Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia 2024

WALIMU ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAOEA ILI KUBORESHA ELIMU

Picha
  WALIMU ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAOEA ILI KUBORESHA ELIMU Kibondo.Katika kurekebisha upatikanaji wa elimu hapa nchini walimu wamehaswa kuacha tabia ya kufanya kazi kwa mazoea   ili kufikia malengo ya serikali na kuwapatia Watoto ujuzi Hayo ameyasema na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tamisemi upande wa Elimu Charles Msonde alipokuwa akizungumza na Walimu wa shule za Msingi na sekondari wilayani Kibondo Mkoani Kigoma ambapo amesema Mkoa huo uko kiwango cha chini kielimu kutokana na ufundishaji usiozingatia vigezo Amesema kila mwalimua anatakiwa kujipima utendaji wake wa kazi kwa kuwasaidia wanafunzi na kuwataka kuacha mazoea kazini            Aidha Msonde ameeleza kusikitishwa kwake juu ya halimu ya elimu ilivyo wanafunzi shule za Msingi wanapanda Madarasa wakiwa hawajui kusoma wala kuandika huku walimu katika shule zinazomilikiwa na serikali wakiona ni mambo ya kaiwada na kuwahasa kuchukua hatua ‘’Wanafunzi katka shule za sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi channe wengi

KIBONDO KUUNDA SHERIA NDOGO KATIKA UCHANGIAJI WA CHAKULA MASHULENI

Picha
  Gabriel Chitupila Kaimu Mkurugenzi Hshauri Kibondo Jacklin Sospeter Afisa Lishe wilaya ya Kibondo Baadhi ya washiriki wa Kikao cha Kamati ya Lishe wilayani Kibondo waliokuwa wakitathmin hali ya Lishe wilayani Kibondo KIBONDO KUUNDA SHERIA NDOGO KATIKA UCHANGIAJI WA CHAKULA MASHULENI Licha ya hamasa na elimu kuendelea kutolewa kwa jamii juu ya uuchangiaji chakula mashuleni ili wanafunzi wapate chakula cha mchana Wilayani Kibondo Mkoa wa Kigoma, hatua hiyo bado ni kizungumkuti kutokana na baadhi ya wazazi na walezi kushindwa kutoa michango ya chakula na wanafunzi kushinda njaa Baadhi ya wanafunzi wanapata chakula cha mchana na uji   saa nne kutokana na wazazi wao kuchangia huku wengine wakishinda njaa mashuleni kutokana na wazazi na walezi kushindwa kutoa michango ya chakula Wanafunzi akiwemo Abdukarim Ramadhani na Jesca Reuben chakula wala uji ambao hawapati wamesema wanakumbana na wakati mgumu mara inapofika nyakati za mchana kutoka na kuhisi njaa ambapo usinzia na kushindwa ku

CHANGAMOTO WANAFUNZI WANAOACHA SHULE

Picha
  Muhingo Mwemezi Kigoma Kigoma. Licha ya uwepo wa maendeleo ya upatikanaji wa Elimu hapa nchini katika shule za Msingi na sekondari bado    tatizo la Wanafunzi kushindwa kumaliza shule   ni kubwa na linaendelea kutokana na saababu mbalimbali na kupelekea Watoto kukosa haki za Msingi Changamoto hiyo haina budi kutiliwa mkazo ikiwa ni pamoja na jamii   Wazazi na Walezi kote nchini kuendelea kuhimizwa na kuelimishwa kutambua umuhimu wa Elimu, ambapo makundi ya rika barehe kuanzia miaka 9 hadi 15 ndiyo wahanga wakubwa Tatizo hilo linachangiwa na sababu mbalimbali kama Umasikini Umbali wa kutoka katika maeneo ya Makazi kwenda kwenye huduma za shule hatua ambayo hupelekea Watoto wengi kukata tamaa   wakati mwingine kukumbwa na Vitendo kikatili mfano Takwimu za mwaka 2022 Mkoa wa Kigoma ulipata nafasi ya 8 Takwimu hizo zinaonyesha   Mkoa huo una Watoto waliokatisha masomo 10,355   wa shule za Msingi na ulikuwa   wa   na 17   kwa kuwa na Idadi ya Wanafunzi 4,231kwa shule za Sekondari
Picha
VIJANA JIAMININI NA MUWE NA MOYO WA KUFANYA KAZI Meja Generali Hawa Kodi aliyemwakilisha Mkuu wa Majeshi Kikosini Kanembwa Luteni Kanali Mantange Kombe Kamanda Kikosi 824 Kanembwa Kanali Evance Malasa Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Mgeni rasmi Janeth Alex Mmoja wa Wahitimu mafunzo ya awali ya Kijeshi Kanembwa Kakonko. Vijana wametakiwa kujiamini na kuwa na moyo wa kupenda kufanya kazi na kuwa tayari kulitumikia Taifa ili kuwa na Taifa lenye  ustawi mzuri   Akiwahutubia Vijana waliokuwa wanahitimu Mafunzo ya awali ya Kijeshi vijana wa kujitolea katika Jeshi la kujenga Taifa Kikosi cha 824 Kanembwa kilichoko Kakonko Mkoani Kigoma mwakilishi wa Mkuu wa Majeshi katika Mahafali hayo, Meja Generali Hawa Kodi amesema Vijana ni Taifa la leo na kesho  hivyo wana wajibu wa kujituma na kuheshimu maamuzi yao na kuzingatia Nidhamu   Adha ameongeza kuwa Vijana katika kujiunga na Jeshi la kujenga Taifa, walitoka kwenye maeneo mbalimbali hapa nchi na elimu,Makabila,Malezi na uelewa tofauti hivyo S

Misri wavutiwa na miradi ya PPP ya TANROADS

Picha
  Misri wavutiwa na miradi ya PPP ya TANROADS   BALOZI wa Misri nchini Tanzania, Sherif Abdelhamid amevutiwa na miradi itayojengwa kwa ubia wa kati ya sekta binafsi na umma (PPP) itakayokuwa chini ya Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), imeelezwa. Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Mohamed Besta amesema hayo jana mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo na Balozi huyo yaliyofanyika Makao Makuu ya TANROADS jijini Dar es Salaam. Mha. Besta amesema Balozi huyo ameahidi kushiriki fursa zinazopatikana kwenye miradi ya TANROADS na ameonesha dhamira ya makampuni ya Misri kuja kushiriki kwenye miradi ya PPP, ikiwemo ya barabara ya kulipia ya kutoka Kibaha, Chalinze hadi Morogoro; na Barabara za Mzunguko za Jiji la Dar es Salaam (Dar es Salaam Outer Ring Roads). Miradi mingine ya PPP ni Daraja la Pili la Kigamboni; Barabara ya kulipia ya kutoka Morogoro hadi Dodoma na barabara ya kutoka Igawa hadi Tunduma. “Kama alivyosema hizi ni mojawapo ya fursa na u zoefu wa Kimataifa unaone

DHAMIRA YA SERIKALI NI KUKUZA UCHUMI WA SEKTA BINAFSI KWA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI: BASHUNGWA

Picha
  DHAMIRA YA SERIKALI NI KUKUZA UCHUMI WA SEKTA BINAFSI KWA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi naMbunge wa jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwaameeleza kuwa dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sitanikukuzauchumi wa Sekta binafsi inayochangiamakusanyo ya kodiambazozitawezeshaujenzi wa miundombinu ya barabara nautekelezaji wa miradimingine ya maendeleonchini. Bashungwaamezungumza hayo Machi 27, 2024 katika kikaokilichowakutanishawafanyabiashara wa Wilaya ya Karagwe pamoja naTaasisi za Serikalizinazowahudumiaambapoamesikilizakerozaoikiwemotozokubwa za kodi, ushuru pamoja nakaulizisizoridhishakutoka kwa Maafisa wa Mamlaka ya Mapato (TRA). Bashungwaamesisitiza kuwa ukusanyaji wa mapatounawezeshaSerikalikufanikishamalengoyake ya kuhudumianchi pamoja nawananchi wake kwa haraka kwa kuwa wajibu wa Serikalinikujengaustawi wa wafanyabiasharana sio kuwadumaza. “Sijafurahishwanamadai ya kauli za Maafisa kwa wafanyabiasharaambazo sio sahihi,kwakuwaaambiawakishindwakulipakodi, 

WAZIRI BASHUNGWA AAGIZA WAHANDISI WASHAURI WANAOSHINDWA KUSIMAMIA MAKANDARASI KUTOPEWA KAZI

Picha
  WAZIRI BASHUNGWA AAGIZA WAHANDISI WASHAURI WANAOSHINDWA KUSIMAMIA MAKANDARASI KUTOPEWA KAZI Waziri wa Ujenzi, Innocent BashungwaameiagizaWakala wa Barabara (TANROADS) kutowapatiakazi za usimamizi wa miradiWahandisiWashauriwanaoshindwakuwasimamiaWakandarasikutekelezamiradi ya ujenzi wa barabara kwa viwangonamujibu wa mikatabanakupelekeaMkandarasikurudishwaeneo la mradi kurudiakazi. Bashungwaameagiza hayo Machi 22, 2024 Wilayani Mafia wakati akikagua barabara ya Kilindoni -   Utende (km 14.6) kwa kiwango cha lami, iliyojengwanaMkandarasi CHICO nachini ya usimamizi wa Mhandisi Mshauri Kampuni ya UWP Tanzania ambapo barabara hiyohaikutekelezwa kwa viwangonakusababishaMkandarasikurudia sehemu ya kazi. “Kama mlivyofanya katika mradi huu kwa kumrudishaMkandarasi Site, WahandisiWashauri kama hawawanaoshindwakumsisimamiaMkandarasiwanapaswawawe ‘blacklisted’ kwa sababutunawalipapesa ya kumsimamiaMkandarasikwaniaba ya Serikali”, amesemaBashungwa. BashungwaamemuagizaMtendajiMkuu wa TANRO

DKT. BITEKO: RAIS SAMIA AENDELEA KUENZI MAONO YA HAYATI MAGUFULI KWA VITENDO

Picha
  DKT. BITEKO: RAIS SAMIA AENDELEA KUENZI MAONO YA HAYATI MAGUFULI KWA VITENDO Maono ya aliyekuwaRais wa Awamu ya Tano, HayatiDkt. John PombeMagufuli katika utekelezaji wa miradimikubwa ya Kitaifa kama Ujenzi wa Bwawa la Nyerere, Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), Ujenzi wa barabara namadarajamakubwa kama vile Daraja la Kigongo - BusisiyametekelezwanayanaendeleakutekelezwanaSerikali ya Awamu ya SitainayoongozwanaRais, Dkt. SamiaSuluhu Hassan. Hayo yameelezwaNaibu Waziri Mkuuna Waziri wa Nishati, Dkt. DotoBiteko katika Misa Takatifu ya kumuombeaRais wa Awamu ya Tano, HayatiDkt. John Pombe Magufuli, iliyofanyika katika KanisaKatolikiParokia ya Mtakatifu Yohana Maria MuzeyiWilayaniChatoMkoaniGeita. “NiwahakikishieWatanzaniza kuwa miradiyoteambayoHayatiDkt. MagufuliakiwaRais wa Nchi yetu, Serikali ya Dkt. SamiaSuluhu Hassan inaiendelezayote kwa kasikubwailitumuenzi kwa vitendo”, amesemaDkt. Biteko. Dkt. Bitekoameeleza kuwa WatanzaniawatamkumbukaHayatiDkt. John PombeMagufuli kwa uwezo

PAC YAKAGUA MRADI WA UBORESHAJI KIWANJA CHA NDEGE TABORA

Picha
  PAC YAKAGUA MRADI WA UBORESHAJI KIWANJA CHA NDEGE TABORA Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetembelea na kukagua mradi wa ukarabati na uboreshaji wa Kiwanja cha ndege cha Tabora unaotekelezwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS). Kamati hiyo ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati, Mheshimiwa Japhet Hasunga (Mb), ikiwa mkoani Tabora Machi 17, 2024 imeshauri kwa Wakala huo masuala mbalimbali ikiwemo kumsimamia Mkandarasi kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi huo ili wananchi wa Tabora na mikoa jirani waweze kunfaika na mradi huo. "Msimamieni Mkandarasi aongeze kasi ya utekezaji wa mradi ili ukamilike kwa wakati, nao wananchi wa Tabora na mikoa jirani waweze kufurahia huduma ya usafiri wa anga", amesema Hasunga. Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Ludovick Nduhiye amesema Wizara imepokea ushauri na maelekezo ya Kamati na kuahidi kuyafanyia kazi kwa manufaa ya jamii na Taifa kwa ujumla. Awali akiwasilisha taarifa ya mradi