BARABARA ZA EPC+ F HAZITALIPIWA

 

BARAB








ARA ZA EPC+ F HAZITALIPIWA

Serikaliimesemakuwautekelezajiwamiradisabayaujenziwabarabarakwanjiaya  EPC+ F haitalipiwanawananchiwatakaotumiabarabarahizokamaambavyobaadhiyawananchiwanavyodhani.

Kaulihiyoimetolewajijini Dodoma na WaziriwaUjenzinaUchukuziProfesaMakameMbarawa,wakatiwautiajisainiwamiradihiyoambayoinatarajiwakutekelezwakatika Kanda zaKaskazininaKusininakujengwanamakandarasiwanne (4).

“Tanzania hainabarabarazakulipiampakasasa, hivyoupotoshajiunaosambaakwenyemitandaoyakijamiikuhusukulipiakwenyebarabarahizisisahihikwanibarabarahizinizakawaida ‘high way’ kamazilivyobarabaranyingine” amesemaProf. Mbarawa.

Prof. Mbarawaamesisitizakuwamradihuuniwa kwanza namkubwakutekelezwanchinikwaniutapitakatikamikoa 13nalengolikiwanikuboreshamtandaowabarabaranchininakuongezaufanisikatikasektayausafirinausafirishajiilikuchocheauzalishajikatikamaeneozinapopitabarabarahizinakuongezakasiyaukuajiwauchumiwawananchinaTaifakwaujumla.

“BarabarazitazojengwazitapitakatikamikoayaMorogoro, Ruvuma, Arusha, Manyara, Dodoma, Tanga, Singida, Mbeya, Songwe, Lindi, Mtwara, Simiyuna Iringa nahivyozitarahisishausafiriwawananchinausafirishajiwamazaoyamisitu,biashara, chakula, uvuvinaufugaji, malighafizamadinikama vile makaayamawe, grafaitinaChuma”, amefafanua Waziri Mbarawa.

Aidha, Prof. MbarawaametajamiradiitakayotekelezwakuwaniujenziwabarabarayaKidatu - Ifakara - Lupiro - Malinyi - Kilosa Mpepo - Londo - Lumecha/Songea (km 435.8),  BarabarayaArusha – Kibaya – Kongwa (km 453.42),  Handeni - Kiberashi - Kijingu - Njoro - Olboroti Mrijo Chini - Dalai - Chambalo - Chemba - Kwa Mtoro – Singida (km 384.33),  Igawa - Songwe – Tunduma (km 237.9),  Masasi - Nachingwea - Liwale (km 175), Karatu - Mbulu - Hydom - Sibiti River - Lalago – Maswa (km 339)nabarabara ya Mafinga - Mtwango – Mgololo (km 81).

“Katika ujenzi wa barabara ya Igawa – Tunduma mkoani Mbeya Serikali imeamua kuijenga kwa njia nne ambapo barabara moja kati ya hizo itatumiwa na wasafirishaji wa malori tu ili kupunguza msongamano wa magari uliopo sasa katika eneo la Tunduma”, amefafanua Prof. Mbarawa.

Prof. Mbarawa amebainisha faida nyingine ya utekelezaji wa miradi hiyo ikiwemokuchochea kiu ya matumizi ya bandari zetu kwa nchi jirani za Zambia, Malawi, Zimbabwe, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani ya Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

 

Pia ametaja kuwa barabara hizozitatoa ajira za moja kwa moja kwa watanzania takriban 20,300 pamoja na kuwajengea uwezo wahitimu wa vyuo vikuu kwa masharti ya mikataba ya ujenzi na usimamizi ambapo wahitimu wasiopungua 70 watapata ajira.

Prof. Mbarawa ameiagiza Wakala wa Barabara Tanzania  (TANROADS) kushirikiana na Bodi ya Usajili ya Makandarasi (CRB) kuandaa wahandisi washauri wazawa watakaokuwa na uwezo na weledi wa kusimamia miradi mbalimbali ya ujenzi inayotekelezwa nchini.

Awaliakitoataarifayamiradihiyo,MtendajiMkuuwa TANROADSMhandisi Mohamed Besta,ameelezakuwajumlayamakandarasi 129 walioneshaniaambapomchakatowazabuniulipitiahatuambalimbalinahatimayemakandarasiwannewalikidhivigezovilivyowekwa.

“Makandarasiwatakuwatimunnekwakilamradimkubwaambaposehemuzotezitaanzakutekelezwasambambakwawakatimmojailikuharakishautekelezajiwamiradihii”“amesisitizaMha. Besta.

Ameongezakuwakupitiautaratibuhuomakandarasiwatawajibikakufanyausanifuwa kina nakujengabarabarahizokwaviwangonauboraulioainishakwenyemkatabanahukuvihatarishivyotevinavyohusuusanifuwamradinamudawaujenzivitabebwanamkandarasi.

Kwa upande wake, MwenyekitiwaKamatiyaKudumuyaBunge yaMiundombinu, Mhe.SelemaniKakoso, amesemakuwakwamaraya kwanza Tanzania inaandikahistoriayakujengabarabara (Km 2,035) kwamaramojawakatihapoawaliSerikaliilikuwainajengaKilometa 200 hadi 250 kwamwaka.

Utiajisainiwamikataba Saba yamiradiyaujenziwaBarabaraumefanywanaSerikalikupitia TANROADS naKampuniya China Civil Engineering Construction (CCECC), Sinohydro Cooperation, China Overseas Engineering Group (COVEC) na China Railway 15th GroupkwagharamayaTrioni3.7.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao