TAASISI ZAASWA KUZINGATIA MAZINGIRA ZIWA VIKTORIA

 




TAASISI ZAASWA KUZINGATIA MAZINGIRA ZIWA VIKTORIA

Serikaliimezitakataasisizinazoshughulikanamasualayabahari, ViongoziwaMikoainayozungukaZiwa Viktoria nawadauwenginehususani Mwanzakuhakikishakunakuwanamazingira bora kwaajiliyautunzajinauteketezajiwa taka ngumuzitakazozalishwakatikaZiwahiloilikutoathiriviumbehaiziwani.

Kaulihiyoimetolewajijini Mwanza naKaimuMkuuwaMkoawa Mwanza ambaye pia niMkuuwa Wilaya yaIlemelaMhe.Hassan Masala wakatiwaakihitimishamaoneshoya siku yanne (4) yaMabahariaDunianiyaliyofanyikajijinihumoyaliyoshirikaWizarahusikakwaSerikaliyaJamhuriyaMuunganowa Tanzania naSerikaliyaMapinduzi Zanzibar pamojanataasisimahususizinazosimamiamasualayabahari.

Mhe. Masala amesisitizakuwauwekezajiunaofanywanaSerikalinaSektabinafsihususanikwenyeujenziwameliutaongezauzalishajiwa taka ngumuambapobilakujipangamapemavyombovyamajinivinawezakuwanachangamoto za kuharibika mara kwa mara nahivyokuhafifishauwekezajihuo.

“Mikatabambalimbaliyakimataifainayoongozausafiriwamajiniunasisitizaumuhimuwakutunzamazingiranaikumbukwekuwamikatabahiyoyakimataifasisikamanchitumeridhianakuiwekakulingananamazingirayetuhivyohatuwezikukwepakutunzamazingirailikunusuruviumbewenginewalinjeyanchikavu’ AmesemaMkuuwa Wilaya Mhe. Massala.

Mhe. MassalaamesemaSerikaliinaendeleakujengamazingiramazurikwamabahariawanaohitimukwakuzungumzanamashirikambalimbaliyameliilikuwawezeshawataalam hao kupatasifastahikizitakazowawezshakufanyakazindaninanjeyanchi.

Kwa upande wake MkurugenziwaIdarayaUsalamanaMazingira, Bi. Stela KatondoamesemaWizarakupitiachuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) inaendeleakuboreshamitaalanakuongezakozimbalimbaliilikukidhimahitajiyasoko la ndaninanjehususanikwenyesektayabahari.

MkurugenziKatondoameongezakuwaSerikaliinaendeleakutengafedhakilamwakailikuboreshamiundombinuya bandari, kujenganakukarabatimeliilikuifanyasektahiyokuchagizauchumiwataifakupitiasektahiyoyabaharikwabaharinaMaziwayaliyoponchini.

Maadhimishoya siku yamahariahuadhimishwamweziJunikilamwakaambapo kwamwaka 2023maadhimishohayoyamebebakaulimbiuya “Miaka 50 ya MARPOL uwajibikajiwetuunaendelea” nayamehusishamazoezimbalimbaliyauokozikatikaziwaviktorianautoajiwaelimuyamasualambalimbaliyakuzingatiakwawadaumbalimbaliwakiwemowamilikiwa meli, watumiajinawaendeshajimeli.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Shule ya msingi Nengo ya Walemavu, iliyoko wilayani Kibondo mkoani kigoma, inayohudumia wanafunzi walemavu wa mahitaji maalum inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni ukosefu wa maji Vifaa vya kujinfunza na kufundishia na vyombo vya kulia chakula