzaujenziwabarabarayaMnivata – Newala – Masasi (km 160) pamojanaujenziwadaraja la MwitiyenyejumlayashilingiBilioni 234.512 kwalengo la kuwaondoleawananchiwaMtwarakeroyausafirinausafirishaji.   TukiohilolimefanyikawilayaniNewalamkoanihumoambapolimeshuhudiwana Waziri waUjenzinaUchukuzi Prof. MakameMbarawanaviongoziwenginewamkoa, wabungenawananchiambapopamojana mambo mengine Prof. MbarawaamesemakuwaujenziwabarabarahiyoutaboreshamtandaowabarabaranamadarajakatikaukandawaKusini.    Akizungumza  nawananchiwamkoahuowakatiwa  haflahiyo,  Prof. Mbarawa ameelezakuwabarabarahiyoitaboreshausafirinausafirishajiwamalighafizaviwandanikamamakaayamawenasaruji, mazaoyachakulanakilimo, mifugo, uvuvi, bidhaazakibiasharanamazaoyamisitukutokamaeneombalimbaliyamkoawaMtwarapamojanamikoajiraniyaLindi, Ruvuma naPwanikwendamaeneombalimbalinchini.   Aidha,  Prof.Mbarawa,

BARABARA ZA EPC+ F HAZITALIPIWA

Picha
  BARAB ARA ZA EPC+ F HAZITALIPIWA Serikaliimesemakuwautekelezajiwamiradisabayaujenziwabarabarakwanjiaya   EPC+ F haitalipiwanawananchiwatakaotumiabarabarahizokamaambavyobaadhiyawananchiwanavyodhani. Kaulihiyoimetolewajijini Dodoma na WaziriwaUjenzinaUchukuziProfesaMakameMbarawa,wakatiwautiajisainiwamiradihiyoambayoinatarajiwakutekelezwakatika Kanda zaKaskazininaKusininakujengwanamakandarasiwanne (4). “Tanzania hainabarabarazakulipiampakasasa, hivyoupotoshajiunaosambaakwenyemitandaoyakijamiikuhusukulipiakwenyebarabarahizisisahihikwanibarabarahizinizakawaida ‘high way’ kamazilivyobarabaranyingine” amesemaProf. Mbarawa. Prof. Mbarawaamesisitizakuwamradihuuniwa kwanza namkubwakutekelezwanchinikwaniutapitakatikamikoa 13nalengolikiwanikuboreshamtandaowabarabaranchininakuongezaufanisikatikasektayausafirinausafirishajiilikuchocheauzalishajikatikamaeneozinapopitabarabarahizinakuongezakasiyaukuajiwauchumiwawananchinaTaifakwaujumla. “BarabarazitazojengwazitapitakatikamikoayaMorogoro, R

WOGA KUTOA TAARIFA NA UMASIKINI SABABU KUSHAMILI UKATILI NA MIMBA ZA UTOTONI

Picha
  George Leo Mwakilishi Shirika la World Vision Kanali Evance Malasa Mkuu wa Wilaya ya Kakonko aliyekuwa mgeni rasmi maadhimisho siku ya Mtoto wa Afrika                                       Na Muhingo Mwemezi Kakonko   Uelewa mdogo na woga katika jamii hasa Wananchi   wanaoishi Vijijini ni baadhi ya sababu zinazopelekea kushamili kwa Vitendo vya ukatili kwa Watoto kama kuolewa na kupata Mimba za utotoni Monica Elias na Ruth James ni Wakazi wa Kata ya Katanga wilaya ya Kakonko   Mkoani Kigoma wamebainisha kuwa wananchi wengi wanaoishi Vijijini wamekuwa wakiingiwa na woga kutoa taarifa kwenye vyombo vya Dora baada ya Watoto   wakufanyiwa Vitendo vya ukatili wakihofia kupata madhala kutoka kwa waharifu Wamesema kuwa mara nyingi wanaofanya vitendo vya ukatili utumia fedha kujihami hivyo hata wenye watoto ambao ni wahanga wa ukatili kama kupata za   Mimba za utotoni   ushindwa kutoa taarifa kwenye vyombo vya Dora ambapo wameongeza kuwa hata umasikini wa kipato katika baadhi ya fami

HALMASHAURI YA KAKONKO LICHA YA KUPATA HATI SAFI YATAKIWA KUENDELEA KUREKEBISHA MAPUNGUFU

Picha
  Kakonko.Licha ya Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma kupata hati isoyokuwa na mashaka, katika ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa hesabu za serikali mwaka 2021/22 imeagizwa kuondoa mapungufu yaliyobainika wakati wa ukaguzi Thobias Andengenye Mkuu wa Mkoa wa Kigoma amesema hayo kwenye baraza maalum la kupokea taarifa na mapendekezo ambapo amesema kujibu hoja hizo kutasaidia kuboresha utendaji kazi  na kuendelea  kupata hati safi na kuwataka kudhibiti hoja badala ya kuwa mabingwa wa kujibu hoja Amewataka Madiwani kutekeleza na kusimamia Miradi na fedha za serikali katika maeneo yao, na kuwahudumia Wananchi kwa uaminifu ili waweze kuacha alama katika kipindi cha uongozi wao huku akiipongeza halmashauri hiyo kwa utendaji mzuri wa usimamizi wa fedha za serikali Aidha ameiagiza halmashauri hiyo kuwachukulia hatua Watumishi wote ambao hawataki kufuata sheria na kanuni za kiutumia ambao wamekuwa wakpelekea kuibuka kwa hoja zisizokuwa na msingi Nzuri Mliduu  Katibu tawala Mkoa wa

KANEMBWA JKT WAZINDUA MRADI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Picha
  Muhingo Mwemezi Kanembwa Licha ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT kutoa mafunzo ya ulinzi kwa Vijana linayo mikakati ya kuendeleza Kilimo cha mazao ya Chakula na Biashara  kama Mahindi Maharage,Alizeti, Mpunga na mengineyo kupitia Idara zake husikandani ya Jeshi hilo Peter Lushika Mkurugenzi Kilimo Mifugo na Uvuzi Jeshila kujenga Taifa akiwa katika hafla ya uzinduzi wa Kilimo cha umwagiliaji mpango unaoshirikisha Shirika la Kilimo Duniani FAO, iliyofanyika katika Kikosi cha 824 Kanembwa Jkt Kakonko Mkoani Kigoma ameeleza Mikakati ya Kilimo katika Jeshi hilo kuwa ni kulima Mazao ya Chakula na Biashara  kama Mahindi,Alizeti,Maharage na Mpunga Amesema  kulingana na serikali kujielekeza katika Mazao ya Kimkakati kama Michikichi na Alizeti, Jeshi hilo linao mpango maalum wa kuendesha Kilimo cha mazo hayo na mengineyo na licha ya kuwepo kwa changamoto ya mabadiliko ya tabia nchi, wamejianadaa vema kwa kuanzisha kilimo cha umwagiliaji  ili kilimo kiendelee nyakati zote Kwa upande wake Kaimu Kama

Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma,Baadhi ya Wawakilishi wa Masirika wakiwa kwenye Kikao cha pamoja yatakiwa kufanya kazi kwa ushirikiano na serikali

Picha
Baadhi ya Wawakilishi wa Mashirika  wakiwa kwenye Kikao cha pamoja kilichofanyika Ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kibondo Kanali Agrey Magwaza Mkuu wa Wilaya ya Kibondo aliyekuwa mwenyekiti Kikao cha pamoja Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali   Kibondo.Mashirika yanatoa hudumablimbali za Kijamii yametakiwa kufanyakazi kwa ushirikiano na kufuata taratibu ndipo malengo yatakapofikiwa Agrey Magwaza ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kibondo amesema hayo kwenye Kikao cha Baraza la Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali kilichofanyika Mjini Kibondo kwa lengo la kufanya tathmini ya utendaji wao wa kazi,  Mbapo ameeleza kuwa wakiwa na ushirikiana ndipo watakapokuwa na utendaji wenye tija Magwaza ameongeza kuwa iwapo watashirikiana pamoja watapata fursa ya kupashana habari na utaratibu huo utasaidia kupunguza miingiliano ya kiutendaji ambapo ameyataka Mashirika hayo kuhakikisha yanafuata taratibu na sheria zilozpo chini ya muamvuli wa Idara ya Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Wilaya Baraza  hilo

UKOSEFU WA WATAALAM WA MAZINGIRA VIJIJINI

Picha
  Kibondo.Ili kuweza kufanikisha mapambano ya mabadiliko ya Tabia nchi serikali imeshauri kuweka utaratibu wa uwepo  wataalam wa mazingira katika maeneo ya vijijini kama ilivyo kwa maafisa ugani ili watoe ushauri wa utunzaji wa mazingira Hayo yalisemwa jana  na baadhi ya Wakazi wa Wilaya za Kakonko na Kibondo Mkoani Kigoma  ambao ni George Daniel na Joyce Alex walipokuwa kwenye mafunzo ya utunzaji wa Mazingira yaliyoandaliwa na Kanisa la Free Pentekoste Jimbo la Kibondo ambapo wamesema Wananchi wengi wanaoishi Vijijini wanashindwa kuendesha shuguli za upandaji Miti kutokana na kukosa uelewa Wamesema kwa sasa kumekuwepo na mwitikio mkubwa wa Wananchi katika sualautunzaji wa mazingira hasa katika upandaji Miti lakini wamekuwa wakikosa uelewa  na kuharibikiwa katika Vitaru ya uoteshaji na Mashambani  hatua ambayo imekuwa ikipekea hali ya kukata tamaa ''Tunawaomba Wadau wa Mazingira na serikali kulitazama kwa umakini suala hili kwani miti imekuwa ikikatwa hovyo hivyo jitiada za upa